Wako wapi hawa wadau?

Wako wapi hawa wadau?

Halafu huyu Maty sijui alitendwa na nani??

Ngoja nimpatie homework mdau wangu mmoja anaitwa MJ1 (@MwanajamiiOne) anisaidie kumtrace...Nammiss sana huyu mjukuu....

Sitaki nianze kumlilia mtu ambaye yuko anacheza READY pale Nji kasoro bahari!!

Babu DC!!

....hehhhehhh.....ukijaaliwa kumpata msalimie sana swahiba.
 
....hehhhehhh.....ukijaaliwa kumpata msalimie sana swahiba.


Mbona nimeongea naye muda mfupi?

Nipe tu ujumbe wowote nitamfikishia mpendwa wangu MwanajamiiOne...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Namshukuru sana Muumba nimeamka salama u salmin asubuhi hii,
Dahhh,....Gone are those days unafungua #JF unachungulia Teamo yamemkumba yapi leo...

au Asprin kakoswakoswa na majanga gani kwenye ile Baa yao!
bila kumsahau klorokwini na chombeza zake za hapa na pale....

huku Fidel80 na The Finest (huyu mara ya mwisho alianza kuhubiri neno na yeye!) wakibandika bandua
mpaka kinaeleweka.
Kipindi hicho JF haikuwa inaboa. Kila jukwaa uendalo unakuta lina wenyeji wake na limechangamka haswaa.
 
Mbona umemsahau Rev Masanilo??

JF ilikuwa na raha bwana...

Ila kama kuna watu wamebadili jezi basi watutonye...nahofia tunaweza kuwaingiza kwenye missing people's list!

Babu DC!!

....siku za mwisho mwisho kumsoma, huyu mchungaji alikuwa #Mkali kweli kweli, midlife crisis hizi hatareee maazee
naamini huko aliko Mwenyezi Mungu muweza wa yote amemvusha salama aisee...
nyumba kubwa?... BelindaJacob?

Yaani I can't Imagine Magwiji wote tajwa leo humu siku hizi wameishiwa
"Maskendeli" ya kubandika jukwaa hili
 
Keki ilikuwa ya mishkaki na Zanzi babu.......ni kitendo endelevu kwa wiki nzima.......bado hujachelewa.......karibu......


Asante sana kwa kutomalizia hiyo karibu........ wajanja tushaelewa wapi pa kuja kupata masalia ya cake
 
....hehhhehhh.....ukijaaliwa kumpata msalimie sana swahiba.

Mbu kwanza na wewe una kesi ya kujibu katika watu ambao walikuwa na thread humu ndani za kiuchokozi na za kuibua mjadala ni wewe siku hizi umekimbia unawaachia wale wanaouliza style au mara ngapi (unajua namaanisha nini) watawale jukwaa tunaishia kuchakachua thread zao na habari za mpira
 
Last edited by a moderator:
....siku za mwisho mwisho kumsoma, huyu mchungaji alikuwa #Mkali kweli kweli, midlife crisis hizi hatareee maazee
naamini huko aliko Mwenyezi Mungu muweza wa yote amemvusha salama aisee...
nyumba kubwa?... BelindaJacob?

Yaani I can't Imagine Magwiji wote tajwa leo humu siku hizi wameishiwa
"Maskendeli" ya kubandika jukwaa hili

Kweli swahiba, watu wamezamia mahala si utani...

Unawakumbuka akina Smiles wa Infi, Pearl na bht??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: bht
Back
Top Bottom