Wako wapi hawa wadau?

Wako wapi hawa wadau?

.....seriously, kuna Mdahalo nauandaa kichwani...tangu wiki iliyopita ninajifikiria niubandike hapa au la ila si unajua tena wachangiaji wenyewe wa siku hizi hawachelewi kukwambia umepitwa na wakati.
Well, baadae kidogo nitauweka hewani tupanue mawazo.
ukiweka unitag basi
 
Kuna watu walikuwa wadau wakubwa sana wa hili jukwaa. Usingeweza kumkosa mtu walau kila week. Ila kwa sasa wamepotea sana kiasi kwamba wanazua hali ya wasiwasi. Naomba tujaribu kupeana taarifa kama kuna mwenye hints ili tujue kama bado wapo!

1. @WomanOfSubtance (kwa mara ya mwisho alichangia kwenye huu uzi , na ilikuwa 30th April 2013
2 klorokwini (hajaonekana jukwaani kwa muda mrefu sana, record zinaonesha kuwa post yake ya mwisho ilikuwa 27th April 2012 15:15)
3. Dena Amsi
4. Rose1980 (Most Recent Message: 16th March 2013 14:06
5. afrodenzi (Most Recent Message: 13th November 2013 09:54)
6. Nyamayao
7. The Finest (Last Activity: 23rd January 2014 11:23)
8.

Ahsanteni sana,

Babu DC!!
yaani wako wengi hawaondkani kabisa. Hata huyu mdunguaji Snipper yuko kimya sana. Ujue wengine huenda Mungu keshawavuna...
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu walikuwa wadau wakubwa sana wa hili jukwaa. Usingeweza kumkosa mtu walau kila week. Ila kwa sasa wamepotea sana kiasi kwamba wanazua hali ya wasiwasi. Naomba tujaribu kupeana taarifa kama kuna mwenye hints ili tujue kama bado wapo!

1. @WomanOfSubtance (kwa mara ya mwisho alichangia kwenye huu uzi , na ilikuwa 30th April 2013
2 klorokwini (hajaonekana jukwaani kwa muda mrefu sana, record zinaonesha kuwa post yake ya mwisho ilikuwa 27th April 2012 15:15)
3. Dena Amsi
4. Rose1980 (Most Recent Message: 16th March 2013 14:06
5. afrodenzi (Most Recent Message: 13th November 2013 09:54)
6. Nyamayao
7. The Finest (Last Activity: 23rd January 2014 11:23)
8.

Ahsanteni sana,

Babu DC!!
yaani wako wengi hawaondkani kabisa. Hata huyu mdunguaji Snipper yuko kimya sana. Ujue wengine huenda Mungu keshawavuna...
 
Last edited by a moderator:
Kweli mkuu, Da Asha, AshaDii ni namba nyingine.

Ila pamoja na utani, Jf ya siku za nyuma ilikuwa ya GT kweli kweli!

Babu DC!!
Tulibahatika kuishi vizuri sana aisee, threads za kusisimua na shule ya kufa mtu... hata siku hizi hali ipo ila naona kuna wataalam wa kizaiz kipya naona wamekuja kivingine kwahiyo wazee tumeyumba kidogo

hawakawii kuomba picha...:A S 114:
 
Tulibahatika kuishi vizuri sana aisee, threads za kusisimua na shule ya kufa mtu... hata siku hizi hali ipo ila naona kuna wataalam wa kizaiz kipya naona wamekuja kivingine kwahiyo wazee tumeyumba kidogo

hawakawii kuomba picha...:A S 114:
yaani ilikuwa bonge la familia! hebu weka picha yako bana
 
Tulibahatika kuishi vizuri sana aisee, threads za kusisimua na shule ya kufa mtu... hata siku hizi hali ipo ila naona kuna wataalam wa kizaiz kipya naona wamekuja kivingine kwahiyo wazee tumeyumba kidogo

hawakawii kuomba picha...:A S 114:

Lol, kwani nini bwana, si unamtundikia tu pm, ngoja mtibuane sasa?
 
Back
Top Bottom