Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,351
- 38,941
Sina munkari mi nakupasha upashike.acheni tabia za ajabu yaliyotokea Rwanda Na Burundi yalianza hivi hivi na watu Kama nyie ndo mlisababisha.kwa taarifa yako mimi mzazi wangu mmoja WA huko huko uchagani ila ningekuwa Na upunguwani Kama wakwako ningekusapoti.Hahhahaa tuliza munkari mkuu....soma text vzr