hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,669
- 27,560
Unatafuta uchochoro ukimbieNaona nimekupiga za uso🤣🤣
Si umetaka Google ukasema sio kwenye maandiko au uliogopa na mimi nisikuulize maana ya Biblia🤣🤣🤣
Mimi sikukupa limit ,nimekuomba maana ya neno Zaburi
Sasa kinachokukimbiza maswali hujibu unaleta porojo ni nini?
Ukijifunza kujibu maswali njoo ujibu ,hapa nadhani watu wamejionea jinsi dini yenu ilivyo shallow
Yaani muhamad kawapachikia maneno hajui hata asili na maana zake ,na huo ni mfano tu