Wakanisa Mtaficha Wapi Hizi Aibu Duniani

Wakanisa Mtaficha Wapi Hizi Aibu Duniani

Status
Not open for further replies.
Hii inahusiana nini na kivipi na Kanisa?. Shetani iblis yupo katika kazi zake za Uzushi.. ndio maana Allah anajisifu kuwa ni bingwa la Uongo na uzuri Mtume wake Mohammad alisema jennah waislam watamkuta akiwa miguu peku peku na uboo wake usiokatwa jando yaani Govi. Dawa ya Muslim wakiokoteza ujinga wapelekee ujinga wao penfine akili zitawaka ndio maana Netanyahu anawaponda na Allah akbaru wao yaani anamkalisha hadi Allah. hatokei Muislam yeyete atakaye mlaani Adiosamigo kuwa anafanya makosa kuhusisha Kanisa na Epstein. na huyo mjinga wa kwenye Video analalama kama Allah vitu havihusiani hata picha yaani anasikitika as if ameona uasherati.

Sahih al-Bukhari 6525
Book 81, Hadith 114
Imepokewa na Ibn Abbas:Nilimsikia Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alipokuwa akihutubia juu ya mimbari akisema: “Mtakutana na Allah bila viatu, uchi na hajatahiriwa.

45) Chapter: The gathering (on the Day of Resurrection)

(45)
باب كَيْفَ الْحَشْرُ

Narrated Ibn `Abbas:
I heard Allah's Messenger (ﷺ) while he was delivering a sermon on a pulpit, saying, "You will meet Allah barefooted, naked, and uncircumcised."

حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، حَدَّثَنَا سُفْيَانُ، عَنْ عَمْرٍو، عَنْ سَعِيدِ بْنِ جُبَيْرٍ، عَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ ـ رضى الله عنهما ـ قَالَ سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم يَخْطُبُ عَلَى الْمِنْبَرِ يَقُولُ ‏ "‏ إِنَّكُمْ مُلاَقُو اللَّهِ حُفَاةً عُرَاةً غُرْلاً ‏"‏‏.‏

kumbe mtume anajizushia mwenyewe. misikiti mtajificha wapi
Uwe unauliza kabla ya kukurupuka kueneza hadithi kwa lengo la kuuchafua Uislamu hapo atakayekuwa uchi ni wewe sio Allah
 
Uislam kula Nguruwe sio dhambi na haukatazwi na wala hakuna adhabu yeyote. Quran imeruhusu kula ukiwa na njaa. kuna Hadithi uislam umeruhusu kula Nyama ya binadamu ya muislam jinsi ya kuiandaa na ya wasio wakristo. ili muislam asife kwa njaa kwa jinsi wanavyopenda kuishi Duniani.

Makafiri ni waislam hujui hilo? au nikupe Aya Mtume wenu alikuwa kafiri hadi kifo chake wake zake pia hadi Allah Gavi Allah alitaka kumtafutia Mudy wake waumini. Mtume wenu alifuata dini ya ya Ibrahim ambeye alikuwa kafir Hanif na Mtume wenu pia alikuwa Govi. utoko mtupu.

Sahih al-Bukhari 3827, Book 63, Hadith 52

Narrated Ibn 'Umar:
Zaid bin 'Amr bin Nufail went to Sham, inquiring about a true religion to follow. He met a Jewish religious scholar and asked him about their religion. He said, "I intend to embrace your religion, so tell me some thing about it." The Jew said, "You will not embrace our religion unless you receive your share of Allah's Anger." Zaid said, "'I do not run except from Allah's Anger, and I will never bear a bit of it if I have the power to avoid it. Can you tell me of some other religion?" He said, "I do not know any other religion except the Hanif." Zaid enquired, "What is Hanif?" He said, "Hanif is the religion of (the prophet) Abraham who was neither a Jew nor a Christian, and he used to worship None but Allah (Alone)" Then Zaid went out and met a Christian religious scholar and told him the same as before. The Christian said, "You will not embrace our religion unless you get a share of Allah's Curse." Zaid replied, "I do not run except from Allah's Curse, and I will never bear any of Allah's Curse and His Anger if I have the power to avoid them. Will you tell me of some other religion?" He replied, "I do not know any other religion except Hanif." Zaid enquired, "What is Hanif?" He replied, Hanif is the religion of (the prophet) Abraham who was neither a Jew nor a Christian and he used to worship None but Allah (Alone)"
Akajibu: Sijui dini nyingine isipokuwa Hanif. Zaid akauliza, “Hanif ni nini?” Akajibu: “Hanif ni dini ya (Mtume) Ibrahim ambaye hakuwa Myahudi wala Mkristo na alikuwa anamuabudu yeyote isipokuwa Allaah Pekee.


When Zaid heard their Statement about (the religion of) Abraham, he left that place, and when he came out, he raised both his hands and said, "O Allah! I make You my Witness that I am on the religion of Abraham."

Muhammad: A Follower of Abraham (Quran 16:123)Muhammad: mfuasi wa Ibrahim (Quran 16:123) Mohammad na waislamu ni Makafiri maha Hanif Nyie​

Quran 16:123] Kisha tukakufunulia wewe ufuate dini ya Ibrahim
😅😅😅😅Hmna alie salama, mda wowote si kafiri au muislam ataandaliwa kama ndafu
 

Kisa cha Ibrahim, Nyota, Mwezi na Jua (Qur’an 6:76–79)​


Hoja yako kuu: “Ibrahim alikuwa anaabudu nyota/mwezi/jua, kisha akabadili mawazo”
Ndio aya yasema au unataka kubadilisha? haya Allah anasahihishwa tuone Jigina master wwa Allah hahahaha
Hii ni kutoelewa mtindo wa hoja (rhetorical argument) unaotumiwa katika Qur’an.
Usiseme unatumiwa katika Quran! sema unatumiwa na Allah ambaye ndie Mohammad Aka Qutham kuifanya Quran haieleweki waislam watakuua wewe. japo una tafsir lukuki kumaanisha kiarabu cha Allah hakieleweki pamoja na madai yote

Ukweli wa kimaandiko​


Qur’an haisemi Ibrahim aliwahi kuwa mshirikina. Inasema wazi:
Ukisoma story za mtume wako zinasema Baba yake alikuwa Anaitwa Azar (Allah muongo alisema anaitwa Azar wakati kwenye Bible Tera) so inawezekana mna ibrahim wenu na alikuwa muumini wa masanamu so ndio ushirikina huo.

Kama Quran haimsemi kuwa mshirikina ila inamuita Hanif na Hanif ni neno lenye asili ya Aramaic yaani Kafir pia ni hao mapagani pia ni lugha ya Aramaic na Mtume wako aliitwa kafir na Wayahudi alipoanza kuleta uzushi kujiita Mtume hahaha wakamuita Kufar aliumbuliwa kila debate na ndipo alipopata hilo jina kafir akawaita na wao wayahudi eti makafir hahahaha

Tafsir ya Yake.
  • Meaning: A "Kofer" is a person who rejects or hides the truth of the Jewish faith.
  • The concept of disbelief is Kefirah (כְּפִירָה).
  • Usage: While kufar in Arabic often implies an enemy of the faith, kofer in Hebrew specifically refers to a person who has become an apostate or denies fundamental Jewish tenets.
Kwahiyo Hiyo Hanif ni kafir too so Quran imewaweka kundi moja Kafir washirikina n.k so Muslim nyote ni Hanif na Makafir Kofar
“Sikuwahi kuwa miongoni mwa washirikina” (6:79)

Kisa hiki ni mjadaladala wa kielimu (dialectical argument):
Mada ya kielimu inahamia kwenye neno asili yake ni Aramaic na sio kiarabu so aya ya ALLAH Kusema Quran imeshushwa kwa lugha ya kiarabu ni uongo tena wa Allah.
Ibrahim anawafundisha watu wake kwa kutumia lugha yao ya mawazo
Anatumia mbinu ya: “tuchukulie kwa hoja yenu”
Kisha anawaonyesha udhaifu wa hoja yao

Hii ni mbinu ile ile inayotumiwa na manabii wengine, hata katika Biblia.

“This is my Lord” haimaanishi ibada​

Kasome vizuri sijasema This is my Lord Nimeandika maana yake Huyu ndie Mungu wangu.. mbona mnageuza maneno na wewe ni Kenge ka mwenzio. This is my Lord hata wanafunzi wa Yesu walimuita Yesu Lord. na Yesu aliwambia wanafunzi wake sio wote wanaoniita Lord Lord ndio watakao uona ufalme wangu bali wale wanafuata mafunzo na vitendo.
Katika Kiarabu, kauli:

“Hādhā rabbī”

Inaweza kuwa:

kauli ya kufikirisha
kauli ya hoja ya kinyume (irony / reductio ad absurdum)

Mfano wa kisasa:

“Basi kama huyu ndiye kiongozi wenu bora, mbona anakimbia shida?”

Haimaanishi unamuabudu.
Ibrahim Aliabudu according to hadith ukikataa basi hata alivyomjua ALLAH hakuabudu pia kwa rogic yako.

Hoja ya “nyota hazichwi”​


Hapa kuna kosa la kisayansi:

Nyota zinaonekana kuzama (setting) kwa mtazamaji kwa sababu ya mzunguko wa dunia
Mzunguko wa Dunia? toka Lini Allah amejua hilo? maana Allah anasema Jua ndio linapata ruksa kuchomoza kila siku hahahaha weka sayansi juu Allah hajui chochote na kusema Nyota zina set ni upumbavu kasome vyanzo kwanza
Qur’an inazungumza kwa lugha ya mtazamaji wa kawaida, si astronomia ya NASA
So Kama utazamaji mean Allah nae he see as we see mean Allah yupo Duniani nae anatizama chini maana yeye ndie mzungumzaji kwenye Quran
Biblia pia inatumia lugha hiyo hiyo (mf. “jua lilisimama”).
Mean Time was stop ikawa long day siku ya vita ndio maana anaitwa Mungu muweza the almighty. Allah hawezi hahaha

Biblia: “Hakuna aliyemwona Mungu” vs “Walimwona Mungu”​

Hapa kuna mkanganyiko wa maandiko.

Biblia inasema WOTE wawili:​

“Hakuna mtu aliyemwona Mungu” (Yohana 1:18)
Utamu wa Biblia soma chapter inaeleza vizuri sio kuchomoa betri hahahaha Soma hiyo as long unaamini

 Mtu mmoja aitwaye Yohana alitumwa na Mungu 7 awaambie watu kuhusu hiyo nuru, ili kwa ushuhuda wake wapate kuamini. 8 Yohana mwenyewe hakuwa ile nuru. Yeye alitumwa kuishuhudia hiyo nuru. 9 Nuru halisi ambayo inawaangazia watu wote ilikuwa inakuja ulim wenguni. 10 Neno alikuwepo ulimwenguni, lakini japokuwa aliumba ulimwengu, watu wa ulimwengu hawakumtambua! 11 Alikuja nyumbani kwake, lakini watu wake hawakumpokea! 12 Bali wote waliompokea na kumwamini aliwapa haki ya kufanywa watoto wa Mungu. 13 Hawa hawakuwa watoto wa Mungu kwa kuzaliwa kwa njia ya asili, wala kwa mapenzi au mipango ya watu bali wamezaliwa na Mungu mwenyewe.

14 Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu akiwa amejaa utu kufu na kweli. Tuliona utukufu wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba. 15 Yohana alishuhudia habari zake, akatangaza: “Huyu ndiye yule niliyewaambia kuwa, ‘Yeye ajaye baada yangu ni mkuu kuliko mimi kwa kuwa alikuwapo kabla sijazaliwa.”’ 16 Na kutokana na ukamilifu wake, sisi sote tumepokea neema tele. 17 Musa alitule tea sheria kutoka kwa Mungu, lakini Yesu Kristo ametuletea neema na kweli. 18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote. Lakini Mwanae pekee, ambaye ana uhusiano wa karibu sana na Baba yake, amemdhihirisha Mungu kwetu.
“Waliona Mungu” (Kutoka 24:9–11)
Mungu huja na Utukufu na Waliuona
Wanatheolojia wa Kikristo wenyewe wanasema:

waliyoiona ilikuwa theophany (udhihirisho) sio asili kamili ya Mungu

Hivyo hoja hii si dhidi ya Uislamu, ni mjadala wa ndani ya Ukristo.
Kumuona Mungu kwa nature yake utadedi ndio maana alikuwa akija kwa Umbo la kibinadamu ni Almighty

Yesu kama “Neno la Mungu” (Kalimatullah)​


Ndiyo, Qur’an inamwita Yesu:

Kalimatullah (Neno la Mungu)
Ruhun minhu (Roho kutoka Kwake)

Lakini maana ya Qur’an si sawa na maana ya Injili ya Yohana.
Si sawa wakati Mohammad ndipo alipotolea hayo maneno huko au unadhani Injili si hiyo? aliyoandika Yohana? hahahaha Ruhun minhu imeandikwa kuwa proceeding - Yaani Roho ya Allah inayoendelea. nikuulize kitu kama sio hayo maneno yametoka kwenye Injil niambie Allah ana Spirit? Maana Islam haiamini katika roho Uislam unaamini Allah ana Physical Body na Ana kiti, Guu,Mikono n.k

Kalima siyo Mungu​

Katika Qur’an:
“Kun fa-yakūn” ni sawa na amri ya uumbaji
Allah anaweza umba bila kusema NENO? nitajie komoja Allah kaumba bila kusema NENO.
Adam pia aliumbwa kwa kun
Uongo mwingine tena hukomi tu kwakuwa Allah kaongopa na wewe unaendeleza uongo badala ya kumshushua Alllah1 Sasa wewe unajua kabisa Binadamu kaumbwa kwa Udongo, Allah akamfashien akamuacha akauke kwa miaka 40 kisha akampulizia pumzi na Adam akasema finish me before sunset, yaani Mbinguni kuna jua linazama pia hahaha mtume wenu ni comedian sana am nikisema Allah anaona kama sisi tunavyoona, sasa hizo proccess zote Kun fay kun imetumika wapi hapo? Allah is a big fat liar
Je, Adam ni Mungu? Hapana.
In muslim not
Qur’an 4:171 inakataza wazi Utatu “Wala msiseme: watatu”
Inakataza Utatu ila maelezo inazungumzia utatu, Moja- Jesus ni Messenger 2, Yesu ni Neno, Tatu Yesu ni Roho ya Allah inayoendelea. What a stupid verse. kumbuka Neno halijaumbwa ni Mungu muumbaji
Kama Qur’an ingemaanisha Yesu ni Mungu:

isingesema “hakika Allah ni Mungu mmoja”
Weka Lugha hapo Mungu ni mmoja ametumia

qul hu allah hu ahad (Surah Ikhlas)

maana yake Allah ni mmoja kati yao. Alafu Allah ni name halimaanishi Mungu. its a name of your God. acha uzembe mshaambiwa katika uislam msitafsir tofauti quran Surah Al-An'am - 115

“Ruhun minhu” haimaanishi Allah yumo ndani ya Yesu​

Kiarabu:

“minhu” ni sawa na kutoka kwa heshima / uumbaji , si sehemu ya asili ya Mungu
Una tatizo gani wewe aya inasema and spirit of Allah proceeding - Roho inayoendelea
Mfano:

“Nyumba ya Allah” (Kaaba) . Je, Allah yumo ndani ya mawe? Hapana.
Anayesema Kaaba ni Nyumba ya Allah ni nyie muslim ma hanaf si mnasema Ibrahim alijenga hapo kwenye jiwe? hahaha upagani huo uliamini house of Allah Kama Allah hana Roho means ni Sanamu la jiwe

Kusamehe dhambi & ushahidi siku ya kiyama​


Qur’an:
Allah ndiye anayesamehe
Kivipi mbona Yesu anasamehe live na sio kama Allah anasema hadi siku ya kiama? wakati Mtume wako anasema Ukishika kaaba pale Yemen's corner dhambi zinasamehewa. so jiwe is powerfully dhidi ya Allah ambaye anasamehe hadi siku ya kiama hahahaha Quran nzima hakuna aya Allah amesamehe mtu zaidi ya ahadi tu
viungo vitashuhudia, si kusamehe
Enh are you ok
Hata katika Biblia:
Baba ndiye chanzo cha mamlaka (Yohana 17:3)


Hanif sio Kafir​


Hanif (حنيف):

mwenye kuelekea kwenye tauhidi
aliyepotoka na ushirikina

Kinyume chake cha kafir.

Hili linajulikana hata kwa wanazuoni wa lugha ya Kiarabu wasio Waislamu.
Kasmoe juu nisha elezea Ibrahim alizaliwa dini za washirikina Hanif kamuulize Azar atakuambia kwenye hadith

“Allah ni mmoja miongoni mwa miungu ya Waarabu”​


Hili ni kosa la kihistoria:

Qur’an inapingana moja kwa moja na: Al-Lāt , Al-‘Uzzā , Manāt
Alipinga sababu alisikia vibaya kuwa na mabinti tupu akawakana wanae Baba mbaya huyo. Kaona Mungu wa Wayahudi ana mtoto wa Kiume Jesus na yeye Mabinti tu pekee hahahaha kichekeho aliposababisha mimba ya Mariam pia akakataa responsibility za kulea akamkata mtoto tena hahahaha Allah ni kama mababa wa sasa wanaokataa kulea hata Mimba hukataa
Je, nyinyi mnazo kike na Yeye ana mwana wa kiume?” (53:19–23)

Kama Allah angekuwa miongoni mwao:

asingewapinga kwa ukali huo
Hata kwenu kaka zako wakizaa vidume na wewe kila mtoto mkeo anakuleta wa kike moja hadi tatu na tatizo la Waarabu lazima wakucheke.. uesoma kisa hiki katafute kitabu aouther Asbab nazul vyanzo vya kushushwa aya utacheka ufe


Islam ni sawa na surrender to die?​


Jibu ni Hapana.

Islam ni kujisalimisha kwa Mungu
Nimekupa tafsir halis hamuelewi why? Aslim Taslam ndio maana yake hata Al qaeda waliandika barua Marekani wakiwataka surrender or die Aslim Taslam
Salam ni amani
Umepata kwa mara ya kwanza hahahaha japo unazuga Allah hapendi uongee ukweli
Ndio maana inasema

Qur’an: “Hakuna kulazimisha katika dini” (2:256)
Mohammad kaambiwa na Allah awapige na aue watu wote dunianii hadi waukubali uislam na sio kuukubali tu waswali kama anavyoswali,kula vyakula kama wanavyokula waislam, kuchinja kama wanavyochinja waislam

On the authority of Abdullah ibn Umar (ra):Hadith 8, 40 Hadith an-Nawawi
The Messenger of Allah (ﷺ) said, "I have been ordered to fight against the people until they testify that there is none worthy of worship except Allah and that Muhammad is the Messenger of Allah, and until they establish the salah and pay the zakat. And if they do that then they will have gained protection from me for their lives and property, unless [they commit acts that are punishable] in Islam, and their reckoning will be with Allah."


Hahaha vipi mtu akiuacha uislam? Mtume wenu alisema kill him/her
Sahih (Darussalam)Sunan an-Nasa'i 4743 Book 45, Hadith 38
"It is not permissible to kill a Muslim except in one of three cases: A adulterer who has been married, who is to be stoned; a man who kills a Muslim deliberately; and a man who leaves Islam and wages war against Allah, the Mighty and Sublime, and His Messenger, who is to be killed, crucified or banished from the land."
Barua za Mtume zilikuwa:

wito wa kidiplomasia si ultimatum ya “uue au ufe”

Unachokifanya wewe kwa chuki na roho yako mbaya ni
Chuki kivipi ushasoma hata barua moja iliyotafsiliwa bila kuwekwa mabano?
1771027212216.png

  • Meaning: "Aslim" means "submit/accept Islam" and "Taslam" means "you will be safe/saved".
Jibu ushapata hapo? Taslam safe au udedishwe
بسم الله الرحمن الرحيم من محمد بن عبد الله إلى هرقل عظيم الروم: سلام على من اتبع الهدى، أما بعد فإنى أدعوك بدعوة الإسلام أسلم تسلم يؤتك الله أجرك مرتين، فإن توليت فعليك إثم جميع الأريسيِين قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ تَعَالَوْا إِلَىٰ كَلِمَةٍ سَوَاءٍ بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمْ أَلَّا نَعْبُدَ إِلَّا اللَّهَ وَلَا نُشْرِكَ بِهِ شَيْئًا وَلَا يَتَّخِذَ بَعْضُنَا بَعْضًا أَرْبَابًا مِّن دُونِ اللَّهِ ۚ فَإِن تَوَلَّوْا فَقُولُوا اشْهَدُوا بِأَنَّا مُسْلِمُونَ
In the name of God the Beneficent, the Merciful:

(This letter is) from Muhammad son of Abdullah to Heraclius the Great (ruler) of the Romans (Byzantines). Peace be upon him, he who follows the right path. Furthermore I invite thee to Islam; become a Muslim and thou shalt be safe (from Hell or God's punishment), and God will double thy reward (as your people will follow along and be saved because of you), and if thou rejectest, thou shalt bear the sins of the Arisiyins (the peasants, your people).
1. kuchanganya tafsiri za Kikristo na Qur’an
Uislam umecopy kwa wakristo kuchanganya kipi? uislam unalipi jipya? hadithi kibao anacopy from kwetu

Narrated Ibn `Abbas:

The Prophet (ﷺ) used to copy the people of the Scriptures in matters in which there was no order from Allah. The people of the Scripture used to let their hair hang down while the pagans used to part their hair. So the Prophet (ﷺ) let his hair hang down first, but later on he parted it.
2. kuchukua aya bila lugha, muktadha, na historia
Uislam hauna lolote hata Historia ni vichekesho vitumu, Mecca haikuwepo enzi za historia viashiria vyote vinasema mji uliitwa Kaaba, Jina la Mohamad tafsiri yake ni kiumbe cha kuabudiwa sasa hilo jina alitoa wapi? maana mtume wenu aliitwa Qutham, muumini wa wapagani na aliitwa Abdullah sababu hakujulikana baba yake maana historia inasema abdullah alikufa miaka minne ndipo Qutham akazaliwa na kupewa jina hilo la mjomba wake kwa tamaduni za kiarabu kurithi jina la ukoo. Kumuita Muabudiwa mean Qutham ndie Mungu wenu huyo
3. kutumia matusi badala ya hoja
Mie natumia Hoja aya na Hadith ndugu zeko akiwemo Adiosamigo kutwa matusi hauwezi kumkanya kwani ni kinyume na uislam kumkanya Muislam asitukane
Uislamu: haukatai Yesu ,
Wrong, Mnakataa Yesu sio Mwana wa Mungu. wakati Aliyesababisha Mimba ya Mariam mnasema ni Allah hahahaha Mtoto mnakataa. sababu kubwa mnaamini Yesu akija ataua Nguruwe,Atazuia Jizyah sasa atazuia vipi na haipo tena au Dubai na Saudia bado ipo? Mna kila sababu za kumpinga Yesu maana mpo upande wa Iblis mzee wa Kukana na kukanusha kila kitu. kama unampenda Yesu sema Ni mwana wa Mungu kama anavyosema yeye. Nilicheka siku Zakir naik alisema eti kipindi cha uwepo wa Yesu Duniani ilikuwa ni Sawa kusema Mwana wa Mungu ila sio baada ya Mudy hahahaha Neno la Mungu lilichange
haukufundisha Ibrahim ushirikina ,
Vipi Wale Malaika Haruti na Maruti walikuja fundisha uchawi na ushirikina hahahahaha waliletwa na Allah kufungua chuo cha magic Harry Porter school hahahaha
haufundishi Utatu ,
Ukisema Bismillah unatmka mara Tatu,
Akisema 1 Bismillah, 2 Rahman,3 Rahim
Ukisukutua unasukutua mara Tatu,
Ukinya mavi unachamba na mawe matatu,
wudu kila kitu mara tatu, almost kila kitu cha kiislam ni mara tatu,
Yesu mmem discribe mara tatu, Neno, Spirit na Man as Messenger
Mlikuja hadi kusema kuna malaika wana mabawa Matatu sasa bawa la tatu linakaa upande upi? hahaha
unasisitiza Mungu mmoja asiye na umbile wala mwana
Allah kusema nimemuumba Binadamu kwa mikono yangu Quran 38:75 alikuwa akimuambia Iblis au mikono sio umbo?
Akikaa kwenye arsh hana tako? hana kiuno?au ni joka? maana ndie hakai, Mguu wake kuingia hell fire na moto utasema Qati qati Quran 50:30 kwaniyo description za Allah alivyo ni aya za kipumbavu kabisa katika Quran?

