KILLERS KISS GUY
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 718
- 259
tatizo lenu ni moja mumeweka ukabila mbele kuliko hata utendaji wa kazi, mfano robo tatu ya wafanyakazi waliofukuzwa TRA, na bandarini ni wachaga, pili mmezidi kuwekana kwenye nafasi hata kama mtu hana sifa anawekwa mfano KITILYa alipokuwa TRA aliajiri wachaga pekee yake, the same thing to what kimei is doing, tatizo ni kwamba wengine hawana vigezo wala sifa. mfano mwingine ni general wa magereza Minja kawapa wachaga wenzake ubwana jera wakati kuna wana sifa