P
Kwa lipi? Labda kuiba tu,Bila wachaga nchi haijakamilikaa.
Naona vita kali kati ya magufuli na wachagaaa!!!
Kwa lipi? Labda kuiba tu,Bila wachaga nchi haijakamilikaa.
Naona vita kali kati ya magufuli na wachagaaa!!!
Achana naye.Kila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...
I feel dissapointed and seggregated......
Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.
very dissapointed
umetisha mkuu credit kwako!Mimi sioni umuhimu wa wakwere hapa nchini ndio maana hata hatuwezi kupoteza mda kumjadili mkwere!!
Tulijaribu kuwapa nchi Kikwete! Matokeo yake sote tunayajua.
Tena wezi bila aibu na usiombe akapata kazi mmoja katika ofisi utaona wachaga wote wataamiaSio tatizo tabia YAO ya wizi ndo shida
Pole, ila mmeipasua hii nchi kwa ukabira hasa uchagga ilikuwa hawezekani wachaga wote wawe chadema zaidi ya cuf na wapemba pemba hata waliobaki CCM na serikalini ndio waliokuwa mainfoma. Sasa wenzenu wanawaogopa manake nyie kwenu na mnakotoka kwanza. Sasa mmeshindwa vita tulieini kwanza.Kila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...
I feel dissapointed and seggregated......
Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.
very dissapointed
mkuu nchi ina makabila zaidi ya 120-150. tatizo hawa jamaa walalamishi sana. na pili wezi.Usiwe mjinga, kwani kuna mahali pameandikwa wachaga lazima muwepo? Unataka kuniambia kuwa mababila yote zaidi ya 50 hapa Tz yanawakilishwa isipokuwa wachaga?? Hovyo kabisa!
kumbe na nyie huwa mnalalamika? mbona kila siku mko bize huku kuwasema wanaolalamika kuwa kuna raia wengine wamekuwa considered kama daraja la pili? sasa mnalalamika nini? acheni kwanza muisome number ili siku ingine musilete kashfa zenu za kifala. mkuki kwa nguruwe huo sasa........Kila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...
I feel dissapointed and seggregated......
Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.
very dissapointed
ama kweli wewe ni mpumbavu kweli kweli. Tanzania ina makabila zaidi ya 150 kuna nafasi za mawaziri 35 tu na makatibu 50 jumla 85. kwa vyovyote vile ili kukidhi makabila yote ingebidi ateue hata viongozi hewa kwa akili zako za kingese.Mkuu uzuri wachagga ni wapambanaji...hawategemei maendeleo sababu ya kuwa na waziri au naibu...hapa suala zima ni dhana ya uwakilishi. Kama kuna anayedhani maendeleo ni sababu ya kuwa na waziri au naibu this time mshangao utakuwa mkubwa zaidi
mbona mnalialia humu sasa kama ni kweli unamaanisha? mtaisoma number mpka muache tabia zenu hizi za kibaguzi na kujiona nyie ni bora zaidi ya watanzania wengine.Wachaga hawana.tyme na mambo ya govmt wao wanashika uchumi tu
umuhimu wa wizi? maajabu haya.Tatizo lenu hamjui umuhimu wa hili kabila katika swala nzima la kuharakisha maendeleo.
Bado tu watatoa hayo mapato tena makubwa zaidiHivi unajua % kubwa ya wachaga ndiyo wanaendesha serikali kwa kukusanya mapato makubwa serikalini!!
Mgebakiza watu wenu ccm labda mgepata ila naona wote mliwahamishia chadema, muwe na backup plan