Waarabu wana nguvu Iringa

Waarabu wana nguvu Iringa

Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????
nimeshaishi iringa, na mzazi wangu mmoja ni wa iringa na mwingine wa kilimanjaro. pamoja na kwamba baba yangu ni mchaga mimi pia mchaga, ila mamangu ni mhehe na tumezaliwa na kukulia iringa na ndiko biashara za baba zipo hadi leo. ninachoweza kukuhakikishia ni kwamba, iringa haijatawaliwa na waarabu bali wakinga na wabena. kama kuna mtu anatoka iringa atanisapoti kwa hili. wahehe ni kweli hawajamiliki ule mji, ila wakinga na wabena ndio wafanyabiashara wakubwa kuliko hata waarabu na wahindi. hivyo research yako si ya kweli.

waarabu iringa mjini ni wachache na wanapatikana mjini tu. tofauti na mkoa kama wa kigoma na Tabora/nzega ambako waarabu ni wengi kiasi kwamba unawakuta hadi vijijini waarabu rundo wanaongea kinyamwezi na kisukuma. iringa ni wachache sana. vipi umekaa pale mjini kwa muda gani? na je, watu wote wa pale mjini ni wahehe? hata msigwa unafikiri ni mhehe?...msigwa ni mbena au mkinga kama sikosei pale wahehe ni wachache tu wengi wako pembeni mwa mji huko na kwasababu hawana business skills wengi hawaishi mjini. wale unaowaona mjini ni wafanyakazi wa serikali, wafanyabiashara wa kikinga na kibena, wanyakyusa wengi sana iringa, wawanji wengi sana na wachaga pia wapo wengi huwa tunafanya vikao vya kikabila kabisa kujuana tupo wengi na tukitokea pale utakuwa unatuita wahehe. usiwatukane mama zangu kiasi hicho aisee.
 
Kuna mchagga mmoja alikuwa RC wa Iringa enzi hizo akaleta hiyo dharau tena siku ya X-mas badala ya kula ndafu anakwenda kukagua mashamba.Mwamwindi akamlipua.
 
Mkwawa aliongea na kuandika Kiarabu.

Mkwawa alipovamiwa na Wajerumani, Waarabu ndiyo walikuwa bega kwa bega kupigana nao.

Futeni na hiyo historia iliyotukuka.
mkwawa alibadilishwa dini akawa muislam, ndio sababu pale iringa kuna substantial number ya waislam, lakini sio wao wanashika uchumi wa pale mjini, pale mjini uchumi umeshikwa na wakinga, wabena, baadhi ya wahehe na wachaga. wahindi pia wapo ila hawawawezi wakinga kwa biashara za maduka etc.

waarabu iringa sio wengi, ukienda kule uhindini kuna wahindi wengi na wengi wao ni wahindu sio waislam, iringa ni mkoa wa kikristo kwani 70% ni wakristo wa katoliki, lutheran na walokole. shule nyingi za iringa zimejengwa na walutheri na wakatoliki, university of tumaini ya walutheran, ruaha ni katholic, hivyo dominance ya ndugu zako pale waarabu na waswahili wenye baragashia ni pale mjini tu na kalenga, tanangozi kidogo, ukienda kwengine kote ni wimbo wa Yesu tu. hivyo kama umeleta comment hii ili kufanya mkwawa kuandika kiarabu ndio waarabu wametawala iringa umepotea. kwanza wahehe wa kiislam ni wale wa pande za kalenga, tanangozi tu, kwengine kote hata huyo mkwawa hawamtambui.
 
