Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,351
- 13,140
Sasa umesema si hoja ya kweli alafu unajibu kuwa walisema. hahaha Nimekuambia kisa cha kweli Wayahudi wa Medina na Mecca walimuita Mohammad Kufar maana yake anapingana na Mungu wa Kweli. punguza ujinga basiHoja zako zimejengwa juu ya makosa ya kihistoria, ya maandiko, na ya mantiki, na Biblia unayoitumia inakupinga moja kwa moja.
1. “Wayahudi walimuita Muhammad kafiri” — si hoja ya ukweli
Wayahudi pia walimwita Yesu mpotovu , waliwaita Mitume wa zamani waongo , Wakamkataa hata Masihi waliokuwa wakimsubiri
Anasema alitumwa kwao ila wakakataa so akawapa mataifa yote na si kwamba Wayahudi wote walikataa ni waalimu wa Dini, wakristo wa mwanzo ni wayahudi wenyewe hadi mitume wote unashindwa tetea hoja za mudy unafundisha tunachojua sisi, mimi nakupa aya uelewe kuwa unavyopinga ni upumbavu na ujinga sisi didni yetu haina ficha ficha soma aya tokea mwanzo na sio kama quran aya ipo na haieleweki wala haina connection na aya zingine ndio mana inapingana yenyewe kwa yenyeweBiblia inasema: Biblia – Yohana 1:11 “Alikuja kwake mwenyewe, wala watu wake hawakumpokea.”
Kukataliwa na Wayahudi si ushahidi wa uongo, bali ni desturi yao kwa manabii.
False na ni ujinga Muslim hamjui maana ya Neno Allah nimejaribu kuwafundisheni ila ujinga hauwaishi na mtu ambeye ujinga haumuishi anaitwa mpumbavu.2. “Muhammad alibadilisha jina la YHWH kuwa Allah” — kosa la msingi
Hili linaonyesha kutokufahamu lugha.
Allah ni sawa na “Mungu” kwa Kiarabu ,
Allah ni two word AL and Lah.
AL = kwa lugha za Aramaic cha kale iliwakilisha kama Mungu
Lah - Means Moon
Even Neno Bismi-l-Lah maana yake kwa jina la ''Lah'' yaani in the name of Lah
Ukitamka Shahada unasema Hakuna Mungu (Lillah ila ''Lah''
Kama Allah ingekuwa ni Mungu Shahada ingesema Hakuna Allah ila Allah na haiwezekani mkasema Hakuna Mungu ila kuna Mungu.
So Acheni kuhadaa na ondokeni na upumbavu.
Unazungumzia enzi za utawala wa Makhalifa? Enzi hizo walilazimishwa hilo. Unataka kuniambia Issa ndio Yesu pia? hahahahaWakristo wa Kiarabu kabla ya Uislamu walimtaja Mungu kama Allah , Biblia ya Kiarabu hadi leo inatumia Allah
Unajua Jina la Baba yake Mohammad? Aliitwa Abudllah maana yake ni Mtumishi wa Allah na Allah alikuwa Miungu ya Waarabu Quraish washirikina nadhani unatambua hilo na Allah alikuwa ana watoto wa kike na wa kiume Quran inathibitisha akiwakana wanae.
Sio majina hayo ni Tittle Mungu hajataja Jina lake, Soma kijana usikurupuke, Allah anamajina 99 ni majina au Tittle? Ramhan maana yake nini?Biblia inasema Mungu ana majina mengi: Kutoka 3:14 — “Mimi ni Mimi” , Zaburi 83:18 — YHWH , Danieli 6:26 — Mungu aliye hai
Kubadilika kwa lugha si kubadilika kwa Mungu.
Weka aya Biblia ikimtaja Allah.- Nimemiss kucheka3. “Wayahudi hawamjui Allah” — Biblia inawakanusha
Babu wa Waarabu? hahaha Kasome kwanza historia ya Ishmael ufute ujinga, Yaani Ishmail baba yake ni mcardian from Mesopotamian Mama yake Mmisri mweusi alafu aone mke kabila la Jurhum maadui Quraish ambao ndio waarabu kisha awe hapo hapo Babu wa hao Maadui wa kabila la Mke wake Jurhum . Muslim ujinga na uongo unawasaidia nini? Yaani uonekane umebisha wakati kichwani ni kilaza. Kasome Sahih al-Bukhari 3365Biblia inasema Mungu wa Israeli ni Mungu wa mataifa yote, si kabila moja. Isaya 42:11 “Jangwa na miji yake ipaze sauti… Kedar afurahi.” Kedar ni mwana wa Ismail, babu wa Waarabu.
Kama Allah unamuita Mungu achana kutamka Shahada kwanza pia niambie chochote Allah kasema kikawa au kaumba na prove japo kiduchu, maana vyote alivyodai kaumba tumechambua tukakuta ni uongo. anatumia Tahweed kujiingiza katika umoja wakati yeye hana chochote wala uwezo tu wa kuongea,Kujua chochote n.kHii ni unabii wa wazi kuwa Waarabu watamhimidi Mungu wa kweli.
View: https://www.youtube.com/shorts/kIQm39ctKuk?t=28&feature=share
4. “Nabii lazima atoe sadaka ushushwe moto” — si sheria ya jumla
Huu ni utaratibu maalum, si kipimo cha unabii wote.
Huwezi kataa ndio wayahudi walivyoamua hivyo kama hutaki ni wewe. kwani Mohammad aliambiwa akaona ataumbuka kwa hilo, Nadhani angezaliwa kipindi hiki angewaambia Hamas warusha rocket hadi kwenye madhabahu hahaha japo wangemuangusha tu mana Rocket za Hamas hazina Shabaha maybe angeomba msaada Iran au Russia hahaha
Sasa hapo umejijibu mbona and mfano wako have nothing to do with this topic. na hii ni Prove kuwa Waaarabu walimuambia Mudy tuoneshe Muujiza wowote kama wewe ni nabii kichekesho alichojibu Mohammad eti Allah hatoleta muujiza wowote sabababu alileta kwa manabii wa siku za kale na hao watu hawakuiamini hiyo Miujiza, ujinga wa Allah na Mohammad ni vichekesho Wayahudi waliamini miujiza yote ya Yesu, ya Musa so Allah muongo na fake messenger wake mohammad.Biblia inasema: Mathayo 12:39 “Kizazi kiovu hutafuta ishara, wala hakitapewa ishara ila ile ya nabii Yona.”
Its good umemkubali Yesu kuwa ndie Mwenyewe. Yesu alisema hajakuja kutengua Torati bali kuitimiliza. mean aliifunga akafungua chapter Mpya aaminiwe yeye ili kuuona uzima wa Milele. Soma kuna raha sana.Yesu mwenyewe alikataa kutoa ishara za moto.
Unachanganya mada ila soma juu nishaelezea. Kafir kumkataa Mungu wa Kweli ambaye ni Baba yake ambaye yupo ndani mwake na yeye ndani ya Baba yake na kuwa mmoja.Je, hilo linamfanya awe kafiri kwa Wayahudi? Ndiyo — lakini bado ni Nabii kwa Wakristo.
Inafundisha hivyo na Quran inatambua hilo kwa kuwa mjinga nakupa elimi ili usiwe unaendeleza maswali ya kujirudia rudia. Unajua habari ya Gifted Son? just google it. Alafu ndio ujue Mtume Mohammad wako hayupo kwenye hilo Agano la Mitume wa ukoo wa wayahudi hahaha5. “Manabii lazima watoke ukoo wa Israeli” —
Quran 6:84
Saheeh International
And We gave to Abraham, Isaac and Jacob - all [of them] We guided. And Noah, We guided before; and among his descendants, David and Solomon and Job and Joseph and Moses and Aaron. Thus do We reward the doers of good.
Quran 29;27
Saheeh International
And We gave to Him Isaac and Jacob and placed in his descendants prophethood and scripture. And We gave him his reward in this world, and indeed, he is in the Hereafter among the righteous
Inafundisha vizuri kabisa kizazi cha Isaac Mwanza 17:19 Ndipo Mungu akasema, “Ndiyo, lakini mkeo Sara atakuzalia wewe mwana, nawe utamwita jina lake Isaka. Nitalithibitisha agano langu naye kama agano la milele kwa ajili yake na wazao wake baada yake.Biblia haifundishi hivyo
Kufanywa Taifa kubwa sio nabii dogo vipi? are you high! Hizo ahadi alishaahidi sababu ya Ibrahim ni uzao wake sio waarabu haoBiblia inasema Mungu ana mamlaka ya kumchagua yeyote:
Amosi 9:7 “Je, ninyi si kama Wakuushi kwangu, enyi Waisraeli?”
Na: Mwanzo 21:13 “Nitafanya taifa kubwa kwa mwana wa mjakazi.” (Ismail)
Agano la Milele linaitwa Mwanza 17:19 ukoo wa IsaacHivyo, kudai kuwa Nabii lazima awe Myahudi ni uzushi wa kibinadamu, si Biblia.
Kama Biblia inasema Mitume waliuwawa sawa na hiyo Mitume ilifikisha jumbe , na Je Quran inasema Mitume waliuwawa ila Allah hajui mitume ipi iliyouwawa hahahaha Quran 2:87.6. “Wakimfufua leo watamuita kafiri” — hoja isiyo na uzito
Biblia inasema: Mathayo 23:37 “Enyi Yerusalemu, mnaowaua manabii…”
Wayahudi waliua manabii, waliwaita waongo — lakini Mungu aliwahukumu, si wao. Kwa hiyo maoni yao hayapimi ukweli wa Nabii.
Hivi Mnaosema Palestine hayo maneno waliambiwa Waarabu au Wayahudi? na why mnalalamika Palestine kuwa Free wakati mnasoma Jerusalem ya Waisrael