stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,384
- 3,494
Wanahangaika tu, hata wamuweke wapi aibu ya mashitaka fake haitowaacha salama.
Hizi zitakuwa ni hasira za kumkataa Jaji wa kimkakati.
sasa mbowe mwenyewe ashaanza kuchagua wakili, anajua alichofanya kwahio kua mpole