UMOJA NI NGUVU
Member
- Mar 4, 2013
- 51
- 32
Nchi yetu ina makabila azidi ya 120 hivyo kama rais amengependa kuwafurahisha wote wawemo kwenye baraza la mawaziri, angepaswa kuunda baraza la watu zaidi ya 120 jambo ambalo haliwezekani hata kidogo.
Nimelikagua baraza mara kumi nikapitia makatibu wakuu na manaibu mara zaidi ya kumi, Sijaona Mnyiha wala mnyamwanga!Unataka kutuambia nini????Kila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...
I feel dissapointed and seggregated......
Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.
very dissapointed
Mashindano gani tena...?! Hapana hatuandai...Mnaandaa mashindano ya chagaz vs sukuma nini?
Kila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...
I feel dissapointed and seggregated......
Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.
very dissapointed
Siku ukijua umuhimu wao ktk kuliletea taifa mandeleo. Hayo majina ya kuwaita wezi mara madhulumanti yataisha.umuhimu wa wizi? maajabu haya.
Hakika mkuu UMENIKOSHA kwa kunikumbusha hawa majemedari wa KAZI Mangi mandala, mangi mwitori ,MangiMeli Mangi sina kutoka kibosho akifuatiwa na Marialle!!Sion athari yoyote kwa mchagaa yoyote kisa eti hakuna mawaziri wachagga! Wewe ndo umejua kazi leo, lakin nataka nikuhakikishie wachagga na kazi ni sawa na mizizi na ardhi! Hili halina ubishi mkuu.
Kazi wameanza enzi na enzi na ni culture kwao hawa jamaa! Wewe unakuja kusema "hapa kazi" leo hii mwaka 2016, wakati wao kazi wameanza toka karne ya 15 ulipoanza utawala wa wamangi, ambaye ndo aliekuwa mtendaji mkuu huko uchagani! Sheria za huyo mangi, jpm hafuati hata robo! Ilikua ni kazi tu, na kama hufanyi kazi ole wako, lazima upate habari yako!
Sion mwanasiasa mchagga aliefanikiwa kutokana na siasa! Waachen wachagga wakae kama walivyo! Nafikiri kama inawezekana, wapeni Jamhuri yao muone kama kuna mahali watakwama! Kama hamjenda kuomba msaada kwao!
Chezea wengine ila usichezee hii namba. Wachagga na wahaya ni very intelligent! Sisemi kuwa wengine sio intelligent, isipokuwa wana "uniqueness" yao ambayo nyie akina Riz, mnaweza mkaipata baada ya kizazi chenu ku-perish. Of which it will take you hundred years bro.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
haya nitajie japo idara moja tu ambayo ilihusishwa na ubadhirifu wakakosekana hao jamaa.Siku ukijua umuhimu wao ktk kuliletea taifa mandeleo. Hayo majina ya kuwaita wezi mara madhulumanti yataisha.
TE="mirisho pm, post: 14995387, member: 80457"]I saw it coming..................................
Usiwe mjinga, kwani kuna mahali pameandikwa wachaga lazima muwepo? Unataka kuniambia kuwa mababila yote zaidi ya 50 hapa Tz yanawakilishwa isipokuwa wachaga?? Hovyo kabisa!
Siku ukijua umuhimu wao ktk kuliletea taifa mandeleo. Hayo majina ya kuwaita wezi mara madhulumanti yataisha.
niliona inakuja[/QUOTE]Sijui kingereza lakin mmh, embu anaejua ki English ansaidie hapa
Jumma4 ndalichako ni mchaga kumbe? I did not knowNa wewe? Waziri wa Elimu je? Lakini ulimtaka nani? Mwache Jumanne atuwakilishe!
jamani wachagga all of them wanaroho za kikatili...huwa nashindwa kupata jibu kwa hawa watu, ni wa aina gani? mbona wako dffrnt na makabila mengine ukiwatoa (wakurya) .......kuna bwana mmoja aliingia shop kuulizia bei ya viatu..sasa wakati amekishika kile kiatu anatesti yule kijana wakichaga (muuzaji) akafikiri anasepanacho alimpiga teke mpaka chali akamfata mchaga mwenzake aje wasaidiane kumpiga, wakaja na wengine wakaanza kupiga hadi jamaa akapoteza fahamu dah! hawa jamaa wanaroho gani lakini? kwanini hawana uvumilivu au kwanini wasimshike kistaarabu wajuwe kama nikweli alitaka kuiba?