Waarabu wana nguvu Iringa

Waarabu wana nguvu Iringa

na kwa taarifa yake Iringa kuna matajiri wengi tena wahehe kabisa na wengineo ambao ni waswahili...wana utajiri wa kutosha kufanya lolote sema hawataki tu kujionyesha kwa kutembelea magari makali kama hawa waarabu wanavyopenda magari na la zaidi wanaheshimiana sana kati yao na hao waarabu wako....sijawahi kuona mwarabu eti anamnyanyasa mswahili hapa iringa tangu nimeanza kuijua iringa miaka mingi iliyopita na hata hayo matatizo madogo madogo yanayotokea (mfano mambo ya ardhi ambayo kila kona ya nchi yapo) huwa wenyewe ndo wanakuwa mstari wa mbele kuhakikisha suluhu inapatikana mapema bila kufikishana mbali na ndo maana Iringa haisikiki sana juu ya migogoro hii..
Mi siwasifii waarabu na wala sina uhusiano nao kwa vyovyote vile lakini kwa pale iringa unayoyasema si kweli!! wanajitahidi sana kuishi na watu wale jamaa..
 
Mkwawa aliongea na kuandika Kiarabu.

Mkwawa alipovamiwa na Wajerumani, Waarabu ndiyo walikuwa bega kwa bega kupigana nao.

Futeni na hiyo historia iliyotukuka.
 
Mkwawa aliongea na kuandika Kiarabu.

Mkwawa alipovamiwa na Wajerumani, Waarabu ndiyo walikuwa bega kwa bega kupigana nao.

Futeni na hiyo historia iliyotukuka.

Hivi wewe una brain ya kawaida???
 
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????

Mkuu yaani kwa semina yako ya siku tano umetoa hitimisho ya research yako Duu...ok, kwa kifupi niijuavyo Iringa si kweli uliyoyasema hamna kitu ka hicho tena ungewajua wahehe kiundani nadhani usingeandika hayo ....mkuu
 
[/COLOR][/SIZE]


ningekuwa mnyalukolo ningedai apology .samahani yangu
ehh et wenyeji wajinga?
kigezo gan umetumia kugeneralize watu wa iringa wajinga?
umejiuliza kwa nini watu wanawanyenyekea waarabu?ni watu gan ao?elimu zao?wanajishughulisha nanini?
wap hakuna wajinga?dar?moshi?
mkoa upi una werevu,wajanja.hakuan wajinga?

statement yako si ya kiungwana mjombaa na kwa mbali u smell uselfish.ubishoo.dharau na mbaya zaidi unachukulia mambo kijuu juu


hauna tofaut na yule mtu anayekutana na mtoto ombaomba afu anaanza kumtukan mtoto weeee mjinga sana....kwanini auend shule..kwa nini unalala majalalani?kwa nini umevaa nguo chafu?kwa nini aujala mchana.....MTU MWENYE AKILI NA HEKIMA NADHAN ATAANGALIA YALIYOPELEKEA mtotoUYO KUWA IVYO ALIVYO NA SIYO KUMUHUKUMU ....et wewe mtotokesho nikukute umekula na umenda shule na nguo safi.....



thk hard broo

sor 4any kwazo bt nt intended.
pc:violin:

Safi mkuu maana mie sikujua nimjibuje ingawa sio mhehe nimeona amekosa hekima kabisa
 
Hivi wewe una brain ya kawaida???

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Mkwawa aliongea na kuandika Kiarabu.

Mkwawa alipovamiwa na Wajerumani, Waarabu ndiyo walikuwa bega kwa bega kupigana nao.

Futeni na hiyo historia iliyotukuka.
 
si wabongo bana wabinafsi sana tukizaliwa nchi za watu tunang'ang'ania japo hatuna asili ya kule na wenzetu wazungu na warabu na wahindi wakizaliwa makwetu bado tung'ang'ania kuwa sio kwao tukibaguliwa nchi za watu tunasema watu wa asili fulani wabaguzi na wanadharau sana hakika sisi wabongo tuna ufinyu wa fikra
 
Mkuu yaani kwa semina yako ya siku tano umetoa hitimisho ya research yako Duu...ok, kwa kifupi niijuavyo Iringa si kweli uliyoyasema hamna kitu ka hicho tena ungewajua wahehe kiundani nadhani usingeandika hayo ....mkuu

Halafu huyu hajitambui, ina maana hapo Iringa wanaishi wahehe tu? Kwa haraka haraka nagundua huyu ni mtu wa vijiweni tu maeneo ya wasukuma mikokoteni au wachoma mahindi maana haiingii akilini mtu mwenye akili zake atakaa aanze kujadili umiliki wa magari yanayopita.
 
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????

Moshi ( klm) ndio mmeshikwa pabaya kabisaaa! kugegeda tu hamuwezi mpaka mna hire abroad!
 
Mtoa post ni mse.n.ge dike, tena ole wako tukuone hapa iringa, werevu wako umeishia hapo, ukahitimisha kwa kutuita wajinga, umefanya utafiti kwa kutumia makalio, huwezi kuijua iringa kwa muda uliokaa na kutoa kauli ya mavi kama hiyo, unapigwa wewe]
 
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????
kuna mwenzio kaanzisha uzi kasema waarabu wanaabudiwa zanzibar, nyie watu hata hatuwaelewi mnataka nini? au ndio fitna zenu kwa waarabu mnazionyesha waziwazi?
 
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/858387-zanzibar-na-waarabu.html
 
Mkwawa aliongea na kuandika Kiarabu.

Mkwawa alipovamiwa na Wajerumani, Waarabu ndiyo walikuwa bega kwa bega kupigana nao.

Futeni na hiyo historia iliyotukuka.
Waarabu ni wabaguzi vibaya na ni wakatili, ni watu wanaotakiwa kupigwa vita! Mahali wamejazana hakuna maendeleo ya maana, angalia tanga, morogoro, iringa na Tabora. Yaani ni watu zero kabisa. Wameshindwa kufurukuta huku arusha. Thubutuuu!
 
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????

Wewe ni muongo!
Nimekulia iringa,kuna matajiri kibao tu wahehe,wakinga,wachaga nk plus hao waarabu.
Na watu wanaishi vzr sn bila kubaguana!!
Eti waarabu wananyenyekewa!.sijawahi kuona usiwasingizie
 
ndo maana hata mbunge wao ni mkinga, hawa jamaa walikuwa wanawadharau wakinga miaka ya nyuma lakini siku hizi wamegeuka ndo walinzi wa maduka ya wakinga. Wanajiita TULIVAGAYASIDA maana yake hawana shida.

Acha kupotosha!.
Mbunge sio mkinga na Ir haijawahi kuwa na mbunge mkinga
 
Waarabu ni wabaguzi vibaya na ni wakatili, ni watu wanaotakiwa kupigwa vita! Mahali wamejazana hakuna maendeleo ya maana, angalia tanga, morogoro, iringa na Tabora. Yaani ni watu zero kabisa. Wameshindwa kufurukuta huku arusha. Thubutuuu!

mkuu we upo TUKUYU vijijini nini!!! waarabu walipo hakuna maendeleo sio? maeneo tulipo sisi ndio hakuna maendeleo,
na unaposema maeneo walipo unamaanisha hata kule U.A.E,JORDAN, LEBANON, BAHRAIN, SAUDIA,!
hivi wenye jukumu la miundombinu ni waarabu au serkal yako ya kifisad? tujenge nchi na tusiwaangalie waarabu. wale hata wawepo hapa lakini baada ya muda huuuyooo OMAN, QATAR, DUBAI, mimi na wewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom