Nilipokuwa mdogo sikutambua kwanini Bibi yangu alimpiga marufuku dada yangu kuja kumtambulisha bf wake aliyetegemea aje awe mumewe kisa alikuwa MUHAYA,nakumbuka kauli aliyoitoa bibi kwa sista; "Ina maana kuzunguka koote umekosa mwanaume hadi utuletee Muhaya!!??" Khaa!! Nilimshangaa bibi kwa roho mbaya na ukatili alimfanyia sista, lakini huyu jamaa tabia alizokuwa anamfanyia sista Lo! Sista mwenyewe alikumbuka kauli ya bibi akajiachisha bila ya kupenda. Achana na huyu, Tazama marafiki wapenzi wanne hawa; Joseph (sukuma), prince (haya),Murphy (kusini), na Pancho (gairo-moro). Hawa watatu wa mwanzo walikuwa "Ma-collegement" Kigurunyembe TTC.Huyu Prince alikuwa kicheche na mwenye kismati na mademu wa kila sample, tena suala la ku toswa kwake lilikuwa mwiko.Ajabu wenzake hawa wawili pamoja na kumuonea wivu, pia walikuwa wakimsifia sana namna alivyokuwa akiwainamisha wanachuo kwenye madawati, majani na gesti kama kamuheshimu kidogo.Muhula uliofuata shangazi yake na Murphy akajiunga Diploma 1 chuoni hapo.Baada ya Murphy kumtambulisha aunt kwa rafiki zake watatu hao, haikuchukua round Prince aka mkula aunt wa Murphy kwa mbwembwe na matambo mengi!! Iliwauma sana rafiki hawa wawili, kwani licha ya kumkojolea Aunt, jamaa alishakuwa kikwazo ha ta kwa mademu zao!! Prince kagundua kwamba amewakwaza best zake, kafanya kuwaomba msamaha nao na kuachana na Aunt, nao wakamsamehe na kumrudisha kundini "M.O.B"!! CHUO WAMEHITIMU. Prince anabaki kwao Morogoro, Jose na Murphy wanarudi kwao DSM.Siku moja Prince anakuja Dar Kuomba akopeshwe fedha kadhaa na Murphy, Murphy anampa fedha hiyo.Lakini siku hiyo Murphy alikwaruzana kidogo na demu wake, Prince mbele yetu akaamua atete kidogo na shemeji ili kujaribu kumpatanisha na Murphy.Siku mbili baada ya Prince kurudi Moro, usiku mkubwa Murphy anapokea call ya demu wake akimwambia yupo Moro kwa Prince na ameamua kuwa mpenzi wa Prince.Kwa kudhihirisha hilo Prince akashika simu na kumtamkia live Murphy bila haya wala hofu!!! Marafiki wote sasa waliobaki (Jose, Murphy na Pancho). Wakaita kikao cha dharura ili kujadili na adhabu gani anastahili kupewa huyu rafiki yao.Murphy akatoa msimamo kwamba jamaa afutwe kabisa kundini, kwani wakiendelea nae atakuja kuwagegeda wake zao, dada zao, mama zao na mwisho wa siku atawataka na wao!!!! Hapa ndipo wakakiri kwamba MUHAYA NI MCHAFU TENA HABEBEKI.Eti mpaka wa leo Prince anatwanga simu kwa rafiki zake hawa anaomba wamsamehe bure saba mara sabini na kamwe hatorudia kosa!!!