Sema hana Mwana ila alimpa Mimba Mariam akazaa.

Kama Angekuwa Mmoja angetumia lugha singular not Plural

Alafu alisema akitaka mtoto atachagua thuwaiba from his creation sasa ndie Mariam?

Na kama Angelikuwa ni mmoja asingeandika hii aya 21:17 Quran
لَوْ أَرَدْنَا أَنْ نَتَّخِذَ لَهْوًا لَاتَّخَذْنَاهُ مِنْ لَدُنَّا إِنْ كُنَّا فَاعِلِينَ

Law aradnaaa an nattakhiza lahwal lat takhaznaahu mil ladunnaaa in kunnaa faa’ileen

Kwenye bold ni kiburudisho cha kike hahaha
Al-Barwani
Kama tungeli taka kufanya mchezo tunge jifanyia Sisi wenyewe, lau kwamba tungeli kuwa ni wafanyao mchezo.

Yaani neno thuwaiba limetafsiliwa mchezo hahaha
Twende kwa Abdullah : - Lau tulitaka kijifanyia Kipumbazi cha Mtoto au mke tungalikifanya kutoka kwetu, na sio kwenu. Hatukuwa ni wenye kufanya hilo kwa kuwa ni muhali kwetu kuwa na mtoto au mke.

Same Aya Quran 21:17 Tafsir kibao Waislam wanasikitika na kutetemeka aibu Allah anaumbuka hayupo peke yake hahahaha

Sahih International
Had We intended to take a diversion, We could have taken it from [what is] with Us – if [indeed] We were to do so.

Yusuf Ali
If it had been Our wish to take (just) a pastime, We should surely have taken it from the things nearest to Us, if We would do (such a thing)!
Abul Ala Maududi
Had it been Our will to find a pastime, We would have found one near at hand; if at all We were inclined to do so.

Muhsin Khan
Had We intended to take a pastime (i.e. a wife or a son, etc.), We could surely have taken it from Us, if We were going to do (that).

Pickthall
If We had wished to find a pastime, We could have found it in Our presence – if We ever did.
Dr. Ghali
If We had taken to Us a diversion, We would indeed have taken it to Us from very close to Us, in case We are performing (that).
Abdel Haleem
If We had wished for a pastime, We could have found it within Us- if We had wished for any such thing.
 
Wote washenzi tu huyo aliyeoa mtoto wa miaka 6 na hao wanaobaka huko marekani wote sawa
 
Hao hawakujinasibu kuwa ni mitume!
Lakini hata hivyo kwenye mafaili hayo wamo na waislamu wamehusika kwenye skandali hiyo!
 
Wote washenzi tu huyo aliyeoa mtoto wa miaka 6 na hao wanaobaka huko marekani wote sawa
Na yule aliyekamatwa alfajiri vichakani Gesthemane huku akiwa na kijana wa kiume aliyekuwa uchi huku chupi kaiweka begani yeye alikuwa hodari?
 
Mkuu kwa hio umeamua kumshusha mtume wenu kumlinganisha na wabakaji wa zama hizi? Kwamba mtu mtume mmoja ni sawa na wabakaji wa kikristo 100 aiseeeee
 
Ndio aya yasema au unataka kubadilisha? haya Allah anasahihishwa tuone Jigina master wwa Allah hahahaha

Usiseme unatumiwa katika Quran! sema unatumiwa na Allah ambaye ndie Mohammad Aka Qutham kuifanya Quran haieleweki waislam watakuua wewe. japo una tafsir lukuki kumaanisha kiarabu cha Allah hakieleweki pamoja na madai yote

Ukisoma story za mtume wako zinasema Baba yake alikuwa Anaitwa Azar (Allah muongo alisema anaitwa Azar wakati kwenye Bible Tera) so inawezekana mna ibrahim wenu na alikuwa muumini wa masanamu so ndio ushirikina huo.

Kama Quran haimsemi kuwa mshirikina ila inamuita Hanif na Hanif ni neno lenye asili ya Aramaic yaani Kafir pia ni hao mapagani pia ni lugha ya Aramaic na Mtume wako aliitwa kafir na Wayahudi alipoanza kuleta uzushi kujiita Mtume hahaha wakamuita Kufar aliumbuliwa kila debate na ndipo alipopata hilo jina kafir akawaita na wao wayahudi eti makafir hahahaha

Tafsir ya Yake.
  • Meaning: A "Kofer" is a person who rejects or hides the truth of the Jewish faith.
  • The concept of disbelief is Kefirah (כְּפִירָה).
  • Usage: While kufar in Arabic often implies an enemy of the faith, kofer in Hebrew specifically refers to a person who has become an apostate or denies fundamental Jewish tenets.
Kwahiyo Hiyo Hanif ni kafir too so Quran imewaweka kundi moja Kafir washirikina n.k so Muslim nyote ni Hanif na Makafir Kofar

Mada ya kielimu inahamia kwenye neno asili yake ni Aramaic na sio kiarabu so aya ya ALLAH Kusema Quran imeshushwa kwa lugha ya kiarabu ni uongo tena wa Allah.

Kasome vizuri sijasema This is my Lord Nimeandika maana yake Huyu ndie Mungu wangu.. mbona mnageuza maneno na wewe ni Kenge ka mwenzio. This is my Lord hata wanafunzi wa Yesu walimuita Yesu Lord. na Yesu aliwambia wanafunzi wake sio wote wanaoniita Lord Lord ndio watakao uona ufalme wangu bali wale wanafuata mafunzo na vitendo.

Ibrahim Aliabudu according to hadith ukikataa basi hata alivyomjua ALLAH hakuabudu pia kwa rogic yako.

Mzunguko wa Dunia? toka Lini Allah amejua hilo? maana Allah anasema Jua ndio linapata ruksa kuchomoza kila siku hahahaha weka sayansi juu Allah hajui chochote na kusema Nyota zina set ni upumbavu kasome vyanzo kwanza

So Kama utazamaji mean Allah nae he see as we see mean Allah yupo Duniani nae anatizama chini maana yeye ndie mzungumzaji kwenye Quran

Mean Time was stop ikawa long day siku ya vita ndio maana anaitwa Mungu muweza the almighty. Allah hawezi hahaha

Utamu wa Biblia soma chapter inaeleza vizuri sio kuchomoa betri hahahaha Soma hiyo as long unaamini

 Mtu mmoja aitwaye Yohana alitumwa na Mungu 7 awaambie watu kuhusu hiyo nuru, ili kwa ushuhuda wake wapate kuamini. 8 Yohana mwenyewe hakuwa ile nuru. Yeye alitumwa kuishuhudia hiyo nuru. 9 Nuru halisi ambayo inawaangazia watu wote ilikuwa inakuja ulim wenguni. 10 Neno alikuwepo ulimwenguni, lakini japokuwa aliumba ulimwengu, watu wa ulimwengu hawakumtambua! 11 Alikuja nyumbani kwake, lakini watu wake hawakumpokea! 12 Bali wote waliompokea na kumwamini aliwapa haki ya kufanywa watoto wa Mungu. 13 Hawa hawakuwa watoto wa Mungu kwa kuzaliwa kwa njia ya asili, wala kwa mapenzi au mipango ya watu bali wamezaliwa na Mungu mwenyewe.

14 Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu akiwa amejaa utu kufu na kweli. Tuliona utukufu wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba. 15 Yohana alishuhudia habari zake, akatangaza: “Huyu ndiye yule niliyewaambia kuwa, ‘Yeye ajaye baada yangu ni mkuu kuliko mimi kwa kuwa alikuwapo kabla sijazaliwa.”’ 16 Na kutokana na ukamilifu wake, sisi sote tumepokea neema tele. 17 Musa alitule tea sheria kutoka kwa Mungu, lakini Yesu Kristo ametuletea neema na kweli. 18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote. Lakini Mwanae pekee, ambaye ana uhusiano wa karibu sana na Baba yake, amemdhihirisha Mungu kwetu.

Mungu huja na Utukufu na Waliuona

Kumuona Mungu kwa nature yake utadedi ndio maana alikuwa akija kwa Umbo la kibinadamu ni Almighty

Si sawa wakati Mohammad ndipo alipotolea hayo maneno huko au unadhani Injili si hiyo? aliyoandika Yohana? hahahaha Ruhun minhu imeandikwa kuwa proceeding - Yaani Roho ya Allah inayoendelea. nikuulize kitu kama sio hayo maneno yametoka kwenye Injil niambie Allah ana Spirit? Maana Islam haiamini katika roho Uislam unaamini Allah ana Physical Body na Ana kiti, Guu,Mikono n.k

Allah anaweza umba bila kusema NENO? nitajie komoja Allah kaumba bila kusema NENO.

Uongo mwingine tena hukomi tu kwakuwa Allah kaongopa na wewe unaendeleza uongo badala ya kumshushua Alllah1 Sasa wewe unajua kabisa Binadamu kaumbwa kwa Udongo, Allah akamfashien akamuacha akauke kwa miaka 40 kisha akampulizia pumzi na Adam akasema finish me before sunset, yaani Mbinguni kuna jua linazama pia hahaha mtume wenu ni comedian sana am nikisema Allah anaona kama sisi tunavyoona, sasa hizo proccess zote Kun fay kun imetumika wapi hapo? Allah is a big fat liar

In muslim not

Inakataza Utatu ila maelezo inazungumzia utatu, Moja- Jesus ni Messenger 2, Yesu ni Neno, Tatu Yesu ni Roho ya Allah inayoendelea. What a stupid verse. kumbuka Neno halijaumbwa ni Mungu muumbaji

Weka Lugha hapo Mungu ni mmoja ametumia

qul hu allah hu ahad (Surah Ikhlas)

maana yake Allah ni mmoja kati yao. Alafu Allah ni name halimaanishi Mungu. its a name of your God. acha uzembe mshaambiwa katika uislam msitafsir tofauti quran Surah Al-An'am - 115


Una tatizo gani wewe aya inasema and spirit of Allah proceeding - Roho inayoendelea

Anayesema Kaaba ni Nyumba ya Allah ni nyie muslim ma hanaf si mnasema Ibrahim alijenga hapo kwenye jiwe? hahaha upagani huo uliamini house of Allah Kama Allah hana Roho means ni Sanamu la jiwe

Kivipi mbona Yesu anasamehe live na sio kama Allah anasema hadi siku ya kiama? wakati Mtume wako anasema Ukishika kaaba pale Yemen's corner dhambi zinasamehewa. so jiwe is powerfully dhidi ya Allah ambaye anasamehe hadi siku ya kiama hahahaha Quran nzima hakuna aya Allah amesamehe mtu zaidi ya ahadi tu

Enh are you ok

Kasmoe juu nisha elezea Ibrahim alizaliwa dini za washirikina Hanif kamuulize Azar atakuambia kwenye hadith

Alipinga sababu alisikia vibaya kuwa na mabinti tupu akawakana wanae Baba mbaya huyo. Kaona Mungu wa Wayahudi ana mtoto wa Kiume Jesus na yeye Mabinti tu pekee hahahaha kichekeho aliposababisha mimba ya Mariam pia akakataa responsibility za kulea akamkata mtoto tena hahahaha Allah ni kama mababa wa sasa wanaokataa kulea hata Mimba hukataa

Hata kwenu kaka zako wakizaa vidume na wewe kila mtoto mkeo anakuleta wa kike moja hadi tatu na tatizo la Waarabu lazima wakucheke.. uesoma kisa hiki katafute kitabu aouther Asbab nazul vyanzo vya kushushwa aya utacheka ufe

Nimekupa tafsir halis hamuelewi why? Aslim Taslam ndio maana yake hata Al qaeda waliandika barua Marekani wakiwataka surrender or die Aslim Taslam

Umepata kwa mara ya kwanza hahahaha japo unazuga Allah hapendi uongee ukweli

Mohammad kaambiwa na Allah awapige na aue watu wote dunianii hadi waukubali uislam na sio kuukubali tu waswali kama anavyoswali,kula vyakula kama wanavyokula waislam, kuchinja kama wanavyochinja waislam

On the authority of Abdullah ibn Umar (ra):Hadith 8, 40 Hadith an-Nawawi
The Messenger of Allah (ﷺ) said, "I have been ordered to fight against the people until they testify that there is none worthy of worship except Allah and that Muhammad is the Messenger of Allah, and until they establish the salah and pay the zakat. And if they do that then they will have gained protection from me for their lives and property, unless [they commit acts that are punishable] in Islam, and their reckoning will be with Allah."


Hahaha vipi mtu akiuacha uislam? Mtume wenu alisema kill him/her
Sahih (Darussalam)Sunan an-Nasa'i 4743 Book 45, Hadith 38
"It is not permissible to kill a Muslim except in one of three cases: A adulterer who has been married, who is to be stoned; a man who kills a Muslim deliberately; and a man who leaves Islam and wages war against Allah, the Mighty and Sublime, and His Messenger, who is to be killed, crucified or banished from the land."

Chuki kivipi ushasoma hata barua moja iliyotafsiliwa bila kuwekwa mabano? View attachment 3543479
  • Meaning: "Aslim" means "submit/accept Islam" and "Taslam" means "you will be safe/saved".
Jibu ushapata hapo? Taslam safe au udedishwe



Uislam umecopy kwa wakristo kuchanganya kipi? uislam unalipi jipya? hadithi kibao anacopy from kwetu

Narrated Ibn `Abbas:

The Prophet (ﷺ) used to copy the people of the Scriptures in matters in which there was no order from Allah. The people of the Scripture used to let their hair hang down while the pagans used to part their hair. So the Prophet (ﷺ) let his hair hang down first, but later on he parted it.

