š¹š¹š¹ Halafu hukuwa hivi..!!MA haters wote nimewachapa KO
Hakika leo umenipa sifa ambayo nilikuwa najua unajua ninayo ila ego yako haiku ruhusu kusema.š¹š¹š¹ Halafu hukuwa hivi..!!
Unajua ukitulia na kuacha drama una uandishi mzuri na nondo za kutosha..!!
Kwanini usitulie huko kwenye upande wa kujenga hoja fikirishi kuliko hizi mambo?