Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 11,613
- 5,443
unaleta majibu have nothing to do with this topic. Topic ni kwamba Allah amesema kuwa ameshusha Quran kwa lugha ya kiarabu ili waarabu waelewe, wewe unamquestion Allah kama nani? ni sisi ndio tunamcheka kwa uongo wake, kuzunguka kuandika maneno mengi hayawezi saidia kumtetea Allah uongo yakisha andikwa ni Tayari si huwa mnadai Quran haiongezwi neno? Quran 15:9
إِنَّا نَحْنُ نَزَّلْنَا الذِّكْرَ وَإِنَّا لَهُ لَحَافِظُونَ
Al-Barwani
Hakika Sisi ndio tulio teremsha Ukumbusho huu, na hakika Sisi ndio tutao ulinda.
Jogina na wewe ni mmoja wa Sisi? au wewe unaondosha ulinz wa Quran? hahaha
Quran 12:2
Saheeh International
Indeed, We have sent it down as an Arabic Qur'an that you might understand.
إِنَّا أَنْزَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لَعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ
Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani kwa Kiarabu ili mpate kuielewa
Hakuna Arabs wanaielewa- kuna thousands of translations pamoja Mudy kuomba seven letter zaa Quran bado hawaelewi Allah ana feli sana. Ibn Abbas aliombewa dua na Mudy kwa Allah awe ink of the nation kutafsir Quran
Ushaanza kulewa kama Adiosamigo eh! Kasome tena nilichoandika nimemuumbua Allah kwa majidai yake ya kusema Quran kaishusha kwa kiarabu ni uongo kwani Hanif na kufar zimetoka kwa lugha ya Aramaic. punguza kutetemeka Dogo sisi tunajua nini tunaongea hatubahatishi ukadhani we are playing game like you muslims. tunatoa elimu. haya nayotoa yanasaidia hadi waislam wenzio ni maamuzi yao kuachana na hiyo cult.
Hanif ni Quran imeandika hivyo hiyo aya ila ukisoma Quran utakuta Hanif ni pagan, kama mtume wako alifuata ibada za Ibrahim kwa miaka 40 kabla hajajiita Muislam. Mnasema Ibrahim alijenga Kaaba, kaaba ilikuwa ni ibada ya washirikina wapagani, kabla uislam, alafu Quraish wote walikuwa ni washirikina na Mudy alikuwa ni mmoja wao, na mnajua quran inasema Allah hatosamehe washirikina kwahiyo Mudy ni miongoni mwa hao ambao hawatosamehewa.
Waislam mambo ya kweli hawayataki na ndio mana nimekufahamisha kuwa Mohammad ndie aliitwa Kufar na Wayahudi kwa kupinga kwake na kugeuza Jina la Yahwh akimuita Allah pagan worshiper Wayahudi hawamjui Allah na walimuambia Mitume wote wanatokea ukoo wao yeye Quraish wapi na wapi wakamuambia Mtume lazima atoe Sadaka kisha Moto utatoka Mbinguni na kueteteza sadaka, akaona atakwama. hahaha hadi leo akifufuka watamuita Kufar.
Kuna vitu unaleta have nothing to do with this topic.
Hakuna Jina la Utani Mohammad na Allah wameiba story wasioijua walipokuwa wakitafsir hawakuelewa mana yake ndio wakabeba, Unaweza ufahamisha Ummah source ya kiislam inayosema Baba yake Ibrahim aliiitwa jina la Utani Azar? au ndio Taqiyya imeshika hatamu.
Umetoa mfano wa kijinga ambao hausiki na mada. kama unavyoamini wewe basi ukoo wa Ibrahim hadi hao kina jacob wangeitwa Azar maana ndie baba yake Ibrahim. au angeitwa Hagar waisrael wangeitwa Wana wa Hagar
Kasome aya hakuna sehemu inayosema anakataliwa Acha ujinga basi.
Umesoma aya zilizofuata au ndio uvivu like other Muslims, eh?
Je Unajua Allah ndie anayeongea kwenye hiyo Aya? so Alalh nae anaona kama sisi tunavyoona? Allah ni miongoni mwetu?
Mchana kuwa mrefu mean Dunia kusimama kunakuwa na Longday.
Nisha prove longday, so Quran inabakia pale pale kwenye upumbavu Jua halizunguki Dunia bali Dunia ndio inazunguka.
Kama Quran haisemi Yesu ni Mungu ni wewe jibu maswali NENO limeumbwa? Allah alimtuma Jibril NENO lake ambalo ni Devine halijaumbwa lilikuwepo na ndie Kun faya kun,
Wewe ndie Muislam wa Kwanza kusema Allah ana Roho, kuwa makini watakuua Allah ana bord parts lakini hana Roho ni idols kama Mengine even India yamejaa
Can you ask Netanyahu apige kombora? there is no harm to Allah sababu hayupo pale
lete source Tuone unavyoipinga Quran
Unapinga wakati Quran imeandika sijui nyie mnachopingia ni nini. Mnaishia kusema Allah ana majina 99 ambayo ni attribute, Allah almost aya zote anajiita sisi, tumefanya hiki na kile hapo apo mnasema ni mmoja stupid religion for foolish people
Kumbuka aya zote ni za kipumbavu so umefupisha ila Allah unaposema hafanani na chochote ni kichekesho accordind to sayansi mimi pia sifanani na yeyote, So wakati Allah ana body parts like Mguu Quran 68:42, Macho Quran 54:14, Anakaa kwenye kiti mean anamakalio Quran 2:255, Sura kama ya Adam Sahih Bhukhar Hadith 6227, Mikono miwili yote upande wa Kulia kuna uwezekano alizaliwa na ulemavu imagine akiweka dole gumba mkono mmoja dole linaelkea chini lingine juu hahahaha Sahih Muslim 2788, Sunan an-Nasa'i 5379)
Kama Allah hafanani na chochote ni Animal Japo Mtume wenu alisema ni Binadamu tenani Kibonge mfupi hahaha kama Dajjal kasoro Allah hana Chongo Sahih al-Bukhari 743
Mungu kuja katika umbo la Binadamu yes, Unadhani Allah hachoki? nenda ka google Istiwa unaona kilichomtokea alipomaliza kumuumba Adam yaani sio kukaa tu aliishia kulala kwenye kiti chake
Keep your ignorance for yourself Kasome Quran 49:14 Wale mabeduin waliambiwa wajisalimishe(aslamnaa ) Wajisalimishe Surender then baadae faith itafuata.
۞قَالَتِ ٱلۡأَعۡرَابُ ءَامَنَّاۖ قُل لَّمۡ تُؤۡمِنُواْ وَلَٰكِن قُولُوٓاْ أَسۡلَمۡنَا وَلَمَّا يَدۡخُلِ ٱلۡإِيمَٰنُ فِي قُلُوبِكُمۡۖ وَإِن تُطِيعُواْ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥ لَا يَلِتۡكُم مِّنۡ أَعۡمَٰلِكُمۡ شَيۡـًٔاۚ إِنَّ ٱللَّهَ غَفُورٞ رَّحِيمٌ
Al-Barwani
Mabedui wamesema: Tumeamini. Sema: Hamjaamini, lakini semeni: Tumesilimu. Kwani Imani haijaingia katika nyoyo zenu. Na mkimt'ii Allah na Mtume wake, hatakupunguzieni chochote katika vitendo vyenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
Hadithi Mohammad ameadnika kabisa ameambiwa awapige humanking, hadi wasilimu, waswali kama yeye,wachinje kama yeye n.k n.k unataka kusema miaka hii hamuui watu? unawajua Islamic State? na wengineo true muslims Nigeria tu, Msumbuji?
Kasome ujue waisrael linapofika kutishiwa uhai wao. kama hujui kawaulize Hezbollah na Hamas,na Houthi na Iran too
Usisahau kuandika Aliumba Ndege na Kufufua Watu akiwepo Mtoto wa Noah, alafu Quran inasema Allah ndie mfufuaji pekee sasa kama Yesu alifufua basi yeye ndie Mkuu Quran 41:39 blah blah blah Bila ya shaka aliye ihuisha ardhi ndiye atakaye huisha wafu. Hakika Yeye ni Muweza wa kila kitu
When Jesus (a.s.) Raised Shem (a.s.), Son of Noah (a.s.)
بِسۡمِ ٱللهِ ٱلرَّحۡمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ
It is mentioned that Jesus (a.s.) used to raise the dead to life by the Permission of God. Some unbelievers once said to him, “You have raised people who have died recently, and perhaps they were not dead; so, raise for us one who died in the earliest times.”
He said to them, “Choose whom you will.”
They said, “Raise for us, Shem, son of Noah.”
Then, he came to his grave and prayed two raka’ah and called on God, and God Raised Shem Noah (a.s.), son of Noah (a.s.). Shem’s (a.s.) head and beard had become white.
Someone amongst them said, “What is this? There were no white hairs in your day.”
He replied, “I heard the summons, and I thought the Resurrection had come, so the hair of my head and beard became white from terror.”
Someone else asked, “How long have you been dead?”
He replied, “For four thousand years; but the agony of death has not left me yet.”
Nikuulize swali kama mnavyokuwa mnatuuliza sisi kila mara japo sio huwa tunayo majibu,
Je Wapi kwenye Quran Yesu anasema mimi ni Messiah!
Aliyesababisha Mimba ya Mariam ni nani?Allah au Jibril? mmojawapo ndie Baba maana aliyepuliza kwenye papuchi ni Allah au Jibril? maana aya inasema tukampilizia kwenye farjah akapata mimba
Taarifa mmeandika nyie waislam mmetutambia nazo miaka na miaka mnaumbuliwa na hamtaki kuzifuta hahaha
Msilinganishe uchafu wenu na Yohana si mmnamuita Yahaya! mnavyojisikia kusema Yesu ni Mwana wa Mungu na sisi tunasikia vibaya mkisema Mitume yetu ni waislam.. kaeni na hao kina saleh , Luqman na waongo wengine.. acheni uongo mje huku.
Qur’an 49:14 inasema: Walisema tumeamini , Wakarekebishwa: bali semeni tumesilimu (tumejisalimisha)
Imani bado haijaingia moyoni
Biblia :
Biblia – Warumi 10:9–10 “Kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.”
Moyo kwanza si kinywa kwanza Biblia inakubali hatua mbili:
Kukiri / kujisalimisha kwa nje Imani kuingia moyoni
Hiyo ndiyo hasa Qur’an 49:14.
Wanafunzi wa Yesu walimfuata kabla ya kuelewa kikamilifu
Je, wanafunzi walikuwa na “imani kamili” tangu mwanzo? Hapana.Mathayo 4:19–20 “Nifuateni… nao mara wakaacha nyavu zao wakamfuata.”
Walifuata (utiifu) Lakini bado: Marko 9:24 “Ninaamini; nisaidie kutokuamini kwangu.”
Walikuwa na utiifu kabla ya imani kamili Je, Yesu aliwaita wapagani? Hapana.
Biblia inalaani “inakiri kwa kinywa bila moyo” — sawa na Qur’an
Qur’an inawakosoa waliodai imani bila moyo.Biblia inasema vivyo hivyo:
Mathayo 15:8 Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.”
Tatizo si “kujisalimisha kwanza”, Tatizo ni kudai imani ya moyoni bila kuwa nayo.
Hapo Qur’an na Biblia zinasema kitu kimoja.
“Surender then faith later” si kosa — ni mchakato wa kibiblia
Biblia ina mifano mingi: Yakobo 2:17 “Imani isiyo na matendo imekufa.”Matendo (utiifu)
Imani ya kweli kuthibitika
Qur’an 49:14 inasema: Mkimt’ii Allah na Mtume wake, hatakupunguzieni chochote…
Utiifu unafungua njia ya imani ya kweli hilo si kosa, ni mafundo ya maandiko yote.
Ukipinga Qur’an 49:14, lazima upinge Biblia pia
Kwa mantiki yako: Wanafunzi wa Yesu walikuwa “hawajaamini”, Waisraeli walitii sheria kabla ya kuwa na mioyo mipya, Wakristo wanaobatizwa kabla ya kuelewa kikamilifu ni “waongo”Lakini huamini hivyo — kwa sababu Biblia inaruhusu mchakato.
Kwa hivyo , Qur’an 49:14 haitofautiani na Biblia , Kujisalimisha kwa nje kabla ya imani ya moyoni ni jambo la maandiko, Tatizo ni kudai imani bila moyo, si kuanza na utiifu , Hoja yako inarudi kukuangukia kwa Biblia yako mwenyewe.