Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Sawa. Kwahiyo umekiri kuwa Mohamed kaiba vitabu vya kiyahudi.

Nyinyi mna kaswida.
Kitabu kipi cha kiyahudi kimeibwa au unasema nyinyi wakristo kuwa mmeiba vitabu vya wayahudi?

Sisi hatuna kaswida
 
Daudi huyu jamaa alikuwa hatari sana,alikuwa mbabe sana wa vita ,hajawahi kushindwa vita ,namfananisha na Netenyau ubishi wake ,anapenda sana vita

Jina Daudi Lina maana nyingine tofauti na ile ya kihebrania ,anaitwa pia man of War

Huyu jamaa alipendwa sana na Mungu sababu moja tu, hakuwa mnafiki ,

Mungu kampa Hadi mtaa huko mbinguni, ukisikia Sayuni ,basi huo ni mtaa wa Daudi huko mbinguni

Alikuwa nabii pia mfalme

Biblia inaonyesha Daudi kama Mfalme wa Israeli, lakini pia kama nabii kwa sababu Mungu alinena naye moja kwa moja na kupitia yeye akatoa unabii.

Yesu alimuita pia alimuita Daudi nabii

Yesu alisema

“Daudi mwenyewe alisema kwa Roho Mtakatifu…” (Marko 12:36)

Hii inaonyesha Daudi alinena kwa uongozi wa Roho wa Mungu, kitu kinachoonesha ni karama ya unabii.

Mitume pia walimwita Daudi nabii Petro alisema
“Ndugu, lazima itimie andiko ambalo Roho Mtakatifu alisema kabla kwa kinywa cha Daudi…” Matendo 1:16

“Kwa kuwa alikuwa nabii…” Matendo 2:30

Halafu Zaburi nyingi ni unabii
Daudi aliandika Zaburi nyingi ambazo ni unabii kuhusu Yesu ,kuhusu Israel,kuhusu matukio mengi sana , mfano
Zaburi 22 ni unabii wa mateso ya Yesu
Zaburi 110 ni unabii wa Masihi kukaa mkono wa kuume wa Mungu

Huyu jamaa naweza kumuelezea asubuhi mpaka jioni ,
View attachment 3536653
Daudi alikua Genius mwenye kila aina ya ufundi na vipaji yaani jamaa kila sector alifiti hadi tabia mbaya na uhuni ila nