piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Subiri kwani unaenda wapi?
Mtahaha sana
Mmmmmhhhhh!!!!naona mtu anajitekenya na kucheka pekee yake, for sure material poverty is much better than mental poverty, shame.
Subiri kwani unaenda wapi?
Mtahaha sana
Mkuu Gwanco, kwanza asante kwa kudhani namtisha!, no!, nampa tuu ukweli halisi wa kitu kinachoitwa "criminal responsibility" na "criminal liability", mtu ukiijua criminal activities yoyote usipoiripoti kwenye vyombo husika, then wewe pia ni mhusika as "an accessory before the fact" kama uliijua kabla haijatendeka or "an accessory after the fact", kama uliijua baada ya kutendeka, na akistakiwa mtendaji uhalifu huo, wewe uliojua ukanyamaza, unaunganishwa kwenye kesi husika!.Usimtishe mwache aseme hawa wote waliwahi kifanya kazi cdm makao makuu wanasiri kuwa za mauaji
Umeonyesha facts zako vizuri lakini hapo kwenye red sikubaliani na wewe kuna shida gani kesi ikianza tena lakini haki ikapatikana?Deus Mallya umenifanya kukumbuka utata wa kifo cha Wangwe, ulikuwa naye kwenye gari;
1. Toka nyumbani wewe ulikuwa ukiendesha gari, ukalipeleka gereji.
2. Baada ya ajali mwili wa Chacha Wangwe umekutwa katika siti ya abiria ya mbele, ikiwa imefungwa seat belt bila kuwepo ndani ya gari wewe dereva uliyekuwa unaendesha gari ile.
3. Wenyeji wa Pandambili namkumbuka Mzee Mwigune aliyekuwa wa kwanza kufika eneo la ajali na kukuta gari ikiwa na abiria tu Chacha Wangwe bila dereva.
4. Baada ya dakika kadhaa mashuhuda wanakuona ukitokea ilikotoke gari kabla ya ajali ukiwa na damu katika shati lako mkononi ukiwa na laptop ya marehemu.
5. Hapa ndipo tunapoanzia kujiuliza process ya kifo chake ilikuwa huko ulikotokea?
6. Nini kilikupeleka pale ukiwa na laptop ya marehemu wakati hukuwemo kipindi gari inapinduka.
7. Ikiwa nyumbani ulionekana ukiendesha gari ile wewe je nani alikupokea usukani?
8. Kama ni Wangwe mwenyewe alikuwa akiendesha,, alihameje kiti toka cha dereva hadi cha abiria akajifunga mkanda kisha akafariki?
9. Laptop ulikuwa nayo tokea wapi, uliichukua wakati gani na kwanini.
10.USHAURI WANGU KWAKO DEUS MALLYA;
Tafuta mwanasheria akushauri kwa kuwa ulishatumikia kifungo chako kidogo huku ukiwa umeacha kovu ambalo kamwe halitafutia kwa wanafamilia, bora ungekaa kimya kwasababu kisheria suala hili lilishaisha vinginevyo ukweli utakao utoa leo utai-provoke mahakama lazima kila kitu kianze upya.
Hivi utaendelea hadi lini kutumika kama gogo la chooni!? Hivi unajua athari za hayo uliyotumwa kusema? Hebu jaribu uone utakavyoishia gizani you damn traitor mchumia tumbo!! Hayo ndiyo uliyofuata kwa bosi wa star tv!!???Cheza na MUNGU usijelaumu kwa njaa zako zinavyokutuma!!Salaam!
Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.
Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.
Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'
Naamini kwa Mungu siku zote
Naamini nikifa ni kwa Mpango wake
Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.
Deus Mallya
Dar es Salaam.
Ni kweli kabisa!! Huyu atajionyesha alivyotenda jinai kwenye mahakama na ataishia jela ya maisha!! kama siyo kunyongwa!!Pasco,
Ndio maana mimi ntasema mpaka kesho ZZK ana watu vilaza sana ambao hawawezi kumsaidia. Ni wepesi mno vichwani, wana fikira kiduuchu (short term) sana. At least wewe Pasco ni mjanja mjanja kidogo ingawa bado.....Sometimes you can get back to your senses...
Watu wa design hii hawamfikishi ZZK kokote. Hivi kweli mtu unasema hadharani fulani kamuua fulani na bado vyombo husika vinakuchekea tu? Kweli....?
Hii nchi imekuwa ni ya ajabu sana, Njaa ni kitu kibaya sana...Mungu atusaidie...
Mkuu BMO, asante kwa ushauri huu kwa huyu dogo, wasiwasi wangu sio ukweli kujulikana, bali hii dilly dallying ya nseme nsiseme!, isije akawa silenced jumla!.
Thanks.
Pasco
Duh "Benazir" !
Sasa mimi naingiaje hapa? Povu ulilotoa hapa linatosha.Niongeze lingine la nini?
Umeonyesha facts zako vizuri lakini hapo kwenye red sikubaliani na wewe kuna shida gani kesi ikianza tena lakini haki ikapatikana?
Mkuu Gwanco, kwanza asante kwa kudhani namtisha!, no!, nampa tuu ukweli halisi wa kitu kinachoitwa "criminal responsibility" na "criminal liability", mtu ukiijua criminal activities yoyote usipoiripoti kwenye vyombo husika, then wewe pia ni mhusika as "an accessory before the fact" kama uliijua kabla haijatendeka or "an accessory after the fact", kama uliijua baada ya kutendeka, na akistakiwa mtendaji uhalifu huo, wewe uliojua ukanyamaza, unaunganishwa kwenye kesi husika!.
Hata hivyo sheria imetoa kinga kwa watu wenye kitu kinachoitwa "fiduciary relationship" hata wakiujua ukweli wa jinai, wasiporipo, hawashitakiwi!, hawa ni "mke na mume", "mzazi na mtoto", "mwalimu na mwanafunzi", daktari na mgonjwa", na "wakili na mteja wake", kundi hilo, hata wakijua au kushuhudia jinai ya wahusika hao, hawapaswi kuripoti jinai hiyo, na hata wakijulikana walijua.
***KAMANDA LEO UMEMEZAMAWE YA HATARI N YENYE KILO ZISIZO PIMIKA KIMZANI!
='SHERIA NI MAISHA NA MAISHA NI KWA SHERIA DHIDI YA DHULUMA'.
Ni kweli kabisa!! Huyu atajionyesha alivyotenda jinai kwenye mahakama na ataishia jela ya maisha!! kama siyo kunyongwa!!
Wala hawaambui lolote!! wale wataalam wa Kenya wanayoripoti! na sababu za serikali kuificha na kutengeneza yake zitajulikana!! Huyu Mallya haponi!! hebu subiri watamfanya mbuzi wa kafara!!
Mkuu huyu anatumika na wanaomtuma wapo juu ya sheria na lengo mahususi la hiki anachokichokonoa na kuihusisha CHADEMA na kifo cha Chacha Wangwe lakini ikumbukwe wakati Chacha Wangwe anafariki alikuwa na hoja Binafsi aliyotaka kuiwasilisha Bungeni na ilihusu kifo cha Balali kwani yeye Marehemu iliaminika alikuwa na ushahidi wa kutosha kuwa Balali hajafa na ni wapi yupo na ilikuwa iwasilishe hoja hiyo baada ya Kurudi safari yake ya DSM lakini ndio mauti yakamkuta kabla ya kutimiza lengo lake.
- Pia ni vema tukajikumbusha matukio baada ya kifo chake, Familia ilitafuta wataalamu kutoka nje ya nchi(Kenya) kwa ajili ya kufanya Postmoterm huku serikali ikiweka wataalam wake kwa ajili ya kazi hiyo matokeo ya Postmoterm yalileta utata na ikabidi Serikali izuie majibu ya wale wataalam wa kigeni na kutamka wazi kuwa majibu ya wataalam wa Serikali ndio yatakayokubalika na suala zima la upindishaji wa Taarifa hizi lilisimamiwa kwa nguvu zote na kaka wa Marehemu Ndugu Wangwe ambaye ni kada wa CCM na kama sikosei anakacheo ndani ya CCM.
- Ninachojiuliza kama ni kweli kuna mkono wa CHADEMA na kifo kile na kwa jinsi CCM wasivyoipenda CHADEMA na kutaka ipotee kabisa hususani hawa viongozi wake Mbowe na Dr. Slaa ni kweli katika chunguzi zote zile walishindwa kuyagundua haya anayoyataka kuyasema huyu Mchumia tumbo Deus?
Mkuu BMO, asante kwa ushauri huu kwa huyu dogo, wasiwasi wangu sio ukweli kujulikana, bali hii dilly dallying ya nseme nsiseme!, isije akawa silenced jumla!.
Thanks.
Pasco
kaka ni bora kufa maskini wa roho kuliko kuuza utu wako wa vipande vichache vya fedha - tena mbaya zaidi za umma!!
kajamaa kameshatangaziwa dili - hapo lazima kaite press ndani ya wiki hii ili kujaribu kuvuruga uchaguzi wa kitaifa - CDM
Ukizingatia sheria ya ushahidi inavyosema "hawezi kushitikiwa tena kwa kosa lile na ushahidi uleule" hivyo yeye aseme atakuwa huru zaidi.Naungana nawe, wakati natoa ushauri sijui nilikuwa nawaza nini, lakini nimshauri kuwa aseme ukweli ili kweli umweke huru.
hivi vituko ni kawaida kujitokeza kila uchaguzi mkuu unapokaribia na kuna watu watatumika sana lakini uchaguzi ukipita watatelekezwa kama misukule.
unamkumbuka yule chizi aliyekuwa akizungushwa majukwaani na mwigulu? yuko wapi sasa? kwishney---katupwa kama ganda la mua la jana. mtatumika sana safari hii.
Mkuu BMO, asante kwa ushauri huu kwa huyu dogo, wasiwasi wangu sio ukweli kujulikana, bali hii dilly dallying ya nseme nsiseme!, isije akawa silenced jumla!.
Thanks.
Pasco