Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,098
- 10,609
Akwaaafuka mpulusi huyoNene ndi mhehe alongile lunofu ela. Maligo ga kiki. Va hehe mwave ndauli.
Akwaaafuka mpulusi huyoNene ndi mhehe alongile lunofu ela. Maligo ga kiki. Va hehe mwave ndauli.
Cha kushangaza hao hao wahehe wanawazarau sana Wakinga, kiasi cha kwamba hata kuolewa nao ili kuwaga mwiko. I do not understand it. Wa kinga nao ndio wenye maduka na biashara kubwa Iringa ila ndio waliokuwa wanadharaulika na wahehe. It is complicated to understand the logic behind this bias towards Kinga people.mkuu lakini mmezidi bana,haowaarabu ni wageni tu hapo iringa komaeni na mji wenu bana
mpwepele huyo,twivafu? Manyi afiche pi tukasipele!Be twivagaya sida!
Mkuu wa Wilaya ya IRINGA kafanya nini tena?Wewe unashangaa hao wahehe, laiti mama ungekutana na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini ungezimia
Pale mjini Iringa kuna vibarakashia vingi na ndio vinaendeleza umwinyi wa kuabudu waarabu,ni kama vile Wamanyema pale Tabora na Kigoma
Mambo ya wahehe waachie wahehe, we fanya yaliyokupeleka then rudi kwenu moshi kaendelee kufukuza wahindi. Dhambi ya ubaguzi inawatafuna nanyi mtabaguliwa hakika nawaambia.
Uwudesi una mbaba mchaaga hyo vaarabu va kwi ilinga uvasele veve napo vahehe venye mapesa si uvasele na yu mwi?lilefu ve
Vituko vyake ni burudani toosha!Mkuu wa Wilaya ya IRINGA kafanya nini tena?
Jamani mbona namuona anafanya kazi jamani. Kumbi kiki be? Mumuleke muunu va vene nye? Nongwa ndodi.Vituko vyake ni burudani toosha!
Nimekumezea tu, ila umwafu sana! ! Nyokoveeeeeeeee!Kama ulirudia tu mjini hujaona maajab ya Iringa. Nenda Pawaga, kila mpapai unaoota popote ni mali ya mwarabu mmoja hapo anaitwa Nkungugu.
Uote popote, hakuna mtu anathubutu kula hilo papai, atalichuma, atalipeleka dukani kwa Nkungugu na hapewi hata mia. Sana sana anaona fahari kumletea Nkungugu papai lake. Halafu baadaye ataenda hapo hapo kulinunua yeye mwenyewe aende kula. Mbegu zikimea, ni mpapai wa Nkungugu. Nilichokaaaa.
Unamwajiri kibarua shambani kwako, Magugu yaliyopo ni mchicha, anaungoa, anauweka kando atauleta kwako, na ati utamlipa nao siku na mahindi/unga kidogo anaridhika kabisaaaaa na kesho asubuhi anakuja kuendelea na kazi ya kupalizi.
Wanyalukolo mpooooo?
Tulikwenda bar moja pale mjini kama unakwenda mkwawa uni,tulijaribu kuongea na majamaa pale inaonekana kuna kitu wanajivunia,jamaa mmoja alisema waarabu ni ndugu zao wa karibu eti hata mkuu wa nchi ameoa mmoja wao,sasa hapo unataka nini tena
Haya tena Wahehe na Iringa yao. Ngoja tuwaachie venyewe!Jamani mbona namuona anafanya kazi jamani. Kumbi kiki be? Mumuleke muunu va vene nye? Nongwa ndodi.
Nime
Nimekumezea tu, ila umwafu sana! ! Nyokoveeeeeeeee!
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.
Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe namna hiyo kiasi hiki????
Ukiona mkoa wowote mwarabu au mhindi ana nguvu mkoa huo ujue ni mkoa masikini sana.Tabora,shinyanga,singida,dodoma,morogoro...Lakini mikoa kama Arusha,muhindi au mwarabu hahemi!
Na hao ndio chanzo cha umaskini popote pale.
Mkuu mbona unataka kutuchafulia thread?Matatizo sio Waarabu Ni Uislamu najua nitawakwaza wengi Lakini ukweli lazima Usemwe.