Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
.... Gaga, Maty, Freema Agyeman, Rudini Kundini kabla
mzee mzima Dark City hajawaanzishia #ROLL-CALL hapa..!
Dark City
Nadhani tatizo ni "mwelekeo" wa jukwaa...! Enzi zile kulikuwa kuna uwiano wa "fikra" katika wachangiaji japo hatukuwa tunafahamiana, na kwa hisia nadhani pia "nyumri" zilikuwa zinakaribiana...! Siku hizi kwa kuangalia michango waweza kuona kuona kuwa wachangiaji wengi "nyumri" zao ni chini ya miaka 20 hivi, na matokeo yake, kwa sisi tuliokula chumvi nyingi unajiona kama "unahaibika"...!
ndio tabu hiyo kuwa na majina yanayofanana,thanks kwa kuniweka sawa lakini.
FA nipo nipo. Umepotelea Mbu bila shaka mambo yako yametulia...
babu unajua kuwa Rose ni mdogo wangu?Vibaya hivyo Rose1980...why can you do this to Babu?
Kama kakukosea si unasemea kwa bibi??
Nimefurahi sana kukuona. Nitumie namba yako basi nikupe ujumbe muhimu!!
Babu DC!!
Hapana bwana. Wewe nitakuweza mimi kibogoyo?
Nilitaka tu uwasalimie kaka zako...lol!!
Umeona eeee.......Ngoja waje na wengine wakuthibitishie unavyoelekea kusababisha unintended genocide!
kweli mdogo wangu ulipotea sana, kulikoni?nimesikia kilio chako babu
nimerudi sasa ili nikukune mtima wako
Baba_Enock keshaeleza kamficha wapi Dena Amsi?