Wakati wa mimi kusema umefika

Wakati wa mimi kusema umefika

Kwa nini aseme sasa? Think abt that! Tunavyojua alishasema yote mahakamani sasa anataka kusema nini ambacho hakusema wakati ule? Kama kuna kitu alikuwa amesahau sii angekata rufaa na kwenda kukisemea mahakama ya juu zaidi?
Siku hizi umezuka mtindo wa hata mambo yanayostahili kuripotiwa Polisi au mahakamani hayapelekwi huko bali STAR TV na JF kwa nini?
While thinking: thinking, think about that.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Mbowe pole sana una vijana waoga sana! Yani wote wako hoi sasa hivi na wamesahau tena hule msemo kuwa walianza na Mungu!

Sasa Leo ndio Leo mboga zinamwagwa na sahani zinavunjwa kabisa!

Inaonekana kuna kitu chadema wanaficha maana naona vijana wana pressure sana.
 
Nimesubiri aseme, sioni lolote, kumbe hana jipya tu anapima kuona kama Diallo ataongeza dau!!

Huyu anapima upepo ili aone huo upuuzi wake utapokelewa vipi na jamii! Utakubalika au atumie plan B waliyokubaliana?
 
Kwa nini aseme sasa? Think abt that! Tunavyojua alishasema yote mahakamani sasa anataka kusema nini ambacho hakusema wakati ule? Kama kuna kitu alikuwa amesahau sii angekata rufaa na kwenda kukisemea mahakama ya juu zaidi?
Siku hizi umezuka mtindo wa hata mambo yanayostahili kuripotiwa Polisi au mahakamani hayapelekwi huko bali STAR TV na JF kwa nini?
While thinking: thinking, think about that.


Sent from my iPad using JamiiForums

Ndiyo maana amesema Wakati wa kusema umefika. Jambo lolote ni wakati tu. Muacheni aseme msimzibe mdomo.
Kwa mnavyotokwa mapovu wenyewe naamini mnajua kuna jambo limefichika hapo. Hata hajasema anachotaka kusema naona mnaanza kumshambulia !!!!!!!!!!!!!!!
 
Nimesubiri aseme, sioni lolote, kumbe hana jipya tu anapima kuona kama Diallo ataongeza dau!!

Huyu anapima upepo ili aone huo upuuzi wake utapokelewa vipi na jamii! Utakubalika au atumie plan B waliyokubaliana?

Subiri kwani unaenda wapi?
Mtahaha sana
 
Kama unatumika kwa vile kipindi cha uchaguzi ndani ya chama kimefika basi umepotea njia. Kumbuka humu JF watu walikutetea sana na hoja nyingi za kizushi kuwa ile haikuwa ajali bali ni mpango wa mauaji ulioandaliwa na Chadema.

Wewe binafsi ulisema mengi sana na tena hoja zako nyingi ulimshirikisha MUNGU kuwa anaujua ukweli wa jambo hilo unalojitetea dhidi ya wanaCCM waliokutuhumu mengi. Hata mahakama ya sheria iliiona ile ajali kama ajali zingine tuu.
Hivi karibuni kuna vijana wanaotumika na CCM kama Mchange, Mtela na Shoza wamekuwa wakitoa taarifa za ajabu ajabu na kwa vile tuu serikali hii inaendeshwa ki mazabe mazabe basi ndio maana hao vijana hawako Segerea.

Huwezi kujitapa hadharani kuwa umeshiriki mauaji ya mtu ukapona. Wewe utakaa ndani na uliyemtaja atachunguzwa ili kupata ushahidi.

Tetesi kuwa ulikuwa na mawasiliano ya siri na Mratibu wa "CHAFUA CHADEMA" yule mzee fisadi wa Elimu na mali za umma Bw Diallo ulipaswa uzitolee ufafanuzi na kujisafisha. Kama ni kweli anakutumia nakuhakikisha utajijutia siku moja na hao wanaokutumia (CCM) watakutosa.

Nakushauri kama kuna njama zilifanyika kati yako na baadhi ya watu ili ile ionekane ajali wakati sio ajali bali ni njama mbaya basi funga safari na hilo tamko lako kalitolee kule TARIME. Kisha ndio uje hapa JF kutufahamisha kilichotokea kama utakuwa hai.

Sent from my iPad using JamiiForums

Leo baada ya huu uzi kuna watu nimewajua aisee ha!ha! kumbe wewe ndo unatumia hii ID.
 
Mkuu hapo juu nimemshauri kuwa hiyo taarifa yake ni bora aende akaitolee kule Tarime ambako ndio Marehemu Wangwe alikokuwa anakuwakilisha. Kisha akirudi hai kutoka huko aje atumegee na sisi hapa JF


Sent from my iPad using JamiiForums

Mkuu tulia mbona una pressure wakati hajaanza hata kuongea?
 
Salaam!

"Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!."

Deus Mallya
Dar es Salaam.
Nimeamini kuwa watanzania wengi tuko nyuma kwenye "fasihi" mnataka nini tena Deus Mallya aseme? mbona mwenye akili tayari anajua ebu angalia nukta zifuatazo:
-Kwamba hatojibu wa vile anapokea matusi, kejeli na kutishiwa kuvamiwa,
-Kwamba ameambiwa akae kimya,
-Kwamba hata wakimtisha na hata akifa ukweli utabaki kuwa ukweli na utaishi hata kwa vizazi vijavyo,
-Kwamba wanaomtisha na kumwambia akae kimya ni wafuasi wa chadema,
-Kwamba tujiulize kwa nini wanamtisha na wanamwambia akae kimya?
-Kwamba wanamwambia akae kimya ili asiseme nini?
-Kwamba kwa nini chadema wana hofu asiseme?
Tukijiuliza na tukichambua nukta hizi tutapata jibu, na kwa mwenye akili jibu liko wazi na kuwa Deus Mallya kwa maana nyingine tayari ameshasema.

 
Nenda kwa DPP maana Serikali kwa niaba ya Jamhuri ndiyo iliyoshindwa kwenye rufaa yako...

Hakikisha unawapa ushirikiano ili kesi yako iwnze upya! Na kama walikosea kukutia hatiani muda mzuri ni sasa...

Otherwise kama kuna jipya inatakiwa intelijensia ya nchi ndio ifanye kazi na sio kudakia viporojo kama walivyofanya kwa Lwakatare..

Rais ameombwa muda mrefu sana kuunda tume huru ya Kijaji ifanye uchunguzi wa matukio mengi ya vifo nchini lakini Rais na Serikali yake hawataki na wanafanya maigizo tu..
 
Ulikua wapi siku zote?, tuiite nini hii? maana ni zaidi ya njaa na unafiki uliokubuhu,
Nyie mnaoekti uana siasa ni washenzi sana......
kaka ni bora kufa maskini wa roho kuliko kuuza utu wako wa vipande vichache vya fedha - tena mbaya zaidi za umma!!

kajamaa kameshatangaziwa dili - hapo lazima kaite press ndani ya wiki hii ili kujaribu kuvuruga uchaguzi wa kitaifa - CDM
 
Nimeamini kuwa watanzania wengi tuko nyuma kwenye "fasihi" mnataka nini tena Deus Mallya aseme? mbona mwenye akili tayari anajua ebu angalia nukta zifuatazo:
-Kwamba hatojibu wa vile anapokea matusi, kejeli na kutishiwa kuvamiwa,
-Kwamba ameambiwa akae kimya,
-Kwamba hata wakimtisha na hata akifa ukweli utabaki kuwa ukweli na utaishi hata kwa vizazi vijavyo,
-Kwamba wanaomtisha na kumwambia akae kimya ni wafuasi wa chadema,
-Kwamba tujiulize kwa nini wanamtisha na wanamwambia akae kimya?
-Kwamba wanamwambia akae kimya ili asiseme nini?
-Kwamba kwa nini chadema wana hofu asiseme?
Tukijiuliza na tukichambua nukta hizi tutapata jibu, na kwa mwenye akili jibu liko wazi na kuwa Deus Mallya kwa maana nyingine tayari ameshasema.


Hahahahaha....... Mbona umemaliza kabisa Mkuu duchi ???
 
Last edited by a moderator:
Nakumbuka Mtikila alipopolewa mawe alipotumwa kupeleka uzandiki wake msibani Tarime.. mshtue akusaidie pia..

Majamaa hayajiamini eti yanapima upepo..
 
kaka ni bora kufa maskini wa roho kuliko kuuza utu wako wa vipande vichache vya fedha - tena mbaya zaidi za umma!!

kajamaa kameshatangaziwa dili - hapo lazima kaite press ndani ya wiki hii ili kujaribu kuvuruga uchaguzi wa kitaifa - CDM

Mnachochekesha ni kwamba hata hamjui anachotaka kusema lakini mmeanza kusema na athari zake
 
Hivi jamani,,ndugu yangu Ben Saanane yuko wapi..,mbona simuoni akitokwa mapovu kwenye thread kama hizi...yaani Mzee wake anakaribia kupelekwa lupango na yeye amekaa kimya kama hayamuhusu..njoo uwaambie umma wa JF kuwa hatuhusiki na atakachosema Mallya ni uzushi.
 
Njaa ndio inaua vijana wa Tanzania na kuwafanya mazuzu. Pole sana kijana kwa kuishi ukiwa mfu kwa sababu ya njaa yako
 
Back
Top Bottom