Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Wakili Peter Madeleka adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kutoka katika Hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam Jioni hii.
----
Hilda Newton kupitia akaunti yake ya Twitter amesema haya
Wakili Peter Madeleka amekamatwa muda huu Serena Hotel Dar Es Salaam na askari waliovalia kiraia anapelekwa Central Police Dar Es Salaam.
Familia ya Peter Madeleka wanasema wamefika Central Police Dar muda huu kwa ajili ya kujua Madeleka kakamatwa kwa kosa gani lakini wameambiwa kwamba Jeahi la Polisi hawajamkamata wala hawamshikilii Madeleka.
Tusaidiane kupaza sauti #FreePeterMadeleka
Familia ya Peter Madeleka wanasema kwamba wamearifiwa kwamba Madeleka yupo Makao Makuu ya Jeshi la Polisi anahojiwa kwa tuhuma za kuwatuhumu Uhamiaji kuwa wanataka kumuua.
Yani badala ya kuwahoji hao waliokuwa wanapanga kumuua wao wamemgeuzia kibao Madeleka, Inasikitisha
THRDC yazungumzia Taarifa ya kukamatwa kwa wakili Peter Madeleka
Pia soma
----
Hilda Newton kupitia akaunti yake ya Twitter amesema haya
Wakili Peter Madeleka amekamatwa muda huu Serena Hotel Dar Es Salaam na askari waliovalia kiraia anapelekwa Central Police Dar Es Salaam.
Familia ya Peter Madeleka wanasema wamefika Central Police Dar muda huu kwa ajili ya kujua Madeleka kakamatwa kwa kosa gani lakini wameambiwa kwamba Jeahi la Polisi hawajamkamata wala hawamshikilii Madeleka.
Tusaidiane kupaza sauti #FreePeterMadeleka
Familia ya Peter Madeleka wanasema kwamba wamearifiwa kwamba Madeleka yupo Makao Makuu ya Jeshi la Polisi anahojiwa kwa tuhuma za kuwatuhumu Uhamiaji kuwa wanataka kumuua.
Yani badala ya kuwahoji hao waliokuwa wanapanga kumuua wao wamemgeuzia kibao Madeleka, Inasikitisha
- Ukifuatilia akaunti ya Peter Madeleka Twitter; utabaini ni mtu mwenye kisasi na asiyefaa kupewa madaraka yoyote
- Wakili Peter Madeleka: Mimi na mke wangu tulikamatwa na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi, nitawashtaki
- Wakili Peter Madeleka: Freeman Mbowe amechanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa gerezani
- Wakili aeleza walivyosota gerezani na mkewe miezi 18, waamua kudai fidia
- Wakili Peter Madeleka umekuwa lini msafi hadi umfundishe Rais kazi?