Wakati wa mimi kusema umefika

Wakati wa mimi kusema umefika

- Wacheni aseme mnaogopa nini na hamuhusiki na kumuuaaa Wangwe mpaka mnatia huruma, kule UKAWA Lissu kaulizwa na Rais sio wewe uliyelilia Rais asiwe na mamlaka ya kuvunja bunge sasa unalilia nini hana jibu here you are muwacheni aseme sisi wananchi tutaamua kama ana hoja au hana mambo ya UKAWA kupigana ngumi kwenye vikao vyenu msituletee kwenye Taifa!!

Le Mutuz

Mshua wako mwakan hagombei tena urais? maana huku kwetu tumemiss kuona ndege, tokea alivokuja kipind kile hatujaona tena ndege nyingine
 
We jamaa fitna unazimaster aisee...

167706_490908615387_6184476_n.jpg


Duh!
jamaa shavu namna hii kweli hela zetu za MAFAO hazidanganyi za kwenye lile shirika letu lile.
 
- Wacheni aseme mnaogopa nini na hamuhusiki na kumuuaaa Wangwe mpaka mnatia huruma, kule UKAWA Lissu kaulizwa na Rais sio wewe uliyelilia Rais asiwe na mamlaka ya kuvunja bunge sasa unalilia nini hana jibu here you are muwacheni aseme sisi wananchi tutaamua kama ana hoja au hana mambo ya UKAWA kupigana ngumi kwenye vikao vyenu msituletee kwenye Taifa!!

Le Mutuz

We ----- jobless kumbe upo....!!?
 
DEUS MALYA Upo?? Wale vijana uliowatapeli pesa ZAO mwaka 2013- wanakutafuta,wanalalamika umewablock fb,na simu umebadili,au unasubiri siku wakikufikisha mikononi mwa sheria uanze kulalama kuwa unasakamwa sababu ya SIASA?? ONDOA KWANZA BORITI ULIYONAYO KABLA HUJAJA KUJIANIKA HUKU JF KIJANA .
 
DEUS MALYA Upo?? Wale vijana uliowatapeli pesa ZAO mwaka 2013- wanakutafuta,wanalalamika umewablock fb,na simu umebadili,au unasubiri siku wakikufikisha mikononi mwa sheria uanze kulalama kuwa unasakamwa sababu ya SIASA?? ONDOA KWANZA BORITI ULIYONAYO KABLA HUJAJA KUJIANIKA HUKU JF KIJANA .
hahahaha mh angalia kijana si mtu mzuri huyu
 
Kaka YANGU -Alexander Paulo,UKIWA MNAFIKI KWENYE UJANA,UKIZEEKA LAZIMA UWE MCHAWI,-Kijana Nimempa ukweli wake na anaujua,maisha ya ujanjaujanja hayana nafasi kwa dunia ya Leo ,anapashwa abadilike.
 
Mallya hana jipya, kama angekuwa na lolote la maana angekuwa amewasilisha ushahidi wake huo polisi ili sheria ichukue mkondo wake, lakini leo hii zaidi ya miaka mitano akituambia anao ushahidi na kwamba anataka kuuweka mtandaoni hakuna atakayemwamini. Ushauri wangu wa mwisho kwake, na aupeleke ushahidi huo kwa Afande Kova. Afande Kova ni mtaalam wa hayo mambo ataupima na kuufanyia kazi au akiona hakuna jipya atautupa kapuni.
 
Salaam!

Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.

Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.

Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'

Naamini kwa Mungu siku zote
Naamini nikifa ni kwa Mpango wake
Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.

Deus Mallya
Dar es Salaam.

Siasa za bongo zina mengi sana ila angalia na unachotaka kusema kama kinauongo kitakugharimu sana kuliko unavyofikiria kwa ushauri zaidi tafuta familia ya Wangwe ujadiliane nao kabila letu nalijua usilete nalo utani hata kidogo
 
- Wacheni aseme mnaogopa nini na hamuhusiki na kumuuaaa Wangwe mpaka mnatia huruma, kule UKAWA Lissu kaulizwa na Rais sio wewe uliyelilia Rais asiwe na mamlaka ya kuvunja bunge sasa unalilia nini hana jibu here you are muwacheni aseme sisi wananchi tutaamua kama ana hoja au hana mambo ya UKAWA kupigana ngumi kwenye vikao vyenu msituletee kwenye Taifa!!

Le Mutuz

C/HQ/ADM/SG/02/185 30 Julai, 2008


MKUU WA JESHI LA POLISI,
P.O.BOX DAR ES SALAAM ,
TANZANIA.

YAH; KIFO CHA MHESHIMIWA CHACHA ZAKAYO WANGWE MBUNGE WA TARIME.

Kutokana na ajali iliyotokea tarehe 28 Julai 2008 katika eneo la Pandambili Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma na kusababisha kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Tarime Marehemu Chacha Zakayo Wangwe, ninalazimika kukuandikia rasmi kuhusiana na taarifa mbalimbali ambazo zimekuwa zikiripotiwa na vyombo mbalimbali vya Habari hapa nchini juu ya utata ambao umekighubika kifo hicho na haswa mazingira ya ajali yenyewe. Katibu Mkuu wa CHADEMA, katika mahojiano yake na TBC1 katika mahojiano yake kwenye kipindi cha Jambo Tanzania alielezea pia utata huo na kutaka Jeshi la Polisi lifanye uchunguzi wa kina.

Maelezo ya Ndugu Deus Mallya ameyatoa kwenye vyombo mbalimbali vya habari kuhusiana na jinsi ajali hiyo ilivyotokea na eneo ambalo yeye alikuwa amekaa wakati ajali inatokea , pamoja na kusema kuwa yeye alikuwa amekaa kiti cha nyuma huku Dereva wa Gari akiwa ni Marehemu Chacha Wangwe yameongezea kwenye utata huo.

Taarifa ambazo zimetolewa na watoto wa Marehemu kama walivyohojiwa na vyombo mbalimbali vya habari na kuripotiwa na vyombo hivyo na haswa maelezo yaliyorushwa na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), na vituo vingine vya Television, pamoja na Habari za Magazeti mbalimbali ya tarehe 30-07-2008 ,kama vile Magazeti ya The Guardian, Nipashe, Tanzania Daima ,Mwananchi na mengineyo ambayo yaliandika kuhusiana na maelezo aliyotoa Ndugu Deus Mallya pamoja na watoto wa Marehemu yakilinganishwa na maelezo ya Deus Mallya yanahitaji kupatiwa majibu ya kina, jambo ambalo CHADEMA kama mwathirika wa ajali hiyo isingeliweza kulifumbia macho.

CHADEMA , tumefuatilia kwa kina sana kuhusiana na maelezo hayo ambayo yametolewa kwa nyakati tofauti na watu tofauti kuhusiana na ajali hiyo na hatimaye msiba huo.

Hivyo basi , Chadema kama Chama kilichoathirika kwa kumpoteza Mbunge wake, Mwenyekiti wake wa Mkoa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti na hivyo kuwa na maslahi ya karibu sana katika uchunguzi huu, tunalitaka Jeshi la Polisi wakishirikiana na vyombo vingine vya Usalama kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na mambo yafuatayo;

1. Kujua huyu ambaye alikuwa (Deus Mallya) na Marehemu kwenye gari lake wakati anafariki ni nani na anafanya shughuli gani.
2. Deus Mallya alienda Dodoma kufanya shughuli gani na ana uhusiano gani na Marehemu na au Familia ya Marehemu.
3. Ndugu Deus Mallya alikuwa amekaa kwenye kiti gani wakati ajali inatokea.
4. Ni nani alikuwa anaendesha Gari wakati ajali na hatimaye umauti unamkuta Mheshimiwa Chacha Wangwe.
5. Ni mazingira gani yaliyopelekea na au kusababisha ajali hiyo kutokea .
6. Tunataka Polisi wachukue hatua stahiki za kisheria ili Deus Mallya akaisaidie Polisi na kuhojiwa kwa kina juu ya suala hili kwani maelezo yake yana utata mkubwa sana.
7. Jeshi la polisi liitoe ripoti ya uchunguzi huo mapema na kuiweka ripoti hiyo hadharani.

Tunapendekeza hatua hizo zichukuliwe mara moja kwani tunaamini kuwa kifo hiki kimeghubikwa na utata mkubwa sana na haswa kutokana na maelezo ambayo yamekuwa yakitolewa na aliyeshuhudia ajali (Deus Mallya) pamoja na watoto wa marehemu.

Tunaamini kuwa utatupatia ushirikiano wa kina ili kuhakikisha kuwa hatua za haraka na za dharura zinachukuliwa mara moja kwa ajili ya kuujua ukweli wa kifo hiki tata.

Pamoja na hayo, hivi karibuni wabunge wa CHADEMA wamekuwa wakipata taarifa za vitisho pamoja na kuzushiwa vifo kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu za mkononi na ujumbe huo kusambazwa sana kama ilivyoripotiwa kwako na Mheshimiwa Zitto Kabwe (MB).

Tunaomba wabunge wetu wapatiwe Ulinzi na pia taarifa hizo zifanyiwe kazi kwa kina.

Nakutakia kazi njema.

Wako katika ujenzi wa Demokrasia na Utawala Bora.




……………………
John Mnyika - 0754694553,
Kaimu Katibu Mkuu,
Na Mkurugenzi wa Vijana Taifa ,

Nakala:
1. Mhe.Lawrence Masha – Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
2. Mhe.Dr. Willbrod Slaa (MB) - Katibu Mkuu CHADEMA .
3. Robert Manumba -Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai.

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake
 
Salaam!

Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.

Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.

Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'

Naamini kwa Mungu siku zote
Naamini nikifa ni kwa Mpango wake
Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.

Deus Mallya
Dar es Salaam.

Ulitumia nini kuibondabonda hiyo gari hadi ikawa katika hali hiyo? na ni vema ukatueleza kama kuna Burudoza lilitumika kuibonda gari hiyo lilikuwa la nani? maana kwa hali ya kawaida gari haliwezi kuwa katika hali hiyo halafu Dereva anatoka hana hata kajeraha amejipaka damu tu toka kwa marehemu.
PICHA:

1.JPG

Marehemu Chacha Wangwe...
2.JPG

Mzee Mwiguni George aliyefika katika eneo na kumsaidia Chacha na wenzake!
3.JPG

Deus Francis Mallya aliyetoa maelezo yenye utata na sasa watu wanamgeuzia kuwa kuna jambo analificha! (Huyu pia aliwahi kujitambulisha kuwa yeye ndiye (mimi) Invisible wa JF.
2.JPG


5.JPG

Gari lililohitimisha maisha ya Chacha likiwa limeharibika vibaya
 
DEUS MALYA Upo?? Wale vijana uliowatapeli pesa ZAO mwaka 2013- wanakutafuta,wanalalamika umewablock fb,na simu umebadili,au unasubiri siku wakikufikisha mikononi mwa sheria uanze kulalama kuwa unasakamwa sababu ya SIASA?? ONDOA KWANZA BORITI ULIYONAYO KABLA HUJAJA KUJIANIKA HUKU JF KIJANA .
Kumbe mwafahamiana!
 
Kumbe mwafahamiana!

Namjuwa vyema Deus Malya huyu ni mchaga wa huru na kweli hata mimi kanidhurumu pesa na kaniblock facebook, siku si nyingi natuwa Bongo nitaweka mambo yote wazi na jinsi kampuni yangu ilivyoingia hasara.
Anthony Mtaka rafiki yangu nakuomba kama una mawasiliano na Shyrose Banji mshauri amblock huyu tapeli facebook na kwenye simu zake.
 
Last edited by a moderator:
Damu ya mtu haiwezi enda hivihivi. PASUA JIPU DEUS. Tena pasua fasta kabla hawajampiga TAPLO na huyu kipenzi chetu MBAROUK KANSA. Maana wamezidi UMAFIA hawa jama. Linapokuja suala la kuwashika machoni(MASLAHI),huwa wakali kama Mbwa anayenyonyesha!
 
we dogo si ulikuwa jera? umetoka lini?
 
CCM mnaweza kushabikia kupasuliwa kwa jipu kumbe usaha ukaja kuwamwagikia usoni, what if Deus Mallya akisema nyie ndio mnahusika na kifo cha Wangwe?
 
Salaam!

Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.

Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.

Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'

Naamini kwa Mungu siku zote
Naamini nikifa ni kwa Mpango wake
Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.

Deus Mallya
Dar es Salaam.

Wewe mnafiki sana,CCM walikutuma ukaimaliza kazi,siku zote ukweli hautausema
 
FUSO
Mbona mnatia huruma, huyo jamaa si ndio chama kilitoa tamko la kutokumtambua?" sasa iweje leo mnahofu na atakayoyazungumza mtu msiyemtambua?

mnatia shaka
nyie ndiyo mtatia huruma, kutumia hadi miili ya marehemu waliolala kwa amani ili kujaribu kujinusuru kisiasa. Mmeshaukalia msumari - hamtoki safari hii.
 
By Deus F Mallya:
Mimi ni mfanyabiashara..Nina kampuni yangu ya Printing of Promotional Items. Nimechapa baadhi ya mabango, Bendera, T.Shirts, Vitabu, Calendars, Etc...

Wangwe ndiye aliyeniita Dodoma akanipe kazi ya kuhariri na kuchapa kitabu chake alichokuwa mbioni kukitoa. Kilichopelekea nikasafiri naye gari moja ni kuwa yeye alipata taarifa za msiba siku moja kabla ya mimi kurudi Dar (Baada ya kukubaliana aina ya kitabu alichokitaka) Hakuona sababu ya mimi kusafiri kwa bus na yeye kusafiri mwenyewe kwa gari binafsi. Ikumbukwe kuwa safari ya kutoka Dar kwenda Bungeni Dodoma aliendesha mwenyewe na mimi nilienda siku tisa baada ya yeye kufika Dodoma.
...........
Mambo ya maburungutu ya feza za diallo yatamfanya mallya ayakane hata maneno yake kama hayo!
 
By Deus F Mallya:
Majibu mengine:

"Inadaiwa kuwa kuna watu waliokuwa 'Nyuma ya pazia' kwenye kesi ile (Ndiyo maana ilifunguliwa wilaya ya Dodoma Mjini badaya ya Kongwa)."

Binafsi sina majibu hapa Duniani. Mimi ni Binaadamu kama walivyo wengine. Pia mimi ni mgumu sana kuzungumza nisichokuwa na uhakuka nacho. Ikiwa wapo waliokuwa 'Nyuma ya pazia' kuzuia lengo langu 2010 (Japokuwa halikuwepo kiukweli) Nilishamwambia Mungu Ashughulike nao.

Kuna mdau hapo juu amesema kuwa 'Atapitishwa' Komu 2015. Naomba kumhakikishia kuwa CHADEMA na CCM ni tofauti kama ilivyo Jehanum na Mbinguni. Maamuzi ya CHADEMA huwa hayafanywi kama ya CCM!.. CHADEMA kuna viongozi, CCM kuna Watawala. Kuna taratibu za kumpata mgombea kwa mujibu wa katiba kwa maana hiyo hata kama nisipogombea/kutokupitishwa kwenye kura ya maoni bado nitakuwa na imani na Kiongozi atakayepitishwa. By the way bado tupo kwenye main road kuelekea M4C nadhani haya si vyema sana kujadili kiundani kwa sasa.

Sote ni ndugu, tatizo ni CCM!.
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Mallya huyohuyo akikirarua ccm ambacho ni chama alicho na mahaba ya dhati kwa sasa!
 
Back
Top Bottom