Hivi ni kwa nini baadhi ya wanawake wanavaa gauni lefu halafu ni kama la kitambaa cha mafuta na jepesi halafu wanalichomekea kwenye sehemu ya chini ya chupi (yaani sehemu ya miguu na sio kiunoni) upande wa mapaja au hips?
Weka picha tuone maana wengine hatujui hayo mavazi yalivyo