Doooh kila mtu ni adui yako 🤣🤣🤣Unakuja kwa kuibia kama fisi kwenye kundi la simba?
Wanawake wanaojifanyaga wana symphathy ndo hatari sana maana huwa ni waongeaji sana na kusambaza drama za kijinga
Anzisha na uzidi kuniweka trending mkuu, nasubiri kwa hamu sana...Doooh kila mtu ni adui yako 🤣🤣🤣
Hivi ni lini utapevuka kiakili wewe ?
Itafikia kipindi maisha ya humu utayaona magumu kwa sababu inaweza ikaanIshwa kampeni watu wasiwe wana interact na nyuzi zako.
Mkuu tukianza kukuignore umaarufu wako utaupataje, be humbleUnachekesha sana. Una ignore mtu usiye mjua?
Mkuu umekosea move mbaya hiyoo ungelifungua uzi kabisa member wote waoneWakuu
ephen_
binti kiziwi
The Monk
BICHWA KOMWE -
Bush Dokta
Huyu dogo anataka kuwazoea watu vibaya hata kama wanatumia utambulisho feki, nawaomba mum uwekezaji kwenye ignore list zenu angalau kwa wiki moja. Maana kuna msemo unasema Mbwa akikuzoea atakufuata mpaka sehemu za ibada.
Nimeshamuweka kwenye ignore kwa wiki moja kwanza
Ndio unaanza kuona sasa hivi mkuu?Dogo hata kama upo nyuma ya keyboard onyesha adabu basi. Halafu usione huu ujinga unaoandika na watu wana comment ukajiona we ni mjanja.
Heshimu I'd za watu aisee. Naanza kukuona we una utahira fulani kichwani.
Ila wanawake bwana kwa hiyo na wewe huwa unajiona unathamani? 😂 😂 😂 😂Mimi pia nilala nikaamka nakutana na uzi sijui kama kuna sehemu nilionakana cheap au la pengine sijui
Lakini hakuna kitu sipendi kama use*nge wa kuanzishiana nyuzi 🚮
Ila humu jamaniIla wanawake bwana kwa hiyo na wewe huwa unajiona unathamani? 😂 😂 😂 😂
Kwa kipi? Hebu kaa kwa kutulia, hauna uspesho wa aina yoyote wewe, your just like another girl in my neighborhood
Acha hizo weweUmesoma alicho andika??
Najipa umuhimu wa kudhani yeye ni wa muhimu so nnimeamua kumkumbusha yeye ni wa kawaida sana
sawaIka pisi za kibongo bwana..
Unakuta kimeweka bio ya kumcha Mungu..
Una ki DM kina respond kwa kuchelewa makusudi kionekane kiko on demand.
Then unakivumilia hivyo hivyo..
Basi nacho unaanza kuingia line, sasa ukiingiza maswala ya kupata mawasiliano na Whatsapp,
Hapo ndo true colors zinakuja..
Kama sio kizinga ni hela ya vocha..
Mbona wazungu huwa hawana njaa za kijinga kama hizi? Alafu kinakwambia, "sijakulazimisha unitafute" sasa unanileltea ngebe kapuku wewe? Ndo maana inaishia kuwa vituko na uzeeni ndo vina anza kujiliza Liza kama kajala vishamba hivi.
Wanawake wamatumbi ni ovyo sana.
Hawana akili, ya kujitambua wao ni wakina nani na wanataka nini, kazi kucompare maisha ambayo wanajua kabisa sio hadhi zao, kuishi maisha ya kuigiza na kutaka starehe.
Kuna pisi kali chuga imeuwawa nilipata taarifa ya Millard ayo, kisa huu huu ujinga. Wanawake mmepewa uhuru sana na mnatumia vibaya ndo maana mnatumika kama daladala tu.