Uislam hauna lolote hata Historia ni vichekesho vitumu, Mecca haikuwepo enzi za historia viashiria vyote vinasema mji uliitwa Kaaba, Jina la Mohamad tafsiri yake ni kiumbe cha kuabudiwa sasa hilo jina alitoa wapi? maana mtume wenu aliitwa Qutham, muumini wa wapagani na aliitwa Abdullah sababu hakujulikana baba yake maana historia inasema abdullah alikufa miaka minne ndipo Qutham akazaliwa na kupewa jina hilo la mjomba wake kwa tamaduni za kiarabu kurithi jina la ukoo. Kumuita Muabudiwa mean Qutham ndie Mungu wenu huyo

Mie natumia Hoja aya na Hadith ndugu zeko akiwemo Adiosamigo kutwa matusi hauwezi kumkanya kwani ni kinyume na uislam kumkanya Muislam asitukane

Wrong, Mnakataa Yesu sio Mwana wa Mungu. wakati Aliyesababisha Mimba ya Mariam mnasema ni Allah hahahaha Mtoto mnakataa. sababu kubwa mnaamini Yesu akija ataua Nguruwe,Atazuia Jizyah sasa atazuia vipi na haipo tena au Dubai na Saudia bado ipo? Mna kila sababu za kumpinga Yesu maana mpo upande wa Iblis mzee wa Kukana na kukanusha kila kitu. kama unampenda Yesu sema Ni mwana wa Mungu kama anavyosema yeye. Nilicheka siku Zakir naik alisema eti kipindi cha uwepo wa Yesu Duniani ilikuwa ni Sawa kusema Mwana wa Mungu ila sio baada ya Mudy hahahaha Neno la Mungu lilichange

Vipi Wale Malaika Haruti na Maruti walikuja fundisha uchawi na ushirikina hahahahaha waliletwa na Allah kufungua chuo cha magic Harry Porter school hahahaha

Ukisema Bismillah unatmka mara Tatu,
Akisema 1 Bismillah, 2 Rahman,3 Rahim
Ukisukutua unasukutua mara Tatu,
Ukinya mavi unachamba na mawe matatu,
wudu kila kitu mara tatu, almost kila kitu cha kiislam ni mara tatu,
Yesu mmem discribe mara tatu, Neno, Spirit na Man as Messenger
Mlikuja hadi kusema kuna malaika wana mabawa Matatu sasa bawa la tatu linakaa upande upi? hahaha

Allah kusema nimemuumba Binadamu kwa mikono yangu Quran 38:75 alikuwa akimuambia Iblis au mikono sio umbo?
Akikaa kwenye arsh hana tako? hana kiuno?au ni joka? maana ndie hakai, Mguu wake kuingia hell fire na moto utasema Qati qati Quran 50:30 kwaniyo description za Allah alivyo ni aya za kipumbavu kabisa katika Quran?

Sema hana Mwana ila alimpa Mimba Mariam akazaa.

Kama Angekuwa Mmoja angetumia lugha singular not Plural

Alafu alisema akitaka mtoto atachagua thuwaiba from his creation sasa ndie Mariam?

Na kama Angelikuwa ni mmoja asingeandika hii aya 21:17 Quran
لَوْ أَرَدْنَا أَنْ نَتَّخِذَ لَهْوًا لَاتَّخَذْنَاهُ مِنْ لَدُنَّا إِنْ كُنَّا فَاعِلِينَ

Law aradnaaa an nattakhiza lahwal lat takhaznaahu mil ladunnaaa in kunnaa faa’ileen

Kwenye bold ni kiburudisho cha kike hahaha
Al-Barwani
Kama tungeli taka kufanya mchezo tunge jifanyia Sisi wenyewe, lau kwamba tungeli kuwa ni wafanyao mchezo.

Yaani neno thuwaiba limetafsiliwa mchezo hahaha
Twende kwa Abdullah : - Lau tulitaka kijifanyia Kipumbazi cha Mtoto au mke tungalikifanya kutoka kwetu, na sio kwenu. Hatukuwa ni wenye kufanya hilo kwa kuwa ni muhali kwetu kuwa na mtoto au mke.

Same Aya Quran 21:17 Tafsir kibao Waislam wanasikitika na kutetemeka aibu Allah anaumbuka hayupo peke yake hahahaha

Sahih International
Had We intended to take a diversion, We could have taken it from [what is] with Us – if [indeed] We were to do so.

Yusuf Ali
If it had been Our wish to take (just) a pastime, We should surely have taken it from the things nearest to Us, if We would do (such a thing)!
Abul Ala Maududi
Had it been Our will to find a pastime, We would have found one near at hand; if at all We were inclined to do so.

Muhsin Khan
Had We intended to take a pastime (i.e. a wife or a son, etc.), We could surely have taken it from Us, if We were going to do (that).

Pickthall
If We had wished to find a pastime, We could have found it in Our presence – if We ever did.
Dr. Ghali
If We had taken to Us a diversion, We would indeed have taken it to Us from very close to Us, in case We are performing (that).
Abdel Haleem
If We had wished for a pastime, We could have found it within Us- if We had wished for any such thing.

1. Qurʾān haidai kuwa haina maneno ya kigeni.


Inadai kuwa imefunuliwa kwa Kiarabu fasaha (Arabic mubīn), si kwamba kila mzizi wa neno lazima uwe wa asili ya Kiarabu.

Kiarabu, Kiebrania, na Kiaramaiki ni lugha dada (Semitic languages)
Kushirikiana kwa mizizi ya maneno hakufanyi lugha kuwa ya uongo
Mfano:

Injili (Εὐαγγέλιον) - Kigiriki
Torah - Kiebrania
Firʿawn (Farao) - Kimisri
Hii haiifanyi Biblia isiwe Kiebrania au Kigiriki


Kwa hivyo Hoja yako ya “Qurʾān si Kiarabu kwa sababu Hanīf / Kāfir zina asili ya Aramaic” si sahihi kielimu.

2. Uchanganyaji mkubwa umefanyika hapa​

Hanīf (حنيف) katika Qurʾān ni mwelekeo wa kumuabudu Mungu Mmoja, kinyume cha ushirikina
Kāfir (كافر) katika Kiarabu ni anayeficha / anayekataa ukweli

Kwamba:
kafar ipo Kiebrania (כפר) , kufr ipo Kiarabu . Hii ni asili ya lugha, si ushahidi wa wizi au uongo

Dai kwamba Hanīf ni Kāfir ni kosa la kielimu. Qurʾān yenyewe inawatofautisha wazi.

3. Qurʾān inasema:​

“Na Ibrahim alipomwambia baba yake Azar…” (Q 6:74)​

Katika tafsiri za Kiislamu: Azar = jina la utani / cheo , Terah ni jina la ukoo

Katika Biblia pia: Baba anaitwa Terah . Lakini ukoo wa mababu hubadilishwa majina (mf. Yakobo → Israeli)

Hili si kosa, bali tofauti ya onomastics (sayansi ya majina).

4. Qurʾān haifundishi kwamba Ibrahim aliabudu nyota.
Ni hoja ya mjadala (argumentative demonstration):​

“Je, huyu ndiye Mola wangu?” kisha anapokataliwa → “Sipendi vinavyotoweka”​

Hii ni mbinu ya kielimu ya kufundisha, si ibada.

Hapa umetafsiri simulizi la hoja kama ibada — makosa ya mantiki (category error).

5. Aya: “Na jua linakwenda mpaka pahali pake pa kupumzika…” (Q 36:38)​

Qurʾān haifundishi heliosentrism wala geosentrism
Inatumia lugha ya mtazamo wa mwanadamu (phenomenological language)

Biblia pia: “Jua likasimama” (Yoshua 10:13)

Ikiwa Qurʾān ni “upumbavu”, basi Biblia pia ingetakiwa ihukumiwe kwa kipimo hicho hicho.


6. Qurʾān 4:171: Yesu ni Neno kutoka kwa Allah na Roho kutoka Kwake


Hii HAISEMI: Yesu ni Mungu, Yesu ni sehemu ya Allah , Allah ana roho kama wanadamu

Mfano wa Kiarabu:

Baytullāh ni Nyumba ya Allah (si Allah anaishi humo)
Nāqatullāh ni Ngamia wa Allah (si Allah ni ngamia)

“Rūḥun minhu” ni kutoka kwa amri Yake, si sehemu ya kiini Chake

7. Qurʾān inakataza:​

Kumfanya Yesu kuwa Mungu, Kumfanya sehemu ya Mungu , Kumgawanya Mungu katika nafsi

Qurʾān inapingana na tafsiri za kikanisa, si Injili ya Yohana yenyewe.

