wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,530
- 5,060
Mama hana shida hao wasaidiz wake ndiyo tatizoHuyu Mama anaweza kunyonga.
Msipo wasema hao wasidiz wataendeleza uhuni wao wakijua mtamtupia mama lawama
Mama hana shida hao wasaidiz wake ndiyo tatizoHuyu Mama anaweza kunyonga.
Huyu mama ndie alikuwa anamwambia meko fanya hivi Fanya vile sasa kashika usukani
Bora akakutane nayo,aache Roho mbaya, madaraka ni ya muda mfupi tu,tutakufa MUNGU atatuhukumu kwa kutumia vibaya madaraka yetu.Nahuko Marekani Atakutana na MABANGO
Acheni kumtetea.Yeye haoni?Mama hana shida hao wasaidiz wake ndiyo tatizo
Msipo wasema hao wasidiz wataendeleza uhuni wao wakijua mtamtupia mama lawama
Lkn kwa mtu mwenye hofu ya MUNGU asingeweza kufanya hivyo,angetafuta njia nzuri ya kuyaweka Mambo sawa.Roho hiyo wameipanda chadema. Walivyoanza kumbip sasa kawapigia wanalia. Wanataka wapewe nn jaman, si tulisema ni mpole apende asipende atatupa katiba mpya?
Watu wenye nyuso za kusinzia sinzia na sauti za upole huwa ni wakatili kuliko Adolf Hitler.Mama Lina roho mbaya lile, shetani ana afadhali
Tutaaminije kama kweli yupo huko?Huna kamera ww ukaenda kupiga ukaweka hapa.
Unataka kuheshimiwa sana, Kwani wewe MUNGU??.Ni MUNGU peke yake ambaye huwezi kumwendea kwa kufoka foka Wala kwa kumwamlisha,lkn waliobaki chini ya jua ni full kufokeana.Acheni kujifanya miungu watu.Tatizo anadaije?
Hata mimi mwananchi wa kawaida sikupenda sauti ya kibabe wakati utulivu ungeweza kuwa na nguvu zaidi.Ajifunze kuacha dharau huyu jamaa
Wakati huo wahusika wataishi milele??.Anaandaliwa mazingira ya kufia mahabusu!kwanza kifo cha kiakili na kisaikolojia halafu akate tamaa afe kiroho baadae kimwili hata kwa homa ndogo tu ichukue uhai wake!!!
Kweli kabisa Mkuu.MUNGU ndiye mwamuzi wa yote,sote wapitaji tu, dunia sio yetu.Roho mbaya ya mama Samia inasababisha watu tumuombe mabaya badala ya mema.Tuzidishe dua Mungu atende tena ila tu majibu yakirudi tusilazimishane kuomboleza na tukisherehekea msituone wa ajabu ajabu
Ndiyo hivyo,huo ni mpango maalumu.Kama hiyo amri imetolewa na Rais, basi huyu Mama ni shetani ambaye hatujawahi kumshuhudia.
Hapo roho yako burudaanii utafikiri umepakatwaRoho hiyo wameipanda chadema. Walivyoanza kumbip sasa kawapigia wanalia. Wanataka wapewe nn jaman, si tulisema ni mpole apende asipende atatupa katiba mpya?
Wewe umefaulu lipi?Ndio maana anafeli kwenye mambo mengi kwani hii ni laana.
Hata ungekuwa wewe, gaidi ungempa adhabu gani? Gaidi anapaswa kunyongwa tuSamia akiwa kazini
Mkatili sana huyu mama