Kuna mchagga mmoja alikuwa RC wa Iringa enzi hizo akaleta hiyo dharau tena siku ya X-mas badala ya kula ndafu anakwenda kukagua mashamba.Mwamwindi akamlipua.
wachaga na wahehe tumeoleana sana jamani, kuna namba kubwa sana ya wachaga iringa, hivyo tusilete chuki. hata askofu wenu mdegela ameoa mchaga, ukienda kule dira wachaga kibao, hiyo ni nchi ya kichaga pia.

ila tukubali tu kwamba, business skills kwa wahehe bado iko chini ukilinganisha na wachagga, wakinga na wabena. though still kuna matajiri wengi sana wa kihehe pale mjini wanaomiliki biashara ambazo zingemilikiwa na waarabu yaani mabasi ya mikoani, maduka ya jumla na mahotel/lodges.
 
nimesikitika sana kusoma hii thread, imeanfikwa na mjinga gani sijui, umekaa siku tano halafu unatoa majumuisho unaakili kweli wewe, kwa taarifa yako iringa waarabu ni wachache na wzliopo ni wa ukoo mmoja sana yaani wote ukisikia siju asasi sijui fm wote ni kina abri na wanapatikana sehemu mojo na mtaa mmoja wa sabasaba, ukitoka pale huoni makazi ya waarabu tena, ungejua mhehe tabia yake hata usingesema yote hayo, mhehe ni kati ya watu ambo hawapendi kumnyenyekea mtu, na ni watu ambao hawapendi kunyanyaswa, muulize marehemu nyerere atakuambia ugumu aliokuwa anaupata iringa kutawala, wahehe wao wanasema ndo masuperior huku kusini
 
Mkwawa aliongea na kuandika Kiarabu.

Mkwawa alipovamiwa na Wajerumani, Waarabu ndiyo walikuwa bega kwa bega kupigana nao.

Futeni na hiyo historia iliyotukuka.

waarabu hawakuwzhi kumsaidia mkwawa kwa vita yoyote ile huo ni uzushi, hzkuwzhi kuongea kiarabu ila aliwzhi kuwaandikia barua waarabu kwa usaidizi, yeye kama yeye hakujua chochote
 
kumbe sasa nimeanza kujua tatizo,ina maana matajiri wahehe wanaukimbia mji wao??Mkuu inawezekana hao waarabu hawatoi nafasi kwa wahehe kunyanyuka?kuna kitu kimejificha ambacho tunaitaji ufafanuzi,biashara ni ngumu sana inaonekana
Wewe umezaliwa jana na juzi katizame mashamba Morogoro wahindi walipoondoka na Ushirika wao wa Wami Magole Cooperative Society waliouacha ulivyokufa.Uganda mpaka sasa inawabembeleza wafanyabiashara na matajiri wa kiasia waliofukuzwa na Iddi Amin arudi lakini wamechelewa wameshajijenga Canada na Uingereza. Siasa za kibaguzi hazijengi bali zinaua nchi.
 
mkwawa alibadilishwa dini akawa muislam, ndio sababu pale iringa kuna substantial number ya waislam, lakini sio wao wanashika uchumi wa pale mjini, pale mjini uchumi umeshikwa na wakinga, wabena, baadhi ya wahehe na wachaga. wahindi pia wapo ila hawawawezi wakinga kwa biashara za maduka etc.

waarabu iringa sio wengi, ukienda kule uhindini kuna wahindi wengi na wengi wao ni wahindu sio waislam, iringa ni mkoa wa kikristo kwani 70% ni wakristo wa katoliki, lutheran na walokole. shule nyingi za iringa zimejengwa na walutheri na wakatoliki, university of tumaini ya walutheran, ruaha ni katholic, hivyo dominance ya ndugu zako pale waarabu na waswahili wenye baragashia ni pale mjini tu na kalenga, tanangozi kidogo, ukienda kwengine kote ni wimbo wa Yesu tu. hivyo kama umeleta comment hii ili kufanya mkwawa kuandika kiarabu ndio waarabu wametawala iringa umepotea. kwanza wahehe wa kiislam ni wale wa pande za kalenga, tanangozi tu, kwengine kote hata huyo mkwawa hawamtambui.

Hakuna Muislam anaeweza kumbadilisha mtu dini. Wewe mbona hukubadilishwa?

Kujisalimisha mtu kwa muumba wake ni matakwa yake mwenyewe na baada ya kuuona ukweli.

Hiyo yako ni false statement na unajidanganya kuwa na fikra kama hizi. Wacha kuukimbia ukweli. Kuwa mkweli utakuweka huru.

Kama hauna ukweli kwenye nafsi yako hautakuwa huru maisha yako. Utaendelea kutawaliwa na uongo maisha yako na huo ni mbaya kuliko kutawaliwa na yeyote yule, hakuna ufungwa mbaya kama ufungwa wa mawazo - kumbuka hilo.
 
waarabu hawakuwzhi kumsaidia mkwawa kwa vita yoyote ile huo ni uzushi, hzkuwzhi kuongea kiarabu ila aliwzhi kuwaandikia barua waarabu kwa usaidizi, yeye kama yeye hakujua chochote

Historia nzuri sana hiyo, umemaliza?

Jisome hiyo mistari miwili, halafu rudi tena ukiwa timamu.

Hakusaidiwa au kasaidiwa? Nimeshindwa kukuelewa.
 
Historia nzuri sana hiyo, umemaliza?

Jisome hiyo mistari miwili, halafu rudi tena ukiwa timamu.

Hakusaidiwa au kasaidiwa? Nimeshindwa kukuelewa.

Dada katika imani. Kwa kweli Mwenyezi Mungu ashukuriwe kwa kukupa subra ya kuwapa darsa hata wasiojifahamu na wanaoandika kile ambacho hata akili yao inakataa. Mimi ni mfaidi mkubwa wa darsa lako. Keep it up.
 
AZUSA STREET uko sahihi kabisa wafanyabiashara wakubwa hapa ni wakinga, wabena na wachaga ila wahehe wao ulinzi tu na kidada dada cha kujianzia tu.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza siyo vizuri kutukana kabila ya mwenyeji wako. Inavyoelekea wewe ndiye unastahili hiyo sifa uliyowapa wahehe[mimi siyo mhehe]
historia ya wachaga ni tofauti sana na wahehe. wachaga waliwakumbatia sana wathungu wakati wahehe hawakutaka kutawaliwa na wageni kabisa.
Historia ya wahehe na waarabu ni ya karne nyingi sana na nasikia hata kuoana. na waarabu wengi iringa mbarali ndiyo kwao tena kwa karne pengine hata kabla ya baadhi ya makabila mengine kuhamia tz. na wahehe ni wastaarabu sana na wana very rich culture isipokuwa hawapendi dharau kabisa. wewe kama mgeni ishi hapo kama mgeni ukiendelea kuropoka hovyo shauri yako

Mkuu ni Mhehe yupi kaoa mwarabu?!!!
 
Mkuu ni Mhehe yupi kaoa mwarabu?!!!
Inasemekana babu yake mkwawa aliwahi kuoa ndugu yake bushiri. Ila kwa uhakika ni kwamba mkwawa, fundikira waliwaoza dada/binti zao kwa waarabu na kwa kufanya hivyo kulijenga uhusiano wa kindugu na kibiashara kati ya waarabu hawa na machifu wetu. Hivi hushangai mavazi ya mkwawa yalikuwa ya aina gani hasa kwenye sherehe'
 
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????

Unaweza ukawa na hoja nzuri labda sijakuelewa vizuri. Wanawaabudu kwa maana gani? Unaposema waarabu unamaanisha watanzania wenye asili ya Asia au? Je ndio tabia ya wakazi Wa Mkoa Wa Iringa pale inapopita gari kuulizana kama hivyo au? Hao ambao umewasikia ni watu Wa aina gani na wanatengeneza sehemu gani ktk wakazi Wa Iringa? Pia ningependa kufahamu Moshi mmewafukuzaje wahindi? Mie sio mpenzi sana Wa hawa waarabu kwani wapo baadhi yao ambao wanadharau na ubaguzi ila angalau ungeeleza kwa namna ambavyo ningeelewa niweze kuchangia vizuri. Asante
 
nimesoma iringa o level na a level ni kweli wanapenda kutetemekea waarabu wakati waarabu wengi walifika wachovu biashara ya meno ya tembo ndio iliwainua serikali ilipoanza kubana wenyeji wengi walifilisika lakini waarabu wakageukia biashara nyingine hasa za malori
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom