mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 16,797
- 51,966
Sasa hivo vitu vidogovidogo simu, nguo si unajiongeza mwenyeweKumbe
Sasa hivo vitu vidogovidogo simu, nguo si unajiongeza mwenyeweKumbe
Poa tu dah! Naipenda Sana ile avatar yako ya Mwanzo sijui kwanini umebadilishaNiko poa vipi wew
Asante sana, ngoja nimalize mfungo nikudai mkuu 😅Pata wine somewhere nipe namba yako nitalipa
Nitairudisha kwaajili Yako😀Poa tu dah! Naipenda Sana ile avatar yako ya Mwanzo sijui kwanini umebadilisha
Sure wapo wale wanamiliki magheto mabalo hela sijui wanatoa wapiWakipenda pesa mnawasakama kuwa ni gold diggers, wakiwavumilia hustlers, mnaona kama hawatambui thamani zao. By the way katika kitu ambacho sikipendi kukiona kwa mwanamke ni kuchukulia uzuri wake kama chanzo cha kuishi good life ambalo hawezi kuligharamia hata kwa thumni.
Kiufupi hakuna haja ya kumlaumu boyfriend wa mtoto mzuri ilhali yeye hana kikwazo au upungufu wa kutafuta pesa.. Atafute mwenyewe
Wana nini mkuu wameruMabinti wa kimeru hao akuna mwanaume makini anaweza poteza muda nao
yakanyage sasaUnakuta mdada ana smartphone imeisha kioo kina cracks mpaka unaona aibu, halafu mdada ni mzuri haswa, shape na sura ipo, mpaka najiuliza ina maana boyfriend wa huyu mdada, haoni thamani ya huyu mdada?
Au sometimes nakutana na pisi ila amevaa nguo zimechoka, simu anatumia kiswasawadu kilichofungwa kwenye rubber band, ukichunguza yuko kwenye relationship, najiuliza hao ni boyfriends wa namna gani? Kumpa girlfriend wako elf 25 arekebishe kioo cha simu au anunue kiswasawadu kizuri nayo ni gharama sana??
Au labda kuna behind the scenes ambazo sizijui..
Walevi na wabahili.Njoo Arusha uone pisi Kali zinatembeza soksi, mitumba na ndizi.
Wanaume wa Arusha shida ipo wapi jaman?
Wamelizika na maisha yao mkuu, kila jamii ina mitazamo yao kuhusu mapenzi, jamii nyingine wanawake wao wanaangalia pesa kwanza na muonekano wa mwanaume, na jamii nyingine inaangalia mapenzi na siyo pesa.Ni kama mabinti waliojazana mwanza, shinyanga na njombe. Unakuta ni pisi kali hatari, amevaa vi clipper vimelika kisigino, nguo ina viraka. Ukimtongoza anakuambia niache nna bwana! Sasa unabaki unajiuliza huyu ana bwana au laana
Ni kweli tatizo vijana wamesha kalili wanawake wote wana tamaa ya pesa kumbe siyo, wengine wameridhika na Maisha yao tokea kwenye familia zao, Wazazi wengine hawakubali pesa za haramu yani wanajua mtoto wao mshahara laki mbili ghafla wanamuona ana miliki gari na Kakoso nyumba kwa mwezi milioni, Kwa wazazi wenye maadili mazuri na wenye imani ya Dini lazima watamuita na kumhoji mtoto wao wakike.Katulia na bwana ake licha ya umaskin wao bado mnaona haifai. Akija kwako afate hayo matunzo bado mtasema wanawake tupo after money. Hamna jema nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
wakorofi sanaWana nini mkuu wameru
umesikia kilicho mtokea jamaa mmoja majuzi kukatwa nyeti zakeWana shida gani mkuu
Katembeze na weweNjoo Arusha uone pisi Kali zinatembeza soksi, mitumba na ndizi.
Wanaume wa Arusha shida ipo wapi jaman?
Asante kwa kunipa hiyo heshimaNitairudisha kwaajili Yako😀
Wengi hawalijui hili.Tatizo ni uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu unaweza kuta hao uwaonao ni warembo wengine wanaona wa kawaida saana