Wachagga na Serikali ya Magufuli

Wachagga na Serikali ya Magufuli

Status
Not open for further replies.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuweka kabila kama kigezo kwa jambo lolote. Ni mpuuzi peke yake hufanya hivyo. Na bado!
 
Nyerere alipambana na hili kabila akashindwa, mwinyi, mkapa na kikwete nao hivyohivyo wakashindwaa, naona magufuli nae anajitahidi.

Hato weza kwani ni kabila kubwa ambalo asilimia 60 ya watu wake ni wasomi na wanapendana, ni wamojaa
wachagga wana mkoa mmoja tu ambao ni kilimanjaro, wasukuma wana tabora, mwanza, shinyanga, geita na simiyu lakini huwezi kuwasikia wakiongelea upuuzi wa kutaka special treatment kama za huyu jamaa aliyeanzisha hii mada. Kila kabila ni bora na linastahili kula cake ya taifa. hizo mindsets za ukabila ni mbaya na sina mwisho wenye madhara kwa nchi.
 
Usiwe mjinga, kwani kuna mahali pameandikwa wachaga lazima muwepo? Unataka kuniambia kuwa mababila yote zaidi ya 50 hapa Tz yanawakilishwa isipokuwa wachaga?? Hovyo kabisa!
Safisana wanajiona sana Hawa watu
 
Uteuzi wa viongozi hukuangalia ukabila, ametumia vigezo vya uwezo. Nathani wewe umetumia vigezo vya ukabila kuchambua uteuzi aliofanya Rais Dr Magufuli
Don't get me wrong, MM ni mchagga lakini sipendi kuangalia vitu kwa ukabila.
hongera sana mkuu
 
WACHAGA WANAJIONA SANA. WACHA WAISOME NAMBA. WAENDE WAKACHUKUE VYEO WALIVYOAHIDIWA NA FISADI
 
wachagga wana mkoa mmoja tu ambao ni kilimanjaro, wasukuma wana tabora, mwanza, shinyanga, geita na simiyu lakini huwezi kuwasikia wakiongelea upuuzi wa kutaka special treatment kama za huyu jamaa aliyeanzisha hii mada. Kila kabila ni bora na linastahili kula cake ya taifa. hizo mindsets za ukabila ni mbaya na sina mwisho wenye madhara kwa nchi.
ndio maaana limeanzishwa taifa la ngosha. eti ngosha ni wengi hawaitaji vikabila vingine ngoshaland hoyeeeeeeee . Sikuizi taaarifa ya habari Geita lazima itajwe Dsm chamtoto
 
Tatizo kubwa lenu mna ukabila sana, ubinafisi na wizi. Kama msingekua na tabia za ubinafsi na ukabila nchi yetu ingekuwa imepiga sana maendeleo, lakini kwa sababu mu wabinafisi mnawaza kujilimbikiza mali tu badala ya kuwatumikia Watanzania wote. Nina imani kuwa Magufuri hajaangalia ukabila wala udini, alichoangalia ni wachapa kazi wasiojua ukabila wala udini. Kwa hiyo kuwaza UKABILA NI UPUMBAVU MKUBWA ambao yatupasa tuukemee.
 
watu hawateuliwi kwa kabila bali uwezo na kutumikia wananchi bila unafiki. Hivi uchagani wabunge wa ccm ni wangapi vile??



Kila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...

I feel dissapointed and seggregated......

Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.


very dissapointed
 
wachaga wapo wengi sana in numbers,na wasomi wapo wengi pia,sitaki kuamini kama maguful hajaona hata msomi mmoja mchaga,mbona sehem nyingine kachukua watu mara mbili mbili?kama hawataki wachaga basi waseme.Tunafaham wanasiasa wapinzani wapo wengi kasikazini,lakini watu wa ccm pia wapo huko huko kaskazin,wapo wachaga ambao ni ccm pia-wawekwe hao,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom