Waarabu wana nguvu Iringa

Waarabu wana nguvu Iringa

waarabu wanapenda magari mazuri na ufahari tofauti na matajiri wa kiafrica ..kwaiyo mtu kushangaa ni kawaida haimaanishi wao ndo wana hela peke yao..wewe una chuki tu zako
 
fuata kilichokuleta broo afuu tembea zako mhehe hajilambi kwa mtu
 
Uwudesi una mbaba mchaaga hyo vaarabu va kwi ilinga uvasele veve napo vahehe venye mapesa si uvasele na yu mwi?lilefu ve
 
Mleta mada don't generalized vitu Bila kufanya utafiti
Au ndio Mara ya Kwanza kutoka moshi kuja mikoani ???

Hapo labda ulikuta vijana wachache wanabishana kuhusu gar ya FM abri au asas lakin umejumuisha wahehe wote

Labda umekuta kibaraka mmoja WA mwarabu muuza vitambaa miomboni anamnyenyekea mwarab basi umechukulia wahehe wote.

Acha hizo bana fanya Kwanzaa uchunguzi kabla ya kaleta bla bla...
Me sio mhehe ila umenikera kuwajumuisha wahehe wote katika tuhuma yako
.
Labda hayo mambo unayoyaongea yapo kwa wale vibarua wachache WA waarabu ambayo ni kawaida sehem yoyote Ile nchini kwetu
 
Kwa Data nilizonazo mtu wa kwanza kununua gari landcruiser V8 mpya pale Toyota Tanzania ni muarabu toka Iringa
 
Kama ulirudia tu mjini hujaona maajab ya Iringa. Nenda Pawaga, kila mpapai unaoota popote ni mali ya mwarabu mmoja hapo anaitwa Nkungugu.
Uote popote, hakuna mtu anathubutu kula hilo papai, atalichuma, atalipeleka dukani kwa Nkungugu na hapewi hata mia. Sana sana anaona fahari kumletea Nkungugu papai lake. Halafu baadaye ataenda hapo hapo kulinunua yeye mwenyewe aende kula. Mbegu zikimea, ni mpapai wa Nkungugu. Nilichokaaaa.
Unamwajiri kibarua shambani kwako, Magugu yaliyopo ni mchicha, anaungoa, anauweka kando atauleta kwako, na ati utamlipa nao siku na mahindi/unga kidogo anaridhika kabisaaaaa na kesho asubuhi anakuja kuendelea na kazi ya kupalizi.
Wanyalukolo mpooooo?
 
mm ni mhehe,,plz tutake radhi we kibuyu! una km kaukabila HV? nenda Kenya kakaendeleze utakutana na wenzako kule,nmeish na wachaga karibia kote nlikoishi,kwa hiyo niwatukane au kuwasema vby kwa tabia ya mchaga mmoja naemjua? uelewa wako una shida sn we kuku ,huwajui wahehe,narudia huwajui hata kdg,eti siku tano ndo una conclude hivo?? mmh eti wajinga,hee!! Moshi wote ni werevu ??,rudi kwenu kaendeleze ubaguzi unaojisifia hapa,ikiwezekana pitiliza Kenya ukakutane na wakabila wenzio,huwajui wahehe nasema huwajui kaa kimya *****!!!! viva he he tribe! najivunia mnooo
 
Tatizo lako umeishia sehem moja tu ndo ukayaona hayo si iringa yote inaweza ikawa umefikoa mtaani kwao
 
Mambo ya wahehe waachie wahehe, we fanya yaliyokupeleka then rudi kwenu moshi kaendelee kufukuza wahindi. Dhambi ya ubaguzi inawatafuna nanyi mtabaguliwa hakika nawaambia.
Hebu mwambieni huyu mpitaji asiye na akili Hugo, hayamuhusu na aseme kabila lake tumwambie upumbavu wake.Kinachotokea Zambia Africa Kusini wanaouawa so waarabu ni waswahili kabisa wakiwemo Watanzania.
 
Wewe unashangaa hao wahehe, laiti mama ungekutana na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini ungezimia
 
Hebu mwambieni huyu mpitaji asiye na akili Hugo, hayamuhusu na aseme kabila lake tumwambie upumbavu wake.Kinachotokea Zambia Africa Kusini wanaouawa so waarabu ni waswahili kabisa wakiwemo Watanzania.
True that na hao wachagga aliowataja kama mfano nilisema hakika dhambi ya ubaguzi itawatafuna na umeona recently walichokipata kwa wao kubaguliwa kila kona mchaga alikuwa haaminiwi hadi kupewa madaraka ikawa gumzo kubwa. Hii iwe funzo kwetu maana kubagua binadamu mwenzio tena mtanzania mwenzio, mwafrika mwenzio sio sawa, dunia tumeikuta tu hakuna mwenye ownership nayo except Mwenyezi Mungu pekee ambaye cha ajabu hana ubaguzi
 
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe namna hiyo kiasi hiki????
Kuna historia ndefu sana hapo unajua wahehe walimix sana hasa na wagiriki. Halafu Chief Mkwawa alikuwa muislamu kwa hiyo kuna strong presence ya waarabu pia. Nakubaliana na wewe kuna waarabu wengi sana waliokubarika kwa muda mrefu Iringa na wahehe wanawasujudu. Lakini hiyo ni shida ya umaskini wa pesa na roho. Hauwezi kukuta kitu kama hicho Bukoba. Wahaya watakutoa lesi. FYI: Mimi ni mhehe na pia siyo muislamu lakini nasema kilicho moyoni mwangu.
 
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe namna hiyo kiasi hiki????
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.

Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe namna hiyo kiasi hiki????
Wewe usingesoma,hakila ungekuwa mchawi!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom