Waarabu wana nguvu Iringa

Nashindwa hata niandike nini kwenye thread ya kijinga kama hii,
Mimi ni mhehe but sioni tofauti kati yangu na kabila lolote lile,, or otherwise niamue tu kujiaminisha kama Mimi ni bora kuliko mwingine..
Nimezaliwa iringa, nimekulia iringa, nimesafiri mikoa mingi ya nchi hii, na nimesafiri nje ya nchi pia, nchi hii bado tuna umaskini wa kutupwa, tukianza kubaguana kihivi hatufiki Mazee,,
Sisi ni watz. Japo tuna makabila ya asili zetu, kila kabila lina tamaduni zake,
Ukiangalia hata huo mnaita utajiri wa huko uchagani na utajiri wa iringa ama mwanza au mbeya, unavyopatikana ni tofauti pia, wengine wanafanya biashara, wengine wanalima, wengine wanaiba serikalini, wengine wanavua samaki, na wengine wanafuga..hivi ndio Mungu ametuumba ili tusaidiane..
Kilimo ndio asili ya watu wa iringa na wala sio biashara za maduka ambazo wengi wanadhani ndio njia pekee ya kupima mafanikio ya MTU,
And besides wahehe wala sio maskini kama mnavyofikiri, tena huenda sio matajiri pia..
Life is so diverse wakuu, huwezi pima mafanikio ya mtu just kwa kuangalia parameter moja, hata ustaarabu na kuheshimu wengine ni sucess pia..pamoja na uvivu wa hao wahehe but they are somewhat hard working.. ndio maana ukiondoa mbeya bas anaelisha mkoa wa dar ni iringa,
Na pia ukitaka kuthibitisha hilo naenda hadi kilolo, mufindi, Mtera, idodi ama pita hata hapo ilula ujifunze zaidi kuhusu wahehe,
Its unfair kumtukana mhehe, mhehe sio mbaguzi, anaishi na kila MTU, anashirikiana na kila MTU, sio mchoyo na ndio maana wengi wanaishi hadi iringa Vijijini huko wamekaribishwa, wamepewa ardhi na wamejenga,
BuT dharau kama hizi ndio binafsi tutaanza kuonana wabaya..
Hizi Tabia mnaleta nimezoea kugombana na wakenya huko, I wonder kuona mtz anapost upuuzi kama huu.
Guys, plz try to reason.. Nchi hii ni yetu wote..


Proudly Tanzanian. Mnyalu pure!!
 
Hiyo mikoa ulio itaja ni matajiri ya zaidi ya Arusha.Kawaida watu walio kuwa navyo hawatambi kama wasio kuwa navyo.
Hapo Arusha Matajiri wengi sio wazao kama unavyo jidai.Matajiri wengi ni wakuja.Toka mikoani.Wanunuzi wengi wa Madini ni hao Waarabu Na WaHindi.mashamba mengi makubwa ni ya Wazungu.Makampuni mengi ya utalii ni ya Wahindi.Hao wachache wanao Tamba Na VX sio wazao.
Sasa hadithi zako za vijiweni ziache huko vijiwe.
Unaongea ujinga.HUIJUI ARUSHA.Na kama umefika ulikuwa unapita.Tuulize wazawa.Kama hujui kitu bora uulize uambiwe
 
Thank you WAHEHE, MTU ASILETE TENA MADA ZA KIJINGA AKAACHIWA. AFANYE RESEARCH SIO KUKURUPUKA TU. HAIJUI MIKOA, HAYAJUI MAKABILA, ANAWARUKIA WAHEHE. ATAJIFUNZA SIKU ZIJAZO. ATAFIKIRIA VEMA KITU ANACHOPOST. AENDE KOTE LINDI, MTWARA, TANGA, AANGALIE MAKABILA YOTE ... MBENA MHEHE MKINGA MCHAGA MNYAMWEZI MMAKUA MMAKONDE ......... ALETE ANALYSIS HAPA SIO KUUNGAUNGA HAPA!
 
Aise, nimeipenda sana hii reply yako. Atajifunza.
Nashindwa hata niandike nini kwenye thread ya kijinga kama hii,
Mimi ni mhehe but sioni tofauti kati yangu na kabila lolote lile,, or otherwise niamue tu kujiaminisha kama Mimi ni bora kuliko mwingine..
Nimezaliwa iringa, nimekulia iringa, nimesafiri mikoa mingi ya nchi hii, na nimesafiri nje ya nchi pia, nchi hii bado tuna umaskini wa kutupwa, tukianza kubaguana kihivi hatufiki Mazee,,
Sisi ni watz. Japo tuna makabila ya asili zetu, kila kabila lina tamaduni zake,
Ukiangalia hata huo mnaita utajiri wa huko uchagani na utajiri wa iringa ama mwanza au mbeya, unavyopatikana ni tofauti pia, wengine wanafanya biashara, wengine wanalima, wengine wanaiba serikalini, wengine wanavua samaki, na wengine wanafuga..hivi ndio Mungu ametuumba ili tusaidiane..
Kilimo ndio asili ya watu wa iringa na wala sio biashara za maduka ambazo wengi wanadhani ndio njia pekee ya kupima mafanikio ya MTU,
And besides wahehe wala sio maskini kama mnavyofikiri, tena huenda sio matajiri pia..
Life is so diverse wakuu, huwezi pima mafanikio ya mtu just kwa kuangalia parameter moja, hata ustaarabu na kuheshimu wengine ni sucess pia..pamoja na uvivu wa hao wahehe but they are somewhat hard working.. ndio maana ukiondoa mbeya bas anaelisha mkoa wa dar ni iringa,
Na pia ukitaka kuthibitisha hilo naenda hadi kilolo, mufindi, Mtera, idodi ama pita hata hapo ilula ujifunze zaidi kuhusu wahehe,
Its unfair kumtukana mhehe, mhehe sio mbaguzi, anaishi na kila MTU, anashirikiana na kila MTU, sio mchoyo na ndio maana wengi wanaishi hadi iringa Vijijini huko wamekaribishwa, wamepewa ardhi na wamejenga,
BuT dharau kama hizi ndio binafsi tutaanza kuonana wabaya..
Hizi Tabia mnaleta nimezoea kugombana na wakenya huko, I wonder kuona mtz anapost upuuzi kama huu.
Guys, plz try to reason.. Nchi hii ni yetu wote..


Proudly Tanzanian. Mnyalu pure!!
 
huwa nna tabia ya kuheshimu kila MTU na kabila lake.lkn kamwe hua cmtetemekei MTU,ndo nlivo jikuta nko hivo,na sipendi KBS hata kumuona MTU anambabaikia mtu iwe kwa sababu yeyote ile hata rafiki zangu wanajua hivo,ndo tulivo kiasili KBS wahehe
 
Nashindwa hata niandike nini kwenye thread ya kijinga kama hii,
Mimi ni mhehe but sioni tofauti kati yangu na kabila lolote lile,, or otherwise niamue tu kujiaminisha kama Mimi ni bora kuliko mwingine..
Nimezaliwa iringa, nimekulia iringa, nimesafiri mikoa mingi ya nchi hii, na nimesafiri nje ya nchi pia, nchi hii bado tuna umaskini wa kutupwa, tukianza kubaguana kihivi hatufiki Mazee,,
Sisi ni watz. Japo tuna makabila ya asili zetu, kila kabila lina tamaduni zake,
Ukiangalia hata huo mnaita utajiri wa huko uchagani na utajiri wa iringa ama mwanza au mbeya, unavyopatikana ni tofauti pia, wengine wanafanya biashara, wengine wanalima, wengine wanaiba serikalini, wengine wanavua samaki, na wengine wanafuga..hivi ndio Mungu ametuumba ili tusaidiane..
Kilimo ndio asili ya watu wa iringa na wala sio biashara za maduka ambazo wengi wanadhani ndio njia pekee ya kupima mafanikio ya MTU,
And besides wahehe wala sio maskini kama mnavyofikiri, tena huenda sio matajiri pia..
Life is so diverse wakuu, huwezi pima mafanikio ya mtu just kwa kuangalia parameter moja, hata ustaarabu na kuheshimu wengine ni sucess pia..pamoja na uvivu wa hao wahehe but they are somewhat hard working.. ndio maana ukiondoa mbeya bas anaelisha mkoa wa dar ni iringa,
Na pia ukitaka kuthibitisha hilo naenda hadi kilolo, mufindi, Mtera, idodi ama pita hata hapo ilula ujifunze zaidi kuhusu wahehe,
Its unfair kumtukana mhehe, mhehe sio mbaguzi, anaishi na kila MTU, anashirikiana na kila MTU, sio mchoyo na ndio maana wengi wanaishi hadi iringa Vijijini huko wamekaribishwa, wamepewa ardhi na wamejenga,
BuT dharau kama hizi ndio binafsi tutaanza kuonana wabaya..
Hizi Tabia mnaleta nimezoea kugombana na wakenya huko, I wonder kuona mtz anapost upuuzi kama huu.
Guys, plz try to reason.. Nchi hii ni yetu wote..


Proudly Tanzanian. Mnyalu pure!!
Mkuu ene wainywa utulaasi bite ukake taa nange lita yimwi ndihomba,ulongye mumwene hyilo
 
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wenyeji walivyotawala kwenye biashara kubwa,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe namna hiyo kiasi hiki????
Nini maana ya kuabudu?
 
hiyo ya mji kukaa juu sijaridhika,kwani wenyeji wanashindwa kujenga mji wa kisasa pale chini inakopita barabara kuu??ni watu wangapi wanapita pale wanashindwa kupumzika na hakuna mahali pa kupumzika???kwa mtazamo wangu waarabu ni wafuga majini na ndio wanasababisha mji uendelee kuwa maskini,angalia mbeya jinsi inavyokuwa kwa kasi ya ajabu,,kuna kitu bana!!!
Thibitisha waarabu wanavyofuga hayo majini.kwanini waarab?mbona kuna watu wanapandisha mashetani kwenye nyumba za ibada hawaambiwi wanafuga au wanaishi nayo?
 
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wenyeji walivyotawala kwenye biashara kubwa,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe namna hiyo kiasi hiki????
Na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri inawezekana umeandika uzi huu ukiwa mirembe ukipata matibabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom