Wadada kuchomekea gauni kwenye chupi !

Wadada kuchomekea gauni kwenye chupi !

Jana nilikua nakula sehemu akaingia mdada kavaa hivyo...mtoto Wa kitanga, kwanza ana makusudi asee
Nikasema ningekua peke yangu kingeeleweka...
Manake alikua ananichek kwa jicho LA pembe afu tabasamu kwa mbaaali...Mash Allah
 
sasa kama yote hayo unameshayashuhudia mkuu usiijue style ya kuvaa transparent della?
NPm hyo video naweza nikajifunza kitu....

Hahaha kama hujajifunza huko kwenye vigodoro huwezi kujifunzna kwny hii maana ni km Blue Movie (X)
 
Jana nilikua nakula sehemu akaingia mdada kavaa hivyo...mtoto Wa kitanga, kwanza ana makusudi asee
Nikasema ningekua peke yangu kingeeleweka...
Manake alikua ananichek kwa jicho LA pembe afu tabasamu kwa mbaaali...Mash Allah

leo kula tena palepale atakuja, chukua hata namba
 
Jana nilikua nakula sehemu akaingia mdada kavaa hivyo...mtoto Wa kitanga, kwanza ana makusudi asee
Nikasema ningekua peke yangu kingeeleweka...
Manake alikua ananichek kwa jicho LA pembe afu tabasamu kwa mbaaali...Mash Allah

Wasichana wa Tanga wengi ni vicheche na wengi ni wavunja ndoa za watu (michepuo).
 
kuna kadada kajiran kangu ,kanivuruga akili si kidogo, kakitoka Kuoga na kanga imenata mwilini huku kakisugua gaga , basi kila kakisugua..huku nyuma kunatetema kama kumefungwa mashine ya kushindilia kifusi huku kanga imejichomeka kwenye kile kimfereji, aah!..nimechoka kupulika nna mpango wa kukamwagia sera mda si mrefu

Ahsante Jigo
 
kuna kadada kajiran kangu ,kanivuruga akili si kidogo, kakitoka Kuoga na kanga imenata mwilini huku kakisugua gaga , basi kila kakisugua..huku nyuma kunatetema kama kumefungwa mashine ya kushindilia kifusi huku kanga imejichomeka kwenye kile kimfereji, aah!..nimechoka kupulika nna mpango wa kukamwagia sera mda si mrefu

Ahsante Jigo

vumilia tu mkuu mali ya wenzako ustamani
 
Nooo....ni mawazo potofu tu me nnavyojua wadada hufanya vile kwa ajili ya urefu Wa nguo zenyewe zinakuwa zinagusa chini kwa hiyo solution n kuichomeka kdg ili aweze kutembea vizuri
 
Nooo....ni mawazo potofu tu me nnavyojua wadada hufanya vile kwa ajili ya urefu Wa nguo zenyewe zinakuwa zinagusa chini kwa hiyo solution n kuichomeka kdg ili aweze kutembea vizuri

inakuwaje wote wale tunaowaona wanunue nguo oversize ina maana hakuna size zao huko wanakonunua?
 
Maisha ni kama sarafu kuwa na pande mbili, hayatakuwa na maana kama tukiishi kwa namna moja. Naona wako sahihi kwa chaguo lao uvaaji.
 
kama 2015:s Wana vaa hivyo je ikifika miaka ya 2025 sjui itakuaje
 
magauni mengi marefu ni over size hata madera yanakuwa marefu kupitiliza uvivu wa wanawake wengi kufanya marekebisho ndo unasababisha wawe wanachomeka kwenye chupi au wanayashika yasibuluzika chini
 
Hizo nimila zawatu jamii yakisomali sasa Sisi watz hasa wabantu tumeiga kutoka kwao
 
Hivi ni kwa nini baadhi ya wanawake wanavaa gauni lefu halafu ni kama la kitambaa cha mafuta na jepesi halafu wanalichomekea kwenye sehemu ya chini ya chupi (yaani sehemu ya miguu na sio kiunoni) upande wa mapaja au hips?

Waacheni wafu wazikane kwa wafu
 
Back
Top Bottom