Wakati wa mimi kusema umefika

Wakati wa mimi kusema umefika

By Deus F Mallya:
Mimi ni mfanyabiashara..Nina kampuni yangu ya Printing of Promotional Items. Nimechapa baadhi ya mabango, Bendera, T.Shirts, Vitabu, Calendars, Etc...

Wangwe ndiye aliyeniita Dodoma akanipe kazi ya kuhariri na kuchapa kitabu chake alichokuwa mbioni kukitoa. Kilichopelekea nikasafiri naye gari moja ni kuwa yeye alipata taarifa za msiba siku moja kabla ya mimi kurudi Dar (Baada ya kukubaliana aina ya kitabu alichokitaka) Hakuona sababu ya mimi kusafiri kwa bus na yeye kusafiri mwenyewe kwa gari binafsi. Ikumbukwe kuwa safari ya kutoka Dar kwenda Bungeni Dodoma aliendesha mwenyewe na mimi nilienda siku tisa baada ya yeye kufika Dodoma.
...........
Mambo ya maburungutu ya feza za diallo yatamfanya mallya ayakane hata maneno yake kama hayo!

By Deus F Mallya:
Majibu mengine:

"Inadaiwa kuwa kuna watu waliokuwa 'Nyuma ya pazia' kwenye kesi ile (Ndiyo maana ilifunguliwa wilaya ya Dodoma Mjini badaya ya Kongwa)."

Binafsi sina majibu hapa Duniani. Mimi ni Binaadamu kama walivyo wengine. Pia mimi ni mgumu sana kuzungumza nisichokuwa na uhakuka nacho. Ikiwa wapo waliokuwa 'Nyuma ya pazia' kuzuia lengo langu 2010 (Japokuwa halikuwepo kiukweli) Nilishamwambia Mungu Ashughulike nao.

Kuna mdau hapo juu amesema kuwa 'Atapitishwa' Komu 2015. Naomba kumhakikishia kuwa CHADEMA na CCM ni tofauti kama ilivyo Jehanum na Mbinguni. Maamuzi ya CHADEMA huwa hayafanywi kama ya CCM!.. CHADEMA kuna viongozi, CCM kuna Watawala. Kuna taratibu za kumpata mgombea kwa mujibu wa katiba kwa maana hiyo hata kama nisipogombea/kutokupitishwa kwenye kura ya maoni bado nitakuwa na imani na Kiongozi atakayepitishwa. By the way bado tupo kwenye main road kuelekea M4C nadhani haya si vyema sana kujadili kiundani kwa sasa.

Sote ni ndugu, tatizo ni CCM!.
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Mallya huyohuyo akikirarua ccm ambacho ni chama alicho na mahaba ya dhati kwa sasa!
Invisible sheria na kanuni zetu zinasemaje kuhusu watu waongo na matapeli kama huyu Tapeli Deus Malya?
 
Last edited by a moderator:
huyo dogo bado anazunguka mbuyu? watu kama hao wanastahili vitasa tu, kanakua kama vile kanasubiri kutekenywa ndio kaongee, im tired of waiting.
 
Hakuna uhusiano wa uzi na maelezo,weee dogo hiyo dhambi itakusumbua sana.
 
Love u too darling.....nimekumisije sasaaaa!
B2T, jamaa kashasema au bado anafikiria hadithi ya kutoa?!
Hebu twenzetu PM mke wake ODM

Nimechoka kukumisi bhana.
 
Dogo anatafuta sifa za kijinga,haya endelea dogo.
 
Salaam!

Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.

Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.

Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'

Naamini kwa Mungu siku zote
Naamini nikifa ni kwa Mpango wake
Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.

Deus Mallya
Dar es Salaam.
Kweli unaogopa hata ulichosema unataka kusema umesahau acha woga.
 
Time will tell.....Siasa haimuachaji mtu salama..mtatajana tu
 
Move yako na Dialo ndio imeanza ama tusubiri ingine?

Kuna thread ulishajibu kuhusu kifo cha Kamanda Chacha Wangwe.

Ndg. Kimbuka ndugu wa Chacha ni binadamu kama unamtumia marehemu ili kujijenga ama kupata pesa inawauma sana.

Why usitafute kick zingine?

Ok weka hiyo move CHADEMA ni mpango wa Mungu.

Hahahaaa! acha uoga mwache aseme..Ingekuwa inmuhusu waziri usingependa kusikia???
 
DEUS MALYA Upo?? Wale vijana uliowatapeli pesa ZAO mwaka 2013- wanakutafuta,wanalalamika umewablock fb,na simu umebadili,au unasubiri siku wakikufikisha mikononi mwa sheria uanze kulalama kuwa unasakamwa sababu ya SIASA?? ONDOA KWANZA BORITI ULIYONAYO KABLA HUJAJA KUJIANIKA HUKU JF KIJANA .
Ni wewe RC wa Simiyu?
 
Back
Top Bottom