duuuuuuuhMy dear sister
Kila la kheri mie hua sitaki kabisa hata mtu ani tag kwenye nyuzi zake huyu mtu sihitaji kabisa
Mimi sio mpole hata kidogo
Sio mpole kabisa
nadhani kuna watu wanajua
Ila kubishana humu naona haina maana ndio maana ile siku nilichagua kumjibu kwa heshima sana
But kama mstari ukivukwa tena nipo available 🔥
Mimi pia nilala nikaamka nakutana na uzi sijui kama kuna sehemu nilionakana cheap au la pengine sijui
Lakini hakuna kitu sipendi kama use*nge wa kuanzishiana nyuzi 🚮
