mayonise
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 259
- 50
linachomekwa kwenye RINDA bwana....
Hata chupi c ina rinda au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
linachomekwa kwenye RINDA bwana....
nadhani ndo mdau alikutana nalo...haya ya cotton hayana maafa asingeleta kelele hapahahaaaaa madera ya plastic hatari sana..............singida dodoma unaiona ileeeeeeee
No pichu na rinda ni vitu viwili tofauti!pichu huzuia kishtobe kisicheze sana... lohHata chupi c ina rinda au?
nadhani ndo mdau alikutana nalo...haya ya cotton hayana maafa asingeleta kelele hapa
No pichu na rinda ni vitu viwili tofauti!pichu huzuia kishtobe kisicheze sana... loh
No pichu na rinda ni vitu viwili tofauti!pichu huzuia kishtobe kisicheze sana... loh
Dera
Dira
Diraa
nafikiri ni mtindo tu au ndio style yake,wale wanaovaa ule mtindo wa bwebwe ,si unawaonagaIvi linatakiwa lichomekewe kwenye chupi kama ilivyo sis tunavyochomekeaga shart kwenye suruali?
Kwanini wasitengeneze mafupi, ka ishu ni kuepusha lisiguse chini?
​mademu wa uswahilin tandale kwa mtogore, sinza kwa tumbo na mbagala charambehao