Wako wapi hawa wadau?

Wako wapi hawa wadau?

Tulibahatika kuishi vizuri sana aisee, threads za kusisimua na shule ya kufa mtu... hata siku hizi hali ipo ila naona kuna wataalam wa kizaiz kipya naona wamekuja kivingine kwahiyo wazee tumeyumba kidogo

hawakawii kuomba picha...:A S 114:

aisee, watu wameadimika kweli, kimei, nguli, aisee nimewamiss pia.
 
Dark City

Nadhani tatizo ni "mwelekeo" wa jukwaa...! Enzi zile kulikuwa kuna uwiano wa "fikra" katika wachangiaji japo hatukuwa tunafahamiana, na kwa hisia nadhani pia "nyumri" zilikuwa zinakaribiana...! Siku hizi kwa kuangalia michango waweza kuona kuona kuwa wachangiaji wengi "nyumri" zao ni chini ya miaka 20 hivi, na matokeo yake, kwa sisi tuliokula chumvi nyingi unajiona kama "unahaibika"...!
 
Last edited by a moderator:
Kuhusu klorokwini nadhani Asprin anaweza akatuambia mahali alipo kidonge mwenzake

My fellow tablet yupo sana. Kama vipi nikatie dau nimlete hapa sasa hivi.

Kuna mahali umenionea moskwito Mbu na soulmate wake MwanajamiiOne. sijui ndo wameshaoana wameamua kujipa ban ya ID zao za zamani?

Kuna mpinzani wangu wa jadi kwenye mambo ya Infii anaitwa carmel. sijui nae kafia wapi.

Baada ya kusema hayo nisaidie kumuuliza mzee mwenzangu Dark City alikuwa wapi siku zote mpaka wajuu zake wanapotea ndo awakumbuke leo???
 
Last edited by a moderator:
My fellow tablet yupo sana. Kama vipi nikatie dau nimlete hapa sasa hivi.

Kuna mahali umenionea moskwito Mbu na soulmate wake MwanajamiiOne. sijui ndo wameshaoana wameamua kujipa ban ya ID zao za zamani?

Kuna mpinzani wangu wa jadi kwenye mambo ya Infii anaitwa carmel. sijui nae kafia wapi.

Baada ya kusema hayo nisaidie kumuuliza mzee mwenzangu Dark City alikuwa wapi siku zote mpaka wajuu zake wanapotea ndo awakumbuke leo???

Hahahahahahaha hata mi nshamuona
 
Last edited by a moderator:
My fellow tablet yupo sana. Kama vipi nikatie dau nimlete hapa sasa hivi.

Kuna mahali umenionea moskwito Mbu na soulmate wake MwanajamiiOne. sijui ndo wameshaoana wameamua kujipa ban ya ID zao za zamani?

Kuna mpinzani wangu wa jadi kwenye mambo ya Infii anaitwa carmel. sijui nae kafia wapi.

Baada ya kusema hayo nisaidie kumuuliza mzee mwenzangu Dark City alikuwa wapi siku zote mpaka wajuu zake wanapotea ndo awakumbuke leo???

....hahahah,... Asprin naweee,...hebu usitusimangie na Soulmate wangu MwanajamiiOne banaa

halafu, kwa heshima na taadhima hebu anzisha sredi angalau moja kila wiki,
kisha Teamo nae aanzeshe za kwake kama hamjaona MMU inarudia kama zamani.

...mzee Dark City amejaaliwa kuturudisha kundini angalau leo, pheewww!
....kwakweli #TulikuwaWapiSikuZote???
 
....hahahah,... Asprin naweee,...hebu usitusimangie na Soulmate wangu MwanajamiiOne banaa

halafu, kwa heshima na taadhima hebu anzisha sredi angalau moja kila wiki,
kisha Teamo nae aanzeshe za kwake kama hamjaona MMU inarudia kama zamani.

...mzee Dark City amejaaliwa kuturudisha kundini angalau leo, pheewww!
....kwakweli #TulikuwaWapiSikuZote???

Ngoja nitafute kisa kwa hawa wahudumu hapa Fesibuku pub.,
 
Back
Top Bottom