8. Hii ni mada ya tafwīḍ na tashbīh:​

Ndani ya Uislam: Hakuna umbo kama la viumbe

“Hakuna kitu mfano Wake” (Q 42:11)

Biblia pia : Mungu anatubu, Mungu anachoka , Mungu anatembea bustanini

Lugha ya mfano ipo katika vitabu vyote viwili.

9. Maana sahihi:​

Aslim ni jisalimishe kwa Mungu
Taslam ni utaokoka / utakuwa salama (kiroho)
Hii si “kubali au uuwawe” kama ulivyodai.

Na hadith ya kupigana: Inahusu vita vya kisiasa katika karne ya 7 Si amri ya kuua dunia nzima

Biblia pia ina: Nitakuua kwa upanga wa Bwana” , “Mataifa yote yaangamizwe”

10. Qurʾān: Yesu ni Masihi​

Alizaliwa bila baba
Alifanya miujiza
Atarudi mwisho wa dunia

Lakini: Si Mungu Si mwana wa Mungu

Hii ni tofauti ya itikadi, si chuki.

Hoja zako:nZina hisia kali, lakini Zinachanganya lugha, tafsiri, historia, na imani Zina makosa ya kielimu yanayojulikana

Kukataa Uislam ni haki yako , Lakini kushambulia kwa taarifa zisizo sahihi hakufanyi hoja iwe sahihi

Ikiwa unataka: Mjadala wa kielimu wa lugha (Semitic linguistics), Ulinganisho wa Injili ya Yohana na Qurʾān au
Historia ya hadith na muktadha wa vita , Niko tayari lakini kwa heshima na hoja, si matusi.
 
Umuamini Bhukhari ila Hafsi unamuamini eeh? Maana Hafsi ndie anajulikana rasmi kwenye Islam kuwa ni muongo. na ndie mnatumia Tafsir yake ya Quran.

Pia hakuna asiye muongo katika uislam Allah ndie wa Kwanza akijiita bingwa wa uongo Quran 3:54 wa pili Mohammad na nyie waumii wote. Allah na Mudy kawaambia inaitwa Taqiyya sio dhambi.

Prove waislam ni waongo
Hafsi - Muongo,
Al Bhukhari - Muongo
Sahihi Muslim - Muongo
Sunna Abi Dawud -Muongo
Urwah -Muongo
al-Zuhr -Muongo
Allah -Muongo,
Mohammad -Muongo,
Adiosamigo -Mkweli hahahahahahahaha idiot

Hiyo Video mbona kama ujinga tu swali limeulizwa la kijinga kama Mohammad alikuwa anasamehe makosa and why hadith zingine yupo kinyume ni ujinga wakati hadithi kibao Mohammad alikuwa katiri hadith sahihi zenye vyanzo vingi hadi alipong'olewa meno, ni wizi ulisababishwa na kundi lake la magaidi wakakmbilia mali za wizi. kibaka yule kama alikuwa na huruma ni za kuhesabu. alafu huyo binti aliyempa sumu mudy wazazi wake na mume wake Mudy aliwaua na kile kilikuwa ni kisasi cha yule mwanamke... kwakuwa wewe ni fake muslim huujui uislam na ndie una sura ya kenge halisia

1. Umechanganya watu wawili tofauti kabisa:​

(a) Huyu si mufassir wa Qurʾān .​

Alikuwa msomaji (qāriʾ) wa qirāʾa moja (Hafs ʿan ʿĀṣim) . Hapokei hadith .

Kukosolewa kwake kunahusu hadith, si usomaji wa Qurʾān

Qurʾān haikutegemea hadith za Hafs ibn Sulaymān

(b) Mke wa Mtume​

Alihifadhi musḥaf wa Qurʾān uliokusanywa rasmi wala Hakuitwa muongo na wanahistoria wa Kiislamu
Kwa hiyo kusema “mnatumia tafsir ya Hafsi muongo” ni kosa la kimsingi la kielimu.

2. Umedai: “Allah na Muhammad ni waongo, taqiyya”​

Ukweli wa kielimu: Taqiyya ni dhana ya Kishia, si Sunni wala Haimruhusu Mwislam kudanganya dini nzima

Inahusu kuokoa maisha chini ya mateso, sawa na: Wakristo kujificha wakati wa mateso ya Roma au Petro kumkana Yesu kwa hofu​


Sunni Islam (Bukhari, Muslim, Abu Dawud) haiamini uongo wa kimfumo

3. Aya: “Wakapanga njama, na Allah akapanga njama, na Allah ndiye mbora wa wapangaji”

Neno la Kiarabu makr (مكر): Halimaanishi kusema uongo, Linamaanisha kushinda njama kwa mkakati

Biblia pia: “Bwana huwapumbaza wenye hekima” “Mungu aliwatia upofu” . Hii ni lugha ya kimafumbo, si fundisho la uongo.

4. Hii si hoja, ni matusi yasiyo na mbinu ya kielimu.​

Kitaaluma: Hadith hazichukuliwi kama Qurʾān

Kuna: Isnāḍ (mlolongo wa wapokezi), Jarḥ wa taʿdīl (uhakiki wa tabia), Kukataliwa hadith nyingi .​

Uislam una mfumo mkali zaidi wa uhakiki wa historia kuliko dini yoyote ya kale.​

5. Historia kamili:​

Alisamehe: Watu wa Makka waliomtesa (Fath Makkah) , Aliyekiri kumuua mjomba wake.​

Alipigana:​

Katika vita vya karne ya 7 , Kama walivyofanya Musa, Daudi, Yoshua

Biblia: Musa aliamuru kuuawa maelfu , Yoshua aliangamiza miji yote

Kuchagua hadith za vita pekee ni confirmation bias, si uchambuzi.

6. Ndiyo, alijaribiwa kumuua​

  • Hakumuua mara moja
  • Aliuawa baada ya mtu kufa kwa sumu ile

Hii ni sheria ya jinai ya zama hizo, si unyama wa pekee.

7. Maneno kama: “kenge, idiot, magaidi”

Haya hayabadilishi ukweli wa historia, lugha, wala teolojia. Yanadhihirisha hisia kali, si nguvu ya hoja.

MWISHO:

Umechanganya: Watu tofauti kwa jina moja , Dhana za Kishia na Sunni, Lugha ya mafumbo na uongo
Hujatoa Isnāḍ sahihi wala Ufafanuzi wa kiisimu wala Mbinu ya kihistoria

Kukosoa Uislam ni haki yako Lakini kukosoa kwa makosa ya wazi hakufanyi hoja iwe sahihi
 
Uwe unauliza kabla ya kukurupuka kueneza hadithi kwa lengo la kuuchafua Uislamu hapo atakayekuwa uchi ni wewe sio Allah
Nikuulize wewe hahahahahaha me najua mavi yote ya uislam. Matakataka ya usilam ni kama jipu kubwa lililokamilika yaani mnavyoendelea kutudhihaki na sisi kutuita kafir wakati nyie ndio makafiri mnaokataa Mungu wa kweli so tuna chukua sindano tu kutumbua jipu la Allah. Hamna cha ukweli kwenye uislam nawapasua tu hadi muache dhihaka kwetu yaani mpo uchi alafu mnatembea barabarani.

Waislam waiteni mashehe wanaojua uislam waje wapangue maana humu wajinga wajinga tu wamejaa hawana wanalojua. Maana uongo wa uislam kwangu hauna nafasi nawapasueni tu.
 
Wakanisa walikuwa kila kukicha wanamzulia Mtume Muhammad eti alimuowa bi Aisha ana miaka 6, na hao viongozi wa hayo mataifa walio mzulia Mtume Muhammad.
Mwenyezi Mungu alisha toa ahadi anaye mzulia Mtume Muhammad uwongo atamdhalilisha hapa Duniani na Akhera. Sa Wakristo tuambieni USA ni taifa la Kislam au Lakikristo

Haya Mtume Muhammad mnasema aliowa binti ana miaka 6, nyie mnauwa, mnarape, wengine watoto wadogo hata hawafiki miaka 6, sisi tuna dalili nyie hamna gata dalili kama bi Aisha alikuwa na umri wa miaka 6. Tuliwambia Mungu atawafedhehesha wote mataifa na wanadamu walio mzulia Mtume wa Mungu uwongo.

Shukrani sana Allah endelea kuyadhalilisha mataifa ya kikristo


View: https://youtube.com/shorts/LUwnqAB4oM4?si=Qgm5r3tNI75oTwkz

Nasikia mud alikuwa bingwa wa kubet enzi hizo
 
Nikuulize wewe hahahahahaha me najua mavi yote ya uislam. Matakataka ya usilam ni kama jipu kubwa lililokamilika yaani mnavyoendelea kutudhihaki na sisi kutuita kafir wakati nyie ndio makafiri mnaokataa Mungu wa kweli so tuna chukua sindano tu kutumbua jipu la Allah. Hamna cha ukweli kwenye uislam nawapasua tu hadi muache dhihaka kwetu yaani mpo uchi alafu mnatembea barabarani.

Waislam waiteni mashehe wanaojua uislam waje wapangue maana humu wajinga wajinga tu wamejaa hawana wanalojua. Maana uongo wa uislam kwangu hauna nafasi nawapasueni tu.
Nimekupa ukweli wa hiyo hadith ulivyo naona umeanza kuongea mambo yasiyohusiana kama nimesema uongo nibishe sasa acha kujipa sifa usizokuwa nazo🤣🤣🤣
 

Aya uliyotaja:​

Qur’an 76:19 “Na watawazungukia kuwatumikia wavulana waliobaki katika hali yao (milele); ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo
Mtume wenu huyo kawaambieni peponi mtakacho chcohote kinatokea sasa vijana wa kazi wanahitajika ili iwaje alafu wasio vunja ungo alafu wazuri handsome wa kuvutia kukidhi haja.

Mtume Muhammad ﷺ: Hakuwa tajiri , wala Hakujenga majumba, wala Hakutumia dini kujinufaisha, Aliishi maisha ya kawaida na Alifariki bila mali​

Kichekesho kipya hiki, Mohammad alipata urithi mkubwa sana kutoka kwa mkewe mkristo Khadija, akaoa wake 13, wote walikula na kupata ulinzi maana wake za Mudy hawaruhusiwi kutiwa na muislam yeyote akisha waoa, Mohammad alikuwa na Watumwa kula vita akaanzisha, Bilal alikuwepo hadi kifo cha Mudy, Mgawanyo wa mali kila vita Mohammad alipata asilimia zaodi, Aisha alirithi jeshi la majangili la Mohammad,
Mohammad alikuwa anakula nyama za ngamia na misosi ya kiakili, Mohammad alichukua kodi zote za Jizyah wasio waislam, Mohammad alikusanya sadaka na zako zote za waislam akidai waislam wamkopeshe Allah kwani atawalipa riba firdaus alipokea pesa na mali mashamba, naweza list hadithi zote kudadeki,

WAISLAM WA ULAYA WANASEMA WAISLAM WAACHE UONGO MAANA DAWAHGANDI WANASHINDWA DEBATE ZOTE.
 
Nikuulize wewe hahahahahaha me najua mavi yote ya uislam. Matakataka ya usilam ni kama jipu kubwa lililokamilika yaani mnavyoendelea kutudhihaki na sisi kutuita kafir wakati nyie ndio makafiri mnaokataa Mungu wa kweli so tuna chukua sindano tu kutumbua jipu la Allah. Hamna cha ukweli kwenye uislam nawapasua tu hadi muache dhihaka kwetu yaani mpo uchi alafu mnatembea barabarani.

Waislam waiteni mashehe wanaojua uislam waje wapangue maana humu wajinga wajinga tu wamejaa hawana wanalojua. Maana uongo wa uislam kwangu hauna nafasi nawapasueni tu.
Jamaa ni WEUPE SANA aisee
 
Wewe unipe elimu mimi wewe sijui unaota kama unadai USA haifati dini nipe wapi uliwahi kuona Rais wa USA ni Muislam? UK, France, Germany au nchi nyingi za Europe. Jiulize kwanini wanapenda kuzishambulia nchi za Kislam kama si ukanisa.

USA kavamia Libya kudai Ghadaff alikuwa anauwa wananchi zake, kavamia Iraq kwa uwongo wa silaha za Mass destruction Weapons kama si ukanisa ni nini bwege wewe

Kwanini hawavamii Israel na bado wanawapa silaha Israel kama sio ujinga wa kanisani .

Ficha ujinga wako wewe kenge mmoja huwezi nipa elimu mimi nijibu kwanini USA anamruhusu Israel awe ana Nuclear wakati haruhusu nchi za Kislam kumiliki hizo Nuclear.

Usikimbilie kudai Pakistan anayo wameisha sema wakitoka Iran wanamfata Pakistan au umelala bado huna habari.

Ukanisa ni ujinga mtupu
Marekani wanaua yeyote anayeingilia maslahi yao. Patrice Lumumba alikuwa Muislam?
 
Mtume wenu huyo kawaambieni peponi mtakacho chcohote kinatokea sasa vijana wa kazi wanahitajika ili iwaje alafu wasio vunja ungo alafu wazuri handsome wa kuvutia kukidhi haja.

Kichekesho kipya hiki, Mohammad alipata urithi mkubwa sana kutoka kwa mkewe mkristo Khadija, akaoa wake 13, wote walikula na kupata ulinzi maana wake za Mudy hawaruhusiwi kutiwa na muislam yeyote akisha waoa, Mohammad alikuwa na Watumwa kula vita akaanzisha, Bilal alikuwepo hadi kifo cha Mudy, Mgawanyo wa mali kila vita Mohammad alipata asilimia zaodi, Aisha alirithi jeshi la majangili la Mohammad,
Mohammad alikuwa anakula nyama za ngamia na misosi ya kiakili, Mohammad alichukua kodi zote za Jizyah wasio waislam, Mohammad alikusanya sadaka na zako zote za waislam akidai waislam wamkopeshe Allah kwani atawalipa riba firdaus alipokea pesa na mali mashamba, naweza list hadithi zote kudadeki,

WAISLAM WA ULAYA WANASEMA WAISLAM WAACHE UONGO MAANA DAWAHGANDI WANASHINDWA DEBATE ZOTE.

sorry mipasho ipeleke kanisani kwenu
 
sorry mipasho ipeleke kanisani kwenu
Mipasho kivipi kuna la uongo hapo nimeongea?
Mtume wako hakuomba mkopo ya pesa na garanta wake Allah hahaha Qur'an 2:245.

Ndio maana yenu mnayoongea hampendi Reference, Mwenzio Adiosamigo nikiweka source anakasilika nami nampatia sababu anakuwa anabishana na maandiko ya Allah na mtume wake, wewe unaona aibu kukuumbua eti unasema Mohammad kafa masikini kudadeki. Nikupe aya inayosema Uislam Mohammad kauanzisha kwa dhumuni la biashara tu Quran 24:33 ndio akawaambieni mumkopeshe Allah na malipo ni akhera na waliotoa mikopo mikubwa kama Uthman akawahakikishia kuwa wamepata free ticket ya jennah. Masikini alikuwa anawatoa nduki akiwa anaongea na matajiri Quran Abasa 80:1-2, Ndio matokeo haya wanaiga kina mwamposa mnayemponda eti mtume mwenye Hotel hahaha
 
Nimekupa ukweli wa hiyo hadith ulivyo naona umeanza kuongea mambo yasiyohusiana kama nimesema uongo nibishe sasa acha kujipa sifa usizokuwa nazo🤣🤣🤣
Mkuu kama unataka kupinga weka hadithi tuichambue neno kwa neno tutapata jibu, mie nataka unijibu kwa hoja sio kwamba najua sana au kidogo tunaamni Mungu ndie mjuzi zaidi akiamua yeye ndivyo ila ukweli haupindishwi utabaki ulivyo
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom