Wako wapi hawa wadau?

Wako wapi hawa wadau?

Mbu heri inapatikana?...

hawa watoto wanatumia 'booster' hawa...
 
Last edited by a moderator:
Mbu kwanza na wewe una kesi ya kujibu katika watu ambao walikuwa na thread humu ndani za kiuchokozi na za kuibua mjadala ni wewe siku hizi umekimbia unawaachia wale wanaouliza style au mara ngapi (unajua namaanisha nini) watawale jukwaa tunaishia kuchakachua thread zao na habari za mpira

Kweli mkuu Mr Rocky,

Kuna thread ulikuwa ukiichelewa kwa masaa basi inabidi uombe mtu akupige summary....

Nadhani sasa tumezoea kila kitu ni voda fasta...kama ni msosi hata hauivi!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Mbu kwanza na wewe una kesi ya kujibu katika watu ambao walikuwa na thread humu ndani za kiuchokozi na za kuibua mjadala ni wewe siku hizi umekimbia unawaachia wale wanaouliza style au mara ngapi (unajua namaanisha nini) watawale jukwaa tunaishia kuchakachua thread zao na habari za mpira

.....hehhehh...changamoto za kuanzisha sredi zilitokana na wachangiaji wanaotajwa tajwa sanaaa kwenye sredi hii...
Hivi sasa wooote hao wameingia mitini, na waliobakia kina Nyamayao, wewe, na wachache wengineo mmebakia #Wachunguliaji zaidi!
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu walikuwa wadau wakubwa sana wa hili jukwaa. Usingeweza kumkosa mtu walau kila week. Ila kwa sasa wamepotea sana kiasi kwamba wanazua hali ya wasiwasi. Naomba tujaribu kupeana taarifa kama kuna mwenye hints ili tujue kama bado wapo!

1. @WomanOfSubtance (kwa mara ya mwisho alichangia kwenye huu uzi , na ilikuwa 30th April 2013
2 klorokwini (hajaonekana jukwaani kwa muda mrefu sana, record zinaonesha kuwa post yake ya mwisho ilikuwa 27th April 2012 15:15)
3. Dena Amsi
4. Rose1980 (Most Recent Message: 16th March 2013 14:06
5. afrodenzi (Most Recent Message: 13th November 2013 09:54)
6. Nyamayao
7. The Finest (Last Activity: 23rd January 2014 11:23)
8.

Ahsanteni sana,

Babu DC!!

-Dena huwezi kumpata yupo sinza amefungua kibanda cha juice ya ukwaju na ameamua asimamie mwenyewe baada ya kuona wanamwibia

-womanofsubstance amekwenda colorado amefungua duka la jumla la bangi.

-klorokwini anatembea usiku tu na kulala juu ya mti anadaiwa na finca.

Hawa wengine nikipata taarifa nitawajuza.
 
bora Smile ana beep, jamani Pearl, Bht na Nyumba kubwa nimewamiss mpaka basi.


Hapana bwana, huyu anayeingia ni Smile toto tundu....kuna yule Smiles aliyejidai kuchuana na wana infii...mwisho akaishia kuwajoin!! Alipotea kwa sababu ya maternity ila naona kama kaunganisha trip kama 4 hivi!!
Smiles ni huyu hapa....
avatar18400_9.gif


Her last post: 13th March 2011 09:43 but last activity was: 15th January 2014 13:46


Na huyu ndiye Smile
profilepic48795_3.gif


Huyu yuko mtandaoni hata sasa: Last activity = Today 13:27

Babu DC!!
 
hata mi huwa napotea.. nashangaa sijui kwanini huwa sitafutwi!! teh..!

au kidude changu cha musoma hakina nguvu?
 
Kweli mkuu Mr Rocky,

Kuna thread ulikuwa ukiichelewa kwa masaa basi inabidi uombe mtu akupige summary....

Nadhani sasa tumezoea kila kitu ni voda fasta...kama ni msosi hata hauivi!

Babu DC!!


Kwanza mkuu Dark City kupata kile anachokisema au anachotaka ujibu ilikuwa shughuli
Unajibu ila unatoa warning kabisa kama nimeenda mchomo mnisamehe maana unajihisi hujajibu kile kilichokusudiwa
Sasa Mbu na wenzake akina Teamo na AshaDii na The Finest na Lizzy ndo hao wanachungulia na kusepa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom