Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,351
- 13,140
Hahahaha si huwa mnasema Quran haijawahi kuwa corrupt? so tunafuta kabisa usemi wa Quran haijawahi badilishwa na pia Allah anakuwa zero kwa kusema hamna anayeweza kubadilisha quran Quran 6:115Kwanza hoja ya “Al-Fātiha haikuwa ya kwanza kushuka” si hoja.
Al-Barwani
Na yametimia maneno ya Mola Mlezi wako kwa kweli na uadilifu. Hapana awezaye kuyabadilisha maneno yake. Na Yeye ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua.
Hii ni Prove kuwa Allah hana awezalo lolote. kama Muslim wamepangua na kutia uongo Quran.
Weka hizo tofauti maana Biblia ipo open haina kificho na imepangwa kutokana na matukio, kuhusu Maisha ya Yesu yameandikwa na wasimuliaji wanne Wameadithia kama walivyokusanya au kushuhudia. na Biblia inauthibitisho wa kila idara historia Geographia n.k, na Mpangilio wa Biblia upo high classic huruhusiwi kuifananisha na uchafu wa Quran uliopotoshwaHata Biblia haijaandikwa kwa mpangilio wa matukio. Vitabu vya New Testament havikuandikwa kwa mpangilio wa maisha ya Jesus, na Injili hazikushuka siku moja. Mpangilio wa kukusanywa si sawa na mpangilio wa matukio.
Ndio na hakuna Muislam yeyete duniani anayeweza thibitisha Kun faya kunKuhusu Qur’an 3:59 — unasema Adam aliumbwa kwa udongo, si kwa “Kun fayakūn”.
Ndio amri ya Neno iwe na ikawa sio kama Quran inasema eti Yesu ni kama Adam wameumbwa kwa Iwe na ikawa uthibitisho Allah ni mzee wa Kamba hahahaLakini katika Biblia, Mungu aliumba kwa kusema: “Let there be…” (Mwanzo 1:3). Hiyo si amri ya neno?
Sasa unaongea nini hapo? hahaha shida yako ujibu tu hahaha Nimekuambia Mtume wako aliiga tu hakujua hata maana yake lugha na elimu matokeo ya ukilaza. Yaani huku umejigamba una uwezo wa kuumba ukasema umeumba kwa mikono yako miwili then mbele unasahau unasema nilisema iwe Adam akawa hahaha Wakati Mtume wako alisema Adam aliumbwa kwa vumbi akafinyangwa kisha akasubiri miaka 40 akauke. na pia tukagundua Allah yupo Slow kama other Muslims Maana Adam alimuambia Allah nimelizie kuniumba kabla a Jua kuzama hahaha Mbinguni nako Jua linazama..Hicho ndicho Qur’an inaita “Kun”. Ni uumbaji kwa amri ya Mungu.
Neno lazima litumike na neno ndie Yesu.. ukulijua hilo kwani? Jesus ni Creator Kwani Quran 3:59 hukuwai isoma hiyo Aya? inamtaja ''NENO''Pia Biblia inasema Yesu ni “Neno la Mungu” (Yohana 1:1). Kama Mungu anaumba kwa Neno Lake, na Yesu anaitwa Neno, basi hata kwa mantiki ya Biblia uumbaji unatokea kwa amri ya Mungu.
فَنَادَتْهُ الْمَلَائِكَةُ وَهُوَ قَائِمٌ يُصَلِّي فِي الْمِحْرَابِ أَنَّ اللَّهَ يُبَشِّرُكَ بِيَحْيَىٰ مُصَدِّقًا بِكَلِمَةٍ مِنَ اللَّهِ وَسَيِّدًا وَحَصُورًا وَنَبِيًّا مِنَ الصَّالِحِينَ
Al-Barwani
Alipo kuwa kasimama chumbani akisali, Malaika kamnadia: Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria Yahya, ataye kuwa mwenye kusadikisha neno litokalo kwa Mwenyezi Mungu, na ni bwana na mt'awa na Nabii kwa watu wema.
Unaitetea Quran au unaiabisha nakuwekea kabisa aya ucheke kama sisi tunavyocheka hahaha Hivi hutumii akili yako maana ni kama unarudia maswali na unashangaa twice kitu ambacho ni strange nishakuelezea kuwa Adam aliumbwa na Yesu alizaliwa na ndio ukaanza kujibu jibu now unaushangaa kama mwanzo eti Quran haisemi Adam amezaliwa kama Yesu. ok Soma qURAN 3:59Qur’an haisemi Adam alizaliwa kama Yesu; inasema wote walikuwepo kwa mapenzi na amri ya Mungu — si kwa baba wa kibinadamu.
Indeed, the example of Jesus to God is like that of Adam. He created him from dust; then He said to him, "Be," and he was.
Al-Barwani
Hakika mfano wa Isa kwa Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa Adam; Alimuumba kwa udongo kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.
Haya mtetee Allah kwa huo ufananisho wa Adam na Yesu tuendelee kucheka hahaha
Weka akili yako mguu sawa nadhani unashida ya kuelewa kama other muslims na hii ni kutokana na misingi wa Dini yenu mmekubuhishwa na uongo so mkikutana na ukweli mnapanic.Kama unakataa “Kun fayakūn”, basi unapaswa pia kukataa uumbaji wa Mungu kwa kusema “Let there be” kwenye Book of Genesis.
Let it be ya Biblia ipo okay kabisa na inaelezeka, mtihani na tatizo la QURAN ni hiyo let it be ya Adam na Yesu. Wajua Mtume wenu alikutana na hilo neno na kwa kuwa yupo Yesu ametajwa kama ndie neno instead kusem Neno la Yesu ndio liliupa uhai mwili wa Adam akabadilisha maneno ndio akalikoroga so ishakuwa aibu tumesoma tunacheka. Musli haruhusiwi kuhoji.
Kwenye Quran tumekataa wote Tatizo Mtume wenu alikuwa tantalila nyingi hachoki kuongea so anaongea hadi anaharibu then anamtwisha Sanamu Allah sifa ambazo sio zake.Hoja ya kielimu inahitaji uthabiti (consistency). Huwezi kukubali Mungu anaumba kwa Neno katika Biblia halafu ukatae dhana hiyo hiyo inapokuja kwenye Qur’an.
Ni uthibitisho kuwa kiazi nashindwa kushangaa mshajua mengi kuhusu huyo Mtume fake ila mnae tu hahaha.
Kama unachochote kile tuthibitishie Kun fayakun ya Allah imeumba nini zaidi ya Uongo alioutumia kwa Adam na Yesu