Wakati wa mimi kusema umefika

Wakati wa mimi kusema umefika

Mimi binafsi nilishasema sana sana kuhusu Mbowe kumuua Chacha Wangwe but nikapuuzwa na kutukanywa but iko siku Mazwazwa wataujua ukweli maana ukweli huwa haupotei bali huchelewa tu.Mazwazwa iko siku mtajua tu.

Wewe umebaki kuvalishwa gauni tuu. Unless uwe unavalishwa usiku na watu hawafahamu. Kama serikali inayoongozwa na chama chako ulishaiambia kuwa Mbowe alimuua Wangwe inakuwa dhaifu kiasi cha kutochukua hatua za kisheria bado unaipigia chapuo basi wewe ni Zoba. Au ndio iliyokupuuza na kukutukana?
Angalia hayo maisha uliyoamua kuishi unamfedhehesha sana mama yako ambaye watu wanamheshimu.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Mkuu Deus F Mallya mbona unatufanya kama watoto wa kuku? Bado hujasema tu hadi leo au umetishwa tena?
 
Last edited by a moderator:
Polisi wanajua hawawezi kuyachukua maelezo ya mwendawazimu wakayafanyia kazi bila ya wao pia kuonekana wendawazimu. Mtela wewe ni mgonjwa, nenda Milembe. Bahati mbaya sana wagonjwa wa akili hata siku moja huwa hawajitambui, na siyo rahisi kwenda hospitali wao wenyewe. Huyu hana ndugu wa kuweza kumpeleka Milembe?

Wewe umebaki kuvalishwa gauni tuu. Unless uwe unavalishwa usiku na watu hawafahamu. Kama serikali inayoongozwa na chama chako ulishaiambia kuwa Mbowe alimuua Wangwe inakuwa dhaifu kiasi cha kutochukua hatua za kisheria bado unaipigia chapuo basi wewe ni Zoba. Au ndio iliyokupuuza na kukutukana?
Angalia hayo maisha uliyoamua kuishi unamfedhehesha sana mama yako ambaye watu wanamheshimu.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Hakuna marefu yasiyo na ncha .watasema yote damu ya mtu haiendi bure
 
Nenda Milembe ukapate tiba. Si polisi si DCI ambaye yupo tayari kumsikilkiza mwehu. Wewe unadhani ni kwa nini upuuzi wako huo hakuna anayeufanyia kazi?

kwa sasa nitakuwa mtizamaji tu na kutetea na kupigania chama changu ccm maana swala la mbowe kumuua chacha wangwe nilishasema sana nikiwa chadema.Mazwazwa iko siku mtayajua haya
 
Nakuunga mkono. Kuna siku huyu Malya ataenda kueleza mwenyewe jinsi alivyomwua Marehemu Wangwe, alitumwa na nani, alilipwa nini, na kwa lengo gani. Kesi itaanza upya, na ndipo watu wataujua ubaya wa CCM na watu wake.

Hakuna marefu yasiyo na ncha .watasema yote damu ya mtu haiendi bure
 
Nakuunga mkono. Kuna siku huyu Malya ataenda kueleza mwenyewe jinsi alivyomwua Marehemu Wangwe, alitumwa na nani, alilipwa nini, na kwa lengo gani. Kesi itaanza upya, na ndipo watu wataujua ubaya wa CCM na watu wake.

Ccm na malya wapi na wapi dogo pitia uzi was change yeye alishiriki pia hiyo oshu
 
Mie nafikiri kule polisi ndiko ulipaswa kusema yote!!
 
Mimi binafsi nilishasema sana sana kuhusu Mbowe kumuua Chacha Wangwe but nikapuuzwa na kutukanywa but iko siku Mazwazwa wataujua ukweli maana ukweli huwa haupotei bali huchelewa tu.Mazwazwa iko siku mtajua tu.
Mkuu Mtela, kwanza asante kwa kulisemea hili, ila pia hongera sana kwa kukaa nalo hadi leo bila kuliripo katika vyombo husika!. Tena una bahati Tanzania ni nchi yenye inteligensia nyoro nyoro, vinginevyo ungekuwa nchi za wenzetu, saa hizi ni saa nyingi ungeishakuwa unany.a debe!.

Kitendo cha kujua uhalifu unapangwa kutendwa, au umetendeka na kukaa kimya bila kuripoti kwenye vyombo husika, ni kosa la jinai, na mhalifu akipatikana unaweza kuunganishwa kama accessory before/after the facts!, na akitiwa hatiani, umetiwa hatiani kwa kosa lile lile!.

Asante.

Pasco
 
Mkuu Mtela, kwanza asante kwa kulisemea hili, ila pia hongera sana kwa kukaa nalo hadi leo bila kuliripo katika vyombo husika!. Tena una bahati Tanzania ni nchi yenye inteligensia nyoro nyoro, vinginevyo ungekuwa nchi za wenzetu, saa hizi ni saa nyingi ungeishakuwa unany.a debe!.

Kitendo cha kujua uhalifu unapangwa kutendwa, au umetendeka na kukaa kimya bila kuripoti kwenye vyombo husika, ni kosa la jinai, na mhalifu akipatikana unaweza kuunganishwa kama accessory before/after the facts!, na akitiwa hatiani, umetiwa hatiani kwa kosa lile lile!.

Asante.

Pasco

:A S wink: sometimes unawashangaza hata wao ..... hawaamini kama unaweza kuwapa za uso ..soon utaitwa pandikizi la Mbowe......:A S 109:
 
We chizi kweli yaani unasema wakati wa kusema umefika alafu husemi chochote....ulikuwa wapi muda wote huo...? Sa si uende ukasemee polisi au Kwa DPP unalalamika nini hapa jukwaani ...njaa mbaya sana ukiiendekeza
 
Wale wa kutafuta wa kuwaunga mkono.Wale wa kutaka watu wajue kuwa upo na upo JF. Wale wa kutishia nyau hata wasiotishika. Wale waficha ukweli kwa kisingizio cha uoga wa kutishwa na kufuatiliwa. Wale ambao huweka bandiko hapa JF ili kupata wachangiaji wengi huku wapo wakikimbia na wasionekane tena hadi mwisho wa mabandiko yao. Wale wa mikwara ya nitasema....niseme au nisiseme!

Kama unataka kusema,sema. Kama hutaki,nyamaza na usituhusishe. Tumechoka ngonjera zenu watu wa namna yako. Tumechoka kusubiri.Tumechoka kuahidiwa kuambiwa hata kwa mambo muhimu kwa Taifa letu. Ukimya wenu unatutosha. Hakuna haja ya kujifanya mnataka kusema wakati hamna la kusema. Nanyi hamjui lolote!

Watanzania,tusiwe na mzaha kwenye mambo yasiyo ya mzaha. Kifo,ukatili,ujangili,ufisadi na madawa ya kulevya si kati ya mambo ya mzaha. Ni mambo yenye chaguo mojawapo kati ya kusema au kukaa kimya. Si kutishiatishia.Unatishia ili iweje?

Waswahili husema: Usitishie kujamba wakati unaharisha!
 
mkuu mtela, kwanza asante kwa kulisemea hili, ila pia hongera sana kwa kukaa nalo hadi leo bila kuliripo katika vyombo husika!. Tena una bahati tanzania ni nchi yenye inteligensia nyoro nyoro, vinginevyo ungekuwa nchi za wenzetu, saa hizi ni saa nyingi ungeishakuwa unany.a debe!.

Kitendo cha kujua uhalifu unapangwa kutendwa, au umetendeka na kukaa kimya bila kuripoti kwenye vyombo husika, ni kosa la jinai, na mhalifu akipatikana unaweza kuunganishwa kama accessory before/after the facts!, na akitiwa hatiani, umetiwa hatiani kwa kosa lile lile!.

Asante.

Pasco

paskali umempa ujumbe thabiti huyu kijana mwenzetu. Siasa si kuongea ili usikike bali kujifunza,kujikosoa,kusikiliza,kujihoji,kutafakari,kujiheshimu na kushawishi.....mengine yafuatie baada ya hayo ndugu mwampamba
 
Well said mkuu.......nimemshauri kama analo la kusema aliseme haraka tena kwenye mamlaka husika alikuwa wapi muda wote huo........? Mikwara ya kitoto kabisa
 
Wewe umebaki kuvalishwa gauni tuu. Unless uwe unavalishwa usiku na watu hawafahamu. Kama serikali inayoongozwa na chama chako ulishaiambia kuwa Mbowe alimuua Wangwe inakuwa dhaifu kiasi cha kutochukua hatua za kisheria bado unaipigia chapuo basi wewe ni Zoba. Au ndio iliyokupuuza na kukutukana?
Angalia hayo maisha uliyoamua kuishi unamfedhehesha sana mama yako ambaye watu wanamheshimu.


Sent from my iPad using JamiiForums

- Mkuu mbona nilikuwa nakuheshimu sana kumbe ndio tabia zako hizi maana huwezi kusema njia ambayo hujawahi kuipitia U know mbona mnajiabisha kwa kudhani mnawaabisha wengine duh umejivua sana nguo hapo kaka kwamba ndio tabia zako hizo!!

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom