Wakili wa Tigo adai kwao Compliance (Utii) kwa mamlaka ni kipaumbele kuliko Privacy (faragha) za Wateja

Wewe nadhani akili ni kisoda. Hujua hata watu wanajadili nini..

Uwe unasoma na kielewa kwanza, watu wanajadili nin. Siyo unakurupuka na kuandika mambo ambayo siyo hoja ya mjadala. Ona hiki ulichoandika, unaonekana ni mjinga kuleta kitu ambacho siyo hoja ya mjadala.
Tatizo lako hilo genge lenu mtu akipiga chafya tuu mnaanza kurukaruka na kuganyagana, subilini siku ya majumuisho ndiyo hamtajua wakati mnajifanya mnajua, Mr DJ siyo malaika ni Gaidi Over
 
Maxence Melo alisimama imara pamoja na kulazwa lupango kwa wiki kadhaa kutetea haki ya wanachama wa JF.
Kabisa mkuu
Inasikitisha tuna taifa la vijana wengi waoga wasioweza kukosoa pale serikali inapokosea wanachojua ni kujipendekeza ili wapate mkate lakini hawawezi kusimama kwenye haki.
Kuna watu wanaamini serikali huwa haikosei ni ujinga na upumbavu ulioota mizizi.
 
Mimi kanishangaza pale alipoulizwa je ikiwa polisi wakitaka siri za girlfriend wako je utakuwa tayari kuwapa? Jamaa likajibu hapana
 
Mkuu naona leo umevurugwa.Mimi kwa taarifa yako naamini kabisa Mbowe kwa mashtaka yale kuna walakini,lakini najaribu pia kujizuia na kuangalia uhalisia wa kinachoendelea Mahakamani,maana tayari ni kesi inaendelea,siwezi kupeleka hisia zangu kumtukana mtu kisa ameitwa kutoa ushahidi tena kwa nafasi yake.Ndiyo maana kina Kibatala wako pale kupigania haki ya Watuhumiwa,hawajasusa kisa tu wanajua haya ni mashtaka ya kutengenezwa.

Lakini pia huoni kama pengine kupitia huyu shahidi ndiyo ku naweza patikana mianya mingi ya kuwasafisha Watuhumiwa? Assume ushahidi ungeishia kwa Kingai peke yake,wewe ungejuaje weakness za kesi hii?

Unaweza kuta huyu shahidi pia ni mfuasi mzuri tu wa Mh.Mbowe,lakini hapo alikuwepo kutekeleza wajibu wake.Naamini hata wewe ungeitwa kwa nafasi ya Cheo chako usingegoma kwenda Mahakamani,it’s easier said than done.Otherwise nakuelewa sana tu.
Hahaha nikashangaaa. Tunampiga vita kahaba klyn halaf ukawe upande wa watesi. The issue is, jamaa ni kipenyo. Wala si lolote. Alikua shahidi tena kesi ya abdul nondo kama hujui. Halaf wakili hawezi kuwa challenged kihivyo mahakamani. Mbona chuo alichokitaha hayumo?

Ni uongo. Muongo. Maelezo ya muongo huyaona tu ktk maelezo. Huo muamala ulitumea na maneno ya kusindikizia kuwa ni ya kufadhili ugaidi? Huyu siyo mwanasheria wala babake wakili. Mpuuzi mmoja tu. Angekua mume wangu haamki kesho yake huyu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Yani inamaana pamoja na kujinasibu kama watu wanaozijua Sheria, hawakuwa wanajua kama mamalaka zimepewa uwezo huo pale inapolazimu? Na kwa hii kesi ilikuwa ni lazima kuexpose ushahisi wowote unaoweza kurahisha kesi, maana kama ushahidi mzuri wa kuthibitisha makosa ulikuwa unapatikana huko, huwezi kuuacha kwa kigezo cha privacy.

Ningeona wamefaya makosa kama wangefatilia taarifa za siri ambazo hazihusiani kabisa na makosa anayokabiliwa nayo mtuhumiwa, kosa ni kosa tu liwe ni la kifichoni au la wazi.

Nadhani ni kwakua inang'ata kwao ndomaana hawakutaka taarifa za uovu wa jamaa yao zivujishwe.Angekuwa ni Sabaya hapo, ungeona hoja tofauti kabisa kwenye mitandao.
Nenda kafwatilie kesi ya USA gvt na blackberry kuhusiana na kutoa taarifa za watu...waligonga mwamba na hawakupata....hakuna kitu kinathaminiwa na watu walioendelea kama Siri za watejaaa...sio huku serikali inaweza kuzipata wakati wowowte kiurahisi kabisa....mfano mzuri ni jamii forum..just imagine kama serikali ingepata credential za wanachama huku ingekuwaje
 
Hahaha nikashangaaa. Tunampiga vita kahaba klyn halaf ukawe upande wa watesi. The issue is, jamaa ni kipenyo. Wala si lolote. Alikua shahidi tena kesi ya abdul nondo kama hujui. Halaf wakili hawezi kuwa challenged kihivyo mahakamani. Mbona chuo alichokitaha hayumo?

Ni uongo. Muongo. Maelezo ya muongo huyaona tu ktk maelezo. Huo muamala ulitumea na maneno ya kusindikizia kuwa ni ya kufadhili ugaidi? Huyu siyo mwanasheria wala babake wakili. Mpuuzi mmoja tu. Angekua mume wangu haamki kesho yake huyu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app

Wale kina Kyln kweli lazima tupambane nao kwa hali zote.Nakubaliana na wewe kabisa na pengine hii imekuwa ni blessing in disguise kwa kina Kibatala na kadri mashahidi wengine watakavyokuwa wanaletwa ndipo mambo mengi zaidi yatazidi kujifunua,muhimu tuwe na subira,siku zote haki ya mtu haipotei bure.
 
Tigo, Je aliyosema Jana Mwanasheria wenu mahakamani ndiyo Sera ya kampuni?

Sina lengo wala Nia ya kuingilia kesi inayoendelea Mahakama ya Uhujumu uchumi dhidi ya Freeman Mbowe na wenzake. Kwa vile kesi inaendelea na maisha yanaendelea na watanzania hata Leo wanatumia line za Tigo naomba ufafanuzi toka Kwa menejimenti ya Tigo hususan Afisa Habari wao kama Siri za wateja si kipaumbele Chao.

Anisaidie nielewe kama Taarifa za mteja wa Tigo zinapatikana kirahisi Tu hasa Polisi aanapozihitaji. Tunaona Kila siku Polisi fake tena Wenye manyotanyota wanakamatwa na huku uchongaji wa mihuri ukiwa hauna Sheria maalum inayosimamia.

Yaani Mimi Bila bila naweza kuchonga na kumiliki Mihuri wa Mkuu wa Upelelezi mkoa wa Njombe nikautumia kuandika barua kwenda Tigo na kupewa tàarifa za mke wangu huku Tigo wakiamini wanaipa Polisi Taarifa maana Hakuna formula maalum ya utoaji Taarifa za wateja.
Tigo nawasubiri tafadhali ili Watanzania tujue cha kufanya kuanzia Leo.
 
Mitandao ya simu Tanzania yote ni hovyo tupu maana waliingia kimagumashi na wanafanya hivyo hivyo
 
Makampuni yote ya simu wanalazimika kutoa taarifa hizo na hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi

Kwahiyo yupo sahihi kujibu hivyo
 
Itakuwa hivyo kama yy ndio muwakilishi wa kampuni unataka kauli gani tena?!
Kwa maelezo yake Mwanasheria Kapala anasema yeye alipokea barua toka Polisi, akashuguulika nayo yeye, akatoa majibu yeye peke yake. Kwa maelezo hayo inawezekana amefanya hayo yote bila uongozi kujua, ndo maana Nataka msemaji atueleze kama ndo Sera ya kampuni Yao au ni tofauti. Anaponijibu Hana haja ya kutaja reference yoyote isije onekana anaingilia ushahidi. Yeye anijibu Mimi tu ili wateja wa Tigo wajue mbivu na mbichi.
 
Mitandao ya simu Tanzania yote ni hovyo tupu maana waliingia kimagumashi na wanafanya hivyo hivyo
Sio mitandao ya simu tu, hata benki za kitanzania, kama crdb, na nbc ni za hovyo sana hutoa taarifa za wateja bila idhini au taarifa kwa client wao, police yoyote mwenye ka cheo ana waomba Bank statement na taarifa zingine za mtaja na wana toa haraka sana, hi nchi ni ya hovyo sana, sema tu hatuna pa kuenda kuishi.
 
Sijakataa law authorities kupewa data lakini iwepo kisheria. You don't just fill in a form by any Tom on request from any Dick. Pata go ahead toka Courts/judge.
 
Wale kina Kyln kweli lazima tupambane nao kwa hali zote.Nakubaliana na wewe kabisa na pengine hii imekuwa ni blessing in disguise kwa kina Kibatala na kadri mashahidi wengine watakavyokuwa wanaletwa ndipo mambo mengi zaidi yatazidi kujifunua,muhimu tuwe na subira,siku zote haki ya mtu haipotei bure.
kwa klyn tutauanaaaa. Yaan yule na viki wake tutawanyonga. Majangili yapo tu yametulia wanamsumbua mbowe wa watu. Waache jamhuri wazidi kujiacha uchi. Siye tunachungulia tu nyeti zao.
 
Yani inamaana pamoja na kujinasibu kama watu wanaozijua Sheria, hawakuwa wanajua kama mamalaka zimepewa uwezo huo pale inapolazimu? Na kwa hii kesi ilikuwa ni lazima kuexpose ushahisi wowote unaoweza kurahisha kesi...
Duh! Kweli huko ccm Kuna vichwa maji wengi.
 
Sasa wewe, iwapo mtu na genge lake wanataka kupindua nchi, raia mwema akatoa siri na achilia mbali kampuni zikagundua kuna mpango wa kufanya vitendo viovu. Ina maana hiyo kampuni ya mawasiliano ikae kimya kisa eti wana linda siri za mteja?? kweli nyumbu mumechanganyikiwa. Mr DJ ni gaidi
Ndugu, tumia akili tu kidogo, raia Hana uwezo wa kijua mipango miovu na kuchukua hatua. Ndio maana unapaswa uwashirikishe polisi. Barua kwenda kwa wakili wa tigo haikutoka polisi, wala haikuwa na sababu ya kumfanya atoe taarifa.

Ndio maana aliuzwa je ukiletewa taarifa achunguze mienendo ya girlfriend wa polisi atafanya hivyo?

Haya mambo hayahitaji division 3 .hata ninyi wenye division zero mnaweza kuelewa huu ujinga
 
Ndugu, tumia akili tu kidogo, raia Hana uwezo wa kijua mipango miovu na kuchukua hatua. Ndio maana unapaswa uwashirikishe polisi. Barua kwenda kwa wakili wa tigo haikutoka polisi...
Na bado mtakanyagana sana awamu hii, inaonyesha muuliza swali na wewe wote ni zero brain. Hujui kama iwapo kuna kiongozi fulani iwapo anatumia madaraka yake kuwanyanyasa watu kingono hawezi kuchunguzwa kwa kupitia mfumo wa mitandao?

Whatsaps--picha, simba mbovu sana (SMS), voice call n.k??. Jibu ilikuwa ndiyo natoa iwapo police na girlfriend wake wanania ovu, na iwapo zikitakiwa natoa. OVER
 
Back
Top Bottom