Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Halafu huyu Maty sijui alitendwa na nani??
Ngoja nimpatie homework mdau wangu mmoja anaitwa MJ1 (@MwanajamiiOne) anisaidie kumtrace...Nammiss sana huyu mjukuu....
Sitaki nianze kumlilia mtu ambaye yuko anacheza READY pale Nji kasoro bahari!!
Babu DC!!
....hehhhehhh.....ukijaaliwa kumpata msalimie sana swahiba.