Elvis Abayo
Member
- Jan 2, 2014
- 49
- 8
Luo loading
NI KAZI YA SERIKALI KUHAKIKISHA WANANCHI WAKE WANAFUATA SHERIA, WIZI/UJAMBAZI HAUNA KABILA.Umesahau ujambazi mkuu - ukisikia ujambazi uliyo pitiliza mipaka uwakosi!! Wakati fulani nilifikiri ndugu zao Mungiki wamehamia Tanzania, umahili wa Dk.Jakaya Kikwete ndio uliokoa jahazi - hali ilikuwa ni mbaya sana mwanzo mwanzoni mwa utawala wake.
Ni kweli mmesoma sana, lakini sio kigezo cha nyie kutawala kila mahali, khaaaa!? Waacheni na hao wasomi wachache wa makabila mengine watawale, alafu wachaga nyie hamkuzaliwa kwa kazi za maofisini, wala hampendezei kukaa ofisini, nyie kwenu mashambani na biashara uwekezaji kwa ujumla, mbona kwenye hizo sekta mnafanya vizuri sana? Tugawane majukumu bwana, sio kila sekta nyie tuwachaga wapo wengi sana in numbers,na wasomi wapo wengi pia,sitaki kuamini kama maguful hajaona hata msomi mmoja mchaga,mbona sehem nyingine kachukua watu mara mbili mbili?kama hawataki wachaga basi waseme.Tunafaham wanasiasa wapinzani wapo wengi kasikazini,lakini watu wa ccm pia wapo huko huko kaskazin,wapo wachaga ambao ni ccm pia-wawekwe hao,
Sasa wewe ndio kilaza mwingine, watu wanawaza jinsi ya kukuza uchumi wewe unawaza mauno, huu ndio upumbavu mwingine watanzania tulionao, kama mtu hakubahatika kusoma basi anajua wajibu wake kwa jamii ni ngono, wachaga sio wote waliosoma kwa taarifa yako lakini wote wana akili ya kutafuta, hakuna mwanake wa kichaga utamkuta kapaka kucha rangi wala kaweka kope bandia wala kapaka wanja, wote mida hii wanabiashara mkononi, wakuuza mitumba, ndizi, maparachichi, takataka zote wao wanafanya, hawachagui wala hawana mapozi linapokuja swala la kutafuta pesa, na ndio maana wameendelea kwa kiasi kubwa, sasa nyie mlioekeza kwenye viuno mtakavyokutana na wachaga kitandani lazima muone tofauti.Wachaga bora waachwe kwanza washamba sana hawajui hata kukata mauno kitandani ,wanalala tu kama gogo
Kuna kale kausemi kale ''beauty without brain, private party suffer the most'' sasa ukichunguza wale wote wanaojisifia kuwa wanajua sana mapenzi sijui wakata viuno kama feni, utagundua ni ziro brain, na kuishi kwake kunategemea uchi wake. Uchagani watu husifika kwa pesa.Wachaga bora waachwe kwanza washamba sana hawajui hata kukata mauno kitandani ,wanalala tu kama gogo
Hii Tanzania ni yetu sote zamu hii ya watu wengine mbona miaka yote Kaskazini mnatoa Mawaziri wakuu kama Msuya, Lowassa, Sumaye, Sokoine, na Mawaziri wengi tu na Mramba, Chami, Yona, lakini watu wa mikoa mingine hawalalamiki.
Hapa Kazi Tu.
Wachaga bora waachwe kwanza washamba sana hawajui hata kukata mauno kitandani ,wanalala tu kama gogo
Sasa wewe ndio kilaza mwingine, watu wanawaza jinsi ya kukuza uchumi wewe unawaza mauno, huu ndio upumbavu mwingine watanzania tulionao, kama mtu hakubahatika kusoma basi anajua wajibu wake kwa jamii ni ngono, wachaga sio wote waliosoma kwa taarifa yako lakini wote wana akili ya kutafuta, hakuna mwanake wa kichaga utamkuta kapaka kucha rangi wala kaweka kope bandia wala kapaka wanja, wote mida hii wanabiashara mkononi, wakuuza mitumba, ndizi, maparachichi, takataka zote wao wanafanya, hawachagui wala hawana mapozi linapokuja swala la kutafuta pesa, na ndio maana wameendelea kwa kiasi kubwa, sasa nyie mlioekeza kwenye viuno mtakavyokutana na wachaga kitandani lazima muone tofauti.
Aise Hii Hatari shimboni na ishomileSion athari yoyote kwa mchagaa yoyote kisa eti hakuna mawaziri wachagga! Wewe ndo umejua kazi leo, lakin nataka nikuhakikishie wachagga na kazi ni sawa na mizizi na ardhi! Hili halina ubishi mkuu.
Kazi wameanza enzi na enzi na ni culture kwao hawa jamaa! Wewe unakuja kusema "hapa kazi" leo hii mwaka 2016, wakati wao kazi wameanza toka karne ya 15 ulipoanza utawala wa wamangi, ambaye ndo aliekuwa mtendaji mkuu huko uchagani! Sheria za huyo mangi, jpm hafuati hata robo! Ilikua ni kazi tu, na kama hufanyi kazi ole wako, lazima upate habari yako!
Sion mwanasiasa mchagga aliefanikiwa kutokana na siasa! Waachen wachagga wakae kama walivyo! Nafikiri kama inawezekana, wapeni Jamhuri yao muone kama kuna mahali watakwama! Kama hamjenda kuomba msaada kwao!
Chezea wengine ila usichezee hii namba. Wachagga na wahaya ni very intelligent! Sisemi kuwa wengine sio intelligent, isipokuwa wana "uniqueness" yao ambayo nyie akina Riz, mnaweza mkaipata baada ya kizazi chenu ku-perish. Of which it will take you hundred years bro.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Pumbavu kabisa wewe!hapo ndio tatizo lenu lilipo, sasa hivi itabidi mbadili majina, muachane na hayo ya akina mushi, urassa, lyimo labda mtafikiriwa kidogo
Wachaga ni kati ya makabila zaidi ya 120 Tanzania. Wakati wa Uhuru 1961 baraza la mawaziri lilikuwa na mawaziri 11:ambako 2 walikuwa wachaga. Kwa miaka 54 hajakosekana waziri mchaga. Mwaka huu hakuna waziri au Katibu mkuu mchaga imekuwa nongwa au wao ni bora zaidi katika utumishi wa umma kiasi kwamba wasipochaguluwa utawala wa nchi utayumba? Hadi sasa baada ya miaka 54 ya Uhuru kuna makabila hayajapata waziri au Katibu mkuu. Au makabila haya ni dhaifu katika utumushi wa umma kiasi kwamba wakichaguliwa utawala wa nchi utayumba?Tatizo nyie mmesoma sana, alafu kila sekta mpoo!!