Wadada wa instagram na Facebook.

Wadada wa instagram na Facebook.

MA haters wote nimewachapa KO
😹😹😹 Halafu hukuwa hivi..!!
Unajua ukitulia na kuacha drama una uandishi mzuri na nondo za kutosha..!!

Kwanini usitulie huko kwenye upande wa kujenga hoja fikirishi kuliko hizi mambo?
 
😹😹😹 Halafu hukuwa hivi..!!
Unajua ukitulia na kuacha drama una uandishi mzuri na nondo za kutosha..!!

Kwanini usitulie huko kwenye upande wa kujenga hoja fikirishi kuliko hizi mambo?
Hakika leo umenipa sifa ambayo nilikuwa najua unajua ninayo ila ego yako haiku ruhusu kusema.

Asante sana ewe winga. Ila ni nyie wenyewe ndio mlio ni haribu na kunifanya niwe hivi.

Inabidi mnivumikie kwanza.
 
Back
Top Bottom