Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

Generetaion Z

JF-Expert Member
Oct 2, 2022
343
840
Wakuu

Uswazi uswahilini , ngoja nishee story yangu na experience ya kuishi uswahilini
,Ntasimulia jinsi nilivyo koswa koswa na Ukimwi, jinsi nilivyo kwepa kuzama ktk utumiaji wa madawa, jinsi nilivyo escape kuwa panya road,
Nilivyo escape kula mashoga, nilivyoishi na matapeli na kujifunza mbinu za utapeli

Jinsi nilivyo adapt tabia za uswahilini,
Siri za madanguro ,biashara nilizokuwa nafanya na wadada wanaojiuza n.k

Mi sio msimuliaji mzuri ila nitajitahidi kusimulia japo , collection ya miaka ishirini niliyokulia uswazi... Kitaa kimetulea


Lez goo......

Mimi Generation Z niliingia mjini mwaka 2000 nikiwa kachaliii tokea ukoo kaskazini, kitovuni kabisa , nilikuwa na umri tu wa kuanzia shule ila nilikuwa najielewa vyema,

Ajabu nakumbuka hadi leo nilikujaje , nakumbuka nilikuwa nishaanza shule Baba akanifuata lengo ilikuwa ni kutolewa meno yaliyopandana , nikapelekwa moshi then tukaja dar kwa Bus ya Meridian,

Tokea ubungo gari tuliopanda ni double cabin toyota tukashuka manzese nyumba ambayo nimeishi kwa miaka 20

Iyo nyumba ipo mita chache sana na Uwanja wa fisi kinachotutenganisha ni barababara tu,

Nyuma ya iyo nyumba kuna danguro. Pia wadada wanajiuza asilimia kubwa ni wale wanaoish kule Ndege iliposhindwa kutua ikatua ziwani

Fast forward nikaanza shule Ukombozi hapo maisha yakaendelea,

Naenda shule kila nikipita nyuma ya nyumba nikatize niende shule nikawa naona wadada na wamama wamekaa ktk milango vyumba vyao vidogo vidogo nawapita nawasalimia ila sikuwa najuwa shughuli yao mpaka napata akili vyema

Wengi wakawa wananijuwa ni mtoto wa fulani kwaiyo sometimes wanaituma vitu vya hapa na pale mpaka napata akili sasa ya kubalehe ndo nikajuwa hawa wapo hapa kwa sababu flan

Home palikuwa na duka, kipindi nipo darasa la nne nilikuwa naweza uza dukani vyema tu so nasaidiana na mfanyakazi , asilimia kubwa ya wateja pale walikuwa hawa wadada,

Kipindi iko salama condom zinatamba, basi akija mmoja dukani ananunua box zima la salama zilikuwa zinakaa pakti 24 amabpo kila pakti ni salama 3, atanunua na tissue paper , then na Udi yani udi lazima anunue tena nyingi sana


Kwa makadirio kila siku lazima niuze caton hata mbili za condom catton zilikuwa na mabox 6 , tisue ndo nyingi kipindi iko zipo rexa ,


Fast forward nilipokuwa darasa la saba nikawa sasa nawafuata nafanya delivery vyumbani kwao, mida ya jioni naenda nawapitia chumba hadi chumba naandika order zao then naenda shop kwetu nakusanya kila kitu mazaga yote naenda nawapelekea

Ilikuwa ni kila siku saa kumi ile hadi saa mbili nishamaliza kuwa delivery tools zao za kazi , nakumbuka kipindi iko kulikuwa na vyumba 45 tu , nilikuwa nipo sharp sana maana walikuwa wananipa na ganji achilia mbali duka ni letu kwaiyo kesho nikienda shule nipo mtamu mfukoni

Walikuwa wananituma na sokoni kuwanunulia dawa za kuchoma na nyingine huweka katk maji, yale maji sijuwi walikuwa wanachanganya na nini then wanadekia vibaraza vyao nafikiri ni dawa za mvuto the. Wanawasha udi

Huwa ni marachache sana nilikuwa nawaona wakiogea chooni mara nyingi wanapenda kuogea ndani then yale maji wanachanganya na dawa wanadekia vibaraza vyao then ndo wanawinda wateja


Nikawa nawadelivery vitu vyao kwaiyo wanaijuwa vyema ata nipite usiku wa saangapi wanajua huyu generetaion Z kapita,

Tangu miak iyo adi leo wapo wengi wanaoendelea na iyo kujiuza wengine washakufa wengine washastaafu wengine wapo ,

Akili zile za utoto mi nikaw kazi yangu ni kwapelekea vifaa kazi then ivo kila day, wanakuja wapya wengine wanahama wanaamia buguruni, mwananyamala n.k


Kwaiyo kiasi kwamba hata nikienda buguruni kule nikipita kama si watano basi kumi wananijuwa huyu ni flani ,

Nilikuwa mtoto mwema tu na pia ni kwasababu baba alikuwa mkali sana kias kwamba nikimsikia tu najipanga ,


Fast forward.. n

Nikaanza seco nikawa nimechaguliwa shule flani mbezi uko, ila jioni kama kawaida nikirudi naend kuwafanyia delivery hap sasa nimeshabalehe kabisa

Na ndevu zimeshaanza kutoka
Hapo ndo visa vingi vinaanzia hapo

Kwa sura hivi ukinitazama haraka unawez sema nina undugu na medy singer wa Rwanda au ukasema ninatoka rwanda ila sio


Sas ktk kuendelea ile balehe imechanganya nikawa kiburi ,mjeuri,n.k, wale wadada wakaona mabadiliko wakanireport kwa dingi , sasa walienda wakanisagia kunguni ooh mwanao siku izi kawa mjeuri ukimtuma aendi na anaingia vyumbani sikuizi ndo maana amekuwa na kiburi,

Dingi alinipa kipigo ila sio sana maana report zilikuwa nyingi ,


Nikahama lile eneo,ila kabla sijahama kuna visa viwili

Kisa cha kwanza
Palikuwa na mdada mmoja ni wa makamo tu alikuwa ananitania sana mchumba mchumba mume mume kama utani sasa wale wadada wenzie wakawa hawapendi ile hali wakanivuta pembeni wakanambia


We tumekulea hapa sisi hatutapenda tukuone unaingia humu vyumbani tunajuwa umekua sasa ukiwa na nyege zako watafute wadogo wenzio humu vyumbani utakufa mapema kabla ya muda wako ata siku moja usijaribu

Kweli nikawaelewa ule wosia wao nikawa nimeliweka kichwani hadi kesho, yule dada alekuwa ananitania tania akawa ananitania vile vile sometimes ananiita ananionyesha ex ktk sim yake ivo ila sikuwah shawishika


Nikaja kusikia kuna kijana mdogo zaid yangu wa mtaani alimrubuni adi akafanya nae mapenzi, mi nikawa namtania nna wivu naskia unatoka na fulani , aksema utaniweza mi kucheka cheka na kusepa

Yule dogo akaja akapata Ukimwi, 98% ulitoka kwa yule binti maana walikuwa hawatumii kinga, na dogo alikuwa anapewa hadi Tigo imagine walikuwa wanafanya kwa siri ila wakaamuwa iwe wazi maana watu walikuwa washajuwa


Dogo adi kesho anatumia dozi ila kazalisha visichana kadhaa ,na siav kapata jimama nalo limemzalia ndo wanaishi pamoja,..

Fast forward yule dada akaja pata majanga, alikuja mchati , wakachetuana umo ndani sijui ikawaje yule mchati akamlima kisu cha tumbo utumbo yule dada utumbo ukamwagika, bahati nzuri alikuja akapona hadi kesho yupo


Bonge la mtu takro ilo yani mzigo mzigo haswa mitatoo yakutosha, vikukuu mguuni kama vyote yani hauulizi unaulizwa tu unataka tundu gani,

Nikaja kuhama lile eneo nikavuka upande wa pili ambapo ni UWANJA WA FISI


NAPO kuna danguro kubwa tena kule ndo main head quarters,

Huku ndo visa vingi

Napo nilikuwa dukani pia kwaiyo wateja wengi ni hao, wakanizoea pia wao walikuwa wengi kufanya deliy ilikuwa issue japo mara moja moja,



Huku fisi palikuwa na kila aina ya starehe yani stareh ndo zilikuwa zinakutana, wauza unga, bangi,kamali, wezi wote ndo eneo lao la kujidai


Utauziwa sabuni kwenye baasha unaambiwa smartphone , utaletewa mchanga kwenye kiroba utambiwa sukari,

Nikapata marafiki wa kila aina,

Ktk haya madanguro kuna ambao ni wazuri alafu unakuta ni mke wa mtu kabisa ila anatoka asubuh anakuja anakaa golini the. Jion anarudi kwa mumewe pengine na muwe ajuwi

Visichana vizuuriii ila nikawa kila nikikumbuka wosia wa wale wa dada basi hata hamu nao sina,na sijawh zama umo vyumbani


Analinda goli the. Usiku anamwachia mwingine kodi ya vile vyumba ni elfu tano kwa siku sijui kwa kipindi iki ila miaka iyo ni elfu tano kwa siku, hapo ukienda kuchetuwa bao moja unalipa elfu tatu , mawili discount elfu tano,


Hawapendi ukiwa umelewa, ukitaka kulala basi unatoa ishirini ila unakuja mida ya kufunga ambapo ni saa tano,


Biashara zao zinaenda wanakuja polisi wanawatimuwa ila wanarudi tena ivo,

Kwwli kuna ambao walikuwa wananivutia ila sikiwahi ingia vumbani kwao,

Kuna kisa kimoja

Palikuwa na mdada mmoja ivi ni mzuri kuanzia sura umbo yani kila kitu,

Ile psi ilikuwa pisi kali yani anastahili wa kuolewa kabisaa tena na mtu mzito


Alikuwa na goli lake nae anakula vichwa, unaambiwa ye dau lake ni kuanzia elfu tano goli moja,

.na watu walikuwa wanamiminika mbaya mbovu, yani alikuwa apoi ukisema umvizie uingie unkuta jamaa mwingine keshaingia yani kutwa foleni kwake

Mpaka wenzie wakawa wanakasirika sana
Yani wanakwambia kwa hesabu za fast alikuwa analaza zaid ya 1500k kila siku


Ikaenda yul dada akaja akapigwa bisu la koromeo akafa

Kumbe bana yule dada ni mshirikina

Nje ukimwona ni mtu ila ukivuka kizingiti cha mlango wake basi kitandani unaeda kutomb mbwa au lidubwasha lolote

Na ndo ilikuwa style yake yani alikuaa na uchawi uo, utaingia ndani kama hujui lolote kuhusu mambo ya giza utaishia kmgonga mbwa ye ankaa pemben na ndo ipo ivo........


Ntaendelea
 
l
giphy.gif
 
Wakuu

Uswazi uswahilini , ngoja nishee story yangu na experience ya kuishi uswahilini
,Ntasimulia jinsi nilivyo koswa koswa na Ukimwi, jinsi nilivyo kwepa kuzama ktk utumiaji wa madawa, jinsi nilivyo escape kuwa panya road,
Nilivyo escape kula mashoga, nilivyoishi na matapeli na kujifunza mbinu za utapeli

Jinsi nilivyo adapt tabia za uswahilini,
Siri za madanguro ,biashara nilizokuwa nafanya na wadada wanaojiuza n.k

Mi sio msimuliaji mzuri ila nitajitahidi kusimulia japo , collection ya miaka ishirini niliyokulia uswazi... Kitaa kimetulea


Lez goo......

Mimi Generation Z niliingia mjini mwaka 2000 nikiwa kachaliii tokea ukoo kaskazini, kitovuni kabisa , nilikuwa na umri tu wa kuanzia shule ila nilikuwa najielewa vyema,

Ajabu nakumbuka hadi leo nilikujaje , nakumbuka nilikuwa nishaanza shule Baba akanifuata lengo ilikuwa ni kutolewa meno yaliyopandana , nikapelekwa moshi then tukaja dar kwa Bus ya Meridian,

Tokea ubungo gari tuliopanda ni double cabin toyota tukashuka manzese nyumba ambayo nimeishi kwa miaka 20

Iyo nyumba ipo mita chache sana na Uwanja wa fisi kinachotutenganisha ni barababara tu,

Nyuma ya iyo nyumba kuna danguro. Pia wadada wanajiuza asilimia kubwa ni wale wanaoish kule Ndege iliposhindwa kutua ikatua ziwani

Fast forward nikaanza shule Ukombozi hapo maisha yakaendelea,

Naenda shule kila nikipita nyuma ya nyumba nikatize niende shule nikawa naona wadada na wamama wamekaa ktk milango vyumba vyao vidogo vidogo nawapita nawasalimia ila sikuwa najuwa shughuli yao mpaka napata akili vyema

Wengi wakawa wananijuwa ni mtoto wa fulani kwaiyo sometimes wanaituma vitu vya hapa na pale mpaka napata akili sasa ya kubalehe ndo nikajuwa hawa wapo hapa kwa sababu flan

Home palikuwa na duka, kipindi nipo darasa la nne nilikuwa naweza uza dukani vyema tu so nasaidiana na mfanyakazi , asilimia kubwa ya wateja pale walikuwa hawa wadada,

Kipindi iko salama condom zinatamba, basi akija mmoja dukani ananunua box zima la salama zilikuwa zinakaa pakti 24 amabpo kila pakti ni salama 3, atanunua na tissue paper , then na Udi yani udi lazima anunue tena nyingi sana


Kwa makadirio kila siku lazima niuze caton hata mbili za condom catton zilikuwa na mabox 6 , tisue ndo nyingi kipindi iko zipo rexa ,


Fast forward nilipokuwa darasa la saba nikawa sasa nawafuata nafanya delivery vyumbani kwao, mida ya jioni naenda nawapitia chumba hadi chumba naandika order zao then naenda shop kwetu nakusanya kila kitu mazaga yote naenda nawapelekea

Ilikuwa ni kila siku saa kumi ile hadi saa mbili nishamaliza kuwa delivery tools zao za kazi , nakumbuka kipindi iko kulikuwa na vyumba 45 tu , nilikuwa nipo sharp sana maana walikuwa wananipa na ganji achilia mbali duka ni letu kwaiyo kesho nikienda shule nipo mtamu mfukoni

Walikuwa wananituma na sokoni kuwanunulia dawa za kuchoma na nyingine huweka katk maji, yale maji sijuwi walikuwa wanachanganya na nini then wanadekia vibaraza vyao nafikiri ni dawa za mvuto the. Wanawasha udi

Huwa ni marachache sana nilikuwa nawaona wakiogea chooni mara nyingi wanapenda kuogea ndani then yale maji wanachanganya na dawa wanadekia vibaraza vyao then ndo wanawinda wateja


Nikawa nawadelivery vitu vyao kwaiyo wanaijuwa vyema ata nipite usiku wa saangapi wanajua huyu generetaion Z kapita,

Tangu miak iyo adi leo wapo wengi wanaoendelea na iyo kujiuza wengine washakufa wengine washastaafu wengine wapo ,

Akili zile za utoto mi nikaw kazi yangu ni kwapelekea vifaa kazi then ivo kila day, wanakuja wapya wengine wanahama wanaamia buguruni, mwananyamala n.k


Kwaiyo kiasi kwamba hata nikienda buguruni kule nikipita kama si watano basi kumi wananijuwa huyu ni flani ,

Nilikuwa mtoto mwema tu na pia ni kwasababu baba alikuwa mkali sana kias kwamba nikimsikia tu najipanga ,


Fast forward.. n

Nikaanza seco nikawa nimechaguliwa shule flani mbezi uko, ila jioni kama kawaida nikirudi naend kuwafanyia delivery hap sasa nimeshabalehe kabisa

Na ndevu zimeshaanza kutoka
Hapo ndo visa vingi vinaanzia hapo

Kwa sura hivi ukinitazama haraka unawez sema nina undugu na medy singer wa Rwanda au ukasema ninatoka rwanda ila sio


Sas ktk kuendelea ile balehe imechanganya nikawa kiburi ,mjeuri,n.k, wale wadada wakaona mabadiliko wakanireport kwa dingi , sasa walienda wakanisagia kunguni ooh mwanao siku izi kawa mjeuri ukimtuma aendi na anaingia vyumbani sikuizi ndo maana amekuwa na kiburi,

Dingi alinipa kipigo ila sio sana maana report zilikuwa nyingi ,


Nikahama lile eneo,ila kabla sijahama kuna visa viwili

Kisa cha kwanza
Palikuwa na mdada mmoja ni wa makamo tu alikuwa ananitania sana mchumba mchumba mume mume kama utani sasa wale wadada wenzie wakawa hawapendi ile hali wakanivuta pembeni wakanambia


We tumekulea hapa sisi hatutapenda tukuone unaingia humu vyumbani tunajuwa umekua sasa ukiwa na nyege zako watafute wadogo wenzio humu vyumbani utakufa mapema kabla ya muda wako ata siku moja usijaribu

Kweli nikawaelewa ule wosia wao nikawa nimeliweka kichwani hadi kesho, yule dada alekuwa ananitania tania akawa ananitania vile vile sometimes ananiita ananionyesha ex ktk sim yake ivo ila sikuwah shawishika


Nikaja kusikia kuna kijana mdogo zaid yangu wa mtaani alimrubuni adi akafanya nae mapenzi, mi nikawa namtania nna wivu naskia unatoka na fulani , aksema utaniweza mi kucheka cheka na kusepa

Yule dogo akaja akapata Ukimwi, 98% ulitoka kwa yule binti maana walikuwa hawatumii kinga, na dogo alikuwa anapewa hadi Tigo imagine walikuwa wanafanya kwa siri ila wakaamuwa iwe wazi maana watu walikuwa washajuwa


Dogo adi kesho anatumia dozi ila kazalisha visichana kadhaa ,na siav kapata jimama nalo limemzalia ndo wanaishi pamoja,..

Fast forward yule dada akaja pata majanga, alikuja mchati , wakachetuana umo ndani sijui ikawaje yule mchati akamlima kisu cha tumbo utumbo yule dada utumbo ukamwagika, bahati nzuri alikuja akapona hadi kesho yupo


Bonge la mtu takro ilo yani mzigo mzigo haswa mitatoo yakutosha, vikukuu mguuni kama vyote yani hauulizi unaulizwa tu unataka tundu gani,

Nikaja kuhama lile eneo nikavuka upande wa pili ambapo ni UWANJA WA FISI


NAPO kuna danguro kubwa tena kule ndo main head quarters,

Huku ndo visa vingi

Napo nilikuwa dukani pia kwaiyo wateja wengi ni hao, wakanizoea pia wao walikuwa wengi kufanya deliy ilikuwa issue japo mara moja moja,



Huku fisi palikuwa na kila aina ya starehe yani stareh ndo zilikuwa zinakutana, wauza unga, bangi,kamali, wezi wote ndo eneo lao la kujidai


Utauziwa sabuni kwenye baasha unaambiwa smartphone , utaletewa mchanga kwenye kiroba utambiwa sukari,

Nikapata marafiki wa kila aina,

Ktk haya madanguro kuna ambao ni wazuri alafu unakuta ni mke wa mtu kabisa ila anatoka asubuh anakuja anakaa golini the. Jion anarudi kwa mumewe pengine na muwe ajuwi

Visichana vizuuriii ila nikawa kila nikikumbuka wosia wa wale wa dada basi hata hamu nao sina,na sijawh zama umo vyumbani


Analinda goli the. Usiku anamwachia mwingine kodi ya vile vyumba ni elfu tano kwa siku sijui kwa kipindi iki ila miaka iyo ni elfu tano kwa siku, hapo ukienda kuchetuwa bao moja unalipa elfu tatu , mawili discount elfu tano,


Hawapendi ukiwa umelewa, ukitaka kulala basi unatoa ishirini ila unakuja mida ya kufunga ambapo ni saa tano,


Biashara zao zinaenda wanakuja polisi wanawatimuwa ila wanarudi tena ivo,

Kwwli kuna ambao walikuwa wananivutia ila sikiwahi ingia vumbani kwao,

Kuna kisa kimoja

Palikuwa na mdada mmoja ivi ni mzuri kuanzia sura umbo yani kila kitu,

Ile psi ilikuwa pisi kali yani anastahili wa kuolewa kabisaa tena na mtu mzito


Alikuwa na goli lake nae anakula vichwa, unaambiwa ye dau lake ni kuanzia elfu tano goli moja,

.na watu walikuwa wanamiminika mbaya mbovu, yani alikuwa apoi ukisema umvizie uingie unkuta jamaa mwingine keshaingia yani kutwa foleni kwake

Mpaka wenzie wakawa wanakasirika sana
Yani wanakwambia kwa hesabu za fast alikuwa analaza zaid ya 1500k kila siku


Ikaenda yul dada akaja akapigwa bisu la koromeo akafa

Kumbe bana yule dada ni mshirikina

Nje ukimwona ni mtu ila ukivuka kizingiti cha mlango wake basi kitandani unaeda kutomb mbwa au lidubwasha lolote

Na ndo ilikuwa style yake yani alikuaa na uchawi uo, utaingia ndani kama hujui lolote kuhusu mambo ya giza utaishia kmgonga mbwa ye ankaa pemben na ndo ipo ivo........


Ntaendelea
Shusha uz huo
 
Wewe chalii kwenu Rombo Mzee wako namjua sana labda kama nineshindwa kuunganisha Dot. Ila ukiwa sec ulianza kuwala pale had ukafukuzwa,. Mm nilikuwa fundi viatu pale tandale uzu 😲😲😲
😲😲😲😲 Mmh kwa mtu wa maeneo yale akiunganisha dot vizur ananijuwa ila sikuw nawala,,,, wale wanaojiuza bali wasichana wa kawaida
 
Wakuu

Uswazi uswahilini , ngoja nishee story yangu na experience ya kuishi uswahilini
,Ntasimulia jinsi nilivyo koswa koswa na Ukimwi, jinsi nilivyo kwepa kuzama ktk utumiaji wa madawa, jinsi nilivyo escape kuwa panya road,
Nilivyo escape kula mashoga, nilivyoishi na matapeli na kujifunza mbinu za utapeli

Jinsi nilivyo adapt tabia za uswahilini,
Siri za madanguro ,biashara nilizokuwa nafanya na wadada wanaojiuza n.k

Mi sio msimuliaji mzuri ila nitajitahidi kusimulia japo , collection ya miaka ishirini niliyokulia uswazi... Kitaa kimetulea


Lez goo......

Mimi Generation Z niliingia mjini mwaka 2000 nikiwa kachaliii tokea ukoo kaskazini, kitovuni kabisa , nilikuwa na umri tu wa kuanzia shule ila nilikuwa najielewa vyema,

Ajabu nakumbuka hadi leo nilikujaje , nakumbuka nilikuwa nishaanza shule Baba akanifuata lengo ilikuwa ni kutolewa meno yaliyopandana , nikapelekwa moshi then tukaja dar kwa Bus ya Meridian,

Tokea ubungo gari tuliopanda ni double cabin toyota tukashuka manzese nyumba ambayo nimeishi kwa miaka 20

Iyo nyumba ipo mita chache sana na Uwanja wa fisi kinachotutenganisha ni barababara tu,

Nyuma ya iyo nyumba kuna danguro. Pia wadada wanajiuza asilimia kubwa ni wale wanaoish kule Ndege iliposhindwa kutua ikatua ziwani

Fast forward nikaanza shule Ukombozi hapo maisha yakaendelea,

Naenda shule kila nikipita nyuma ya nyumba nikatize niende shule nikawa naona wadada na wamama wamekaa ktk milango vyumba vyao vidogo vidogo nawapita nawasalimia ila sikuwa najuwa shughuli yao mpaka napata akili vyema

Wengi wakawa wananijuwa ni mtoto wa fulani kwaiyo sometimes wanaituma vitu vya hapa na pale mpaka napata akili sasa ya kubalehe ndo nikajuwa hawa wapo hapa kwa sababu flan

Home palikuwa na duka, kipindi nipo darasa la nne nilikuwa naweza uza dukani vyema tu so nasaidiana na mfanyakazi , asilimia kubwa ya wateja pale walikuwa hawa wadada,

Kipindi iko salama condom zinatamba, basi akija mmoja dukani ananunua box zima la salama zilikuwa zinakaa pakti 24 amabpo kila pakti ni salama 3, atanunua na tissue paper , then na Udi yani udi lazima anunue tena nyingi sana


Kwa makadirio kila siku lazima niuze caton hata mbili za condom catton zilikuwa na mabox 6 , tisue ndo nyingi kipindi iko zipo rexa ,


Fast forward nilipokuwa darasa la saba nikawa sasa nawafuata nafanya delivery vyumbani kwao, mida ya jioni naenda nawapitia chumba hadi chumba naandika order zao then naenda shop kwetu nakusanya kila kitu mazaga yote naenda nawapelekea

Ilikuwa ni kila siku saa kumi ile hadi saa mbili nishamaliza kuwa delivery tools zao za kazi , nakumbuka kipindi iko kulikuwa na vyumba 45 tu , nilikuwa nipo sharp sana maana walikuwa wananipa na ganji achilia mbali duka ni letu kwaiyo kesho nikienda shule nipo mtamu mfukoni

Walikuwa wananituma na sokoni kuwanunulia dawa za kuchoma na nyingine huweka katk maji, yale maji sijuwi walikuwa wanachanganya na nini then wanadekia vibaraza vyao nafikiri ni dawa za mvuto the. Wanawasha udi

Huwa ni marachache sana nilikuwa nawaona wakiogea chooni mara nyingi wanapenda kuogea ndani then yale maji wanachanganya na dawa wanadekia vibaraza vyao then ndo wanawinda wateja


Nikawa nawadelivery vitu vyao kwaiyo wanaijuwa vyema ata nipite usiku wa saangapi wanajua huyu generetaion Z kapita,

Tangu miak iyo adi leo wapo wengi wanaoendelea na iyo kujiuza wengine washakufa wengine washastaafu wengine wapo ,

Akili zile za utoto mi nikaw kazi yangu ni kwapelekea vifaa kazi then ivo kila day, wanakuja wapya wengine wanahama wanaamia buguruni, mwananyamala n.k


Kwaiyo kiasi kwamba hata nikienda buguruni kule nikipita kama si watano basi kumi wananijuwa huyu ni flani ,

Nilikuwa mtoto mwema tu na pia ni kwasababu baba alikuwa mkali sana kias kwamba nikimsikia tu najipanga ,


Fast forward.. n

Nikaanza seco nikawa nimechaguliwa shule flani mbezi uko, ila jioni kama kawaida nikirudi naend kuwafanyia delivery hap sasa nimeshabalehe kabisa

Na ndevu zimeshaanza kutoka
Hapo ndo visa vingi vinaanzia hapo

Kwa sura hivi ukinitazama haraka unawez sema nina undugu na medy singer wa Rwanda au ukasema ninatoka rwanda ila sio


Sas ktk kuendelea ile balehe imechanganya nikawa kiburi ,mjeuri,n.k, wale wadada wakaona mabadiliko wakanireport kwa dingi , sasa walienda wakanisagia kunguni ooh mwanao siku izi kawa mjeuri ukimtuma aendi na anaingia vyumbani sikuizi ndo maana amekuwa na kiburi,

Dingi alinipa kipigo ila sio sana maana report zilikuwa nyingi ,


Nikahama lile eneo,ila kabla sijahama kuna visa viwili

Kisa cha kwanza
Palikuwa na mdada mmoja ni wa makamo tu alikuwa ananitania sana mchumba mchumba mume mume kama utani sasa wale wadada wenzie wakawa hawapendi ile hali wakanivuta pembeni wakanambia


We tumekulea hapa sisi hatutapenda tukuone unaingia humu vyumbani tunajuwa umekua sasa ukiwa na nyege zako watafute wadogo wenzio humu vyumbani utakufa mapema kabla ya muda wako ata siku moja usijaribu

Kweli nikawaelewa ule wosia wao nikawa nimeliweka kichwani hadi kesho, yule dada alekuwa ananitania tania akawa ananitania vile vile sometimes ananiita ananionyesha ex ktk sim yake ivo ila sikuwah shawishika


Nikaja kusikia kuna kijana mdogo zaid yangu wa mtaani alimrubuni adi akafanya nae mapenzi, mi nikawa namtania nna wivu naskia unatoka na fulani , aksema utaniweza mi kucheka cheka na kusepa

Yule dogo akaja akapata Ukimwi, 98% ulitoka kwa yule binti maana walikuwa hawatumii kinga, na dogo alikuwa anapewa hadi Tigo imagine walikuwa wanafanya kwa siri ila wakaamuwa iwe wazi maana watu walikuwa washajuwa


Dogo adi kesho anatumia dozi ila kazalisha visichana kadhaa ,na siav kapata jimama nalo limemzalia ndo wanaishi pamoja,..

Fast forward yule dada akaja pata majanga, alikuja mchati , wakachetuana umo ndani sijui ikawaje yule mchati akamlima kisu cha tumbo utumbo yule dada utumbo ukamwagika, bahati nzuri alikuja akapona hadi kesho yupo


Bonge la mtu takro ilo yani mzigo mzigo haswa mitatoo yakutosha, vikukuu mguuni kama vyote yani hauulizi unaulizwa tu unataka tundu gani,

Nikaja kuhama lile eneo nikavuka upande wa pili ambapo ni UWANJA WA FISI


NAPO kuna danguro kubwa tena kule ndo main head quarters,

Huku ndo visa vingi

Napo nilikuwa dukani pia kwaiyo wateja wengi ni hao, wakanizoea pia wao walikuwa wengi kufanya deliy ilikuwa issue japo mara moja moja,



Huku fisi palikuwa na kila aina ya starehe yani stareh ndo zilikuwa zinakutana, wauza unga, bangi,kamali, wezi wote ndo eneo lao la kujidai


Utauziwa sabuni kwenye baasha unaambiwa smartphone , utaletewa mchanga kwenye kiroba utambiwa sukari,

Nikapata marafiki wa kila aina,

Ktk haya madanguro kuna ambao ni wazuri alafu unakuta ni mke wa mtu kabisa ila anatoka asubuh anakuja anakaa golini the. Jion anarudi kwa mumewe pengine na muwe ajuwi

Visichana vizuuriii ila nikawa kila nikikumbuka wosia wa wale wa dada basi hata hamu nao sina,na sijawh zama umo vyumbani


Analinda goli the. Usiku anamwachia mwingine kodi ya vile vyumba ni elfu tano kwa siku sijui kwa kipindi iki ila miaka iyo ni elfu tano kwa siku, hapo ukienda kuchetuwa bao moja unalipa elfu tatu , mawili discount elfu tano,


Hawapendi ukiwa umelewa, ukitaka kulala basi unatoa ishirini ila unakuja mida ya kufunga ambapo ni saa tano,


Biashara zao zinaenda wanakuja polisi wanawatimuwa ila wanarudi tena ivo,

Kwwli kuna ambao walikuwa wananivutia ila sikiwahi ingia vumbani kwao,

Kuna kisa kimoja

Palikuwa na mdada mmoja ivi ni mzuri kuanzia sura umbo yani kila kitu,

Ile psi ilikuwa pisi kali yani anastahili wa kuolewa kabisaa tena na mtu mzito


Alikuwa na goli lake nae anakula vichwa, unaambiwa ye dau lake ni kuanzia elfu tano goli moja,

.na watu walikuwa wanamiminika mbaya mbovu, yani alikuwa apoi ukisema umvizie uingie unkuta jamaa mwingine keshaingia yani kutwa foleni kwake

Mpaka wenzie wakawa wanakasirika sana
Yani wanakwambia kwa hesabu za fast alikuwa analaza zaid ya 1500k kila siku


Ikaenda yul dada akaja akapigwa bisu la koromeo akafa

Kumbe bana yule dada ni mshirikina

Nje ukimwona ni mtu ila ukivuka kizingiti cha mlango wake basi kitandani unaeda kutomb mbwa au lidubwasha lolote

Na ndo ilikuwa style yake yani alikuaa na uchawi uo, utaingia ndani kama hujui lolote kuhusu mambo ya giza utaishia kmgonga mbwa ye ankaa pemben na ndo ipo ivo........


Ntaendelea
Oyah man malizia aseeh Mimi mwanachama wa manzese uwanja wa fisi
 
Kumbe bana yule dada ni mshirikina

Nje ukimwona ni mtu ila ukivuka kizingiti cha mlango wake basi kitandani unaeda kutomb mbwa au lidubwasha lolote

Na ndo ilikuwa style yake yani alikuaa na uchawi uo, utaingia ndani kama hujui lolote kuhusu mambo ya giza utaishia kmgonga mbwa ye ankaa pemben na ndo ipo ivo........
Endelea mkuu, umeishia kwenye utamu wenyewe hapo
 
Back
Top Bottom