Wakili Peter Madeleka Akoshwa na Serikali ya Awamu ya Sita Kusimamia Maridhiano

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Wakili Peter Madeleka akizungumza katika mahojiano maalum aliyoyafanya na Global TV jijini Arusha kuhusu sakata la kuhojiwa kwa tuhuma za utoro jeshini ameipongeza Serikaloi ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa maridhiano.

Madeleka ameeleza kuwa ana imani kuwa Serikali ya awamu ya Sita itamlipa stahiki zake kama ambavyo imefanya hivyo kwa wale alioeleza kuwa waliteseka wakati wa utawala wa awamu iliyopita akitoa mfano wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu

Credit Global TV

 
Wakili Peter Madeleka akizungumza katika mahojiano maalum aliyoyafanya na Global TV jijini Arusha kuhusu sakata la kuhojiwa kwa tuhuma za utoro jeshini ameipongeza Serikaloi ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa maridhiano.

Madeleka ameeleza kuwa ana imani kuwa Serikali ya awamu ya Sita itamlipa stahiki zake kama ambavyo imefanya hivyo kwa wale alioeleza kuwa waliteseka wakati wa utawala wa awamu iliyopita akitoa mfano wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu

Credit Global TV

View attachment 2818071
Mkuu umetoka kapa kwenye hiyo interview wakati ipo kwa Kiswahili. Ingelikuwa kwa Kiingereza je ingelikuwaje?
 
Back
Top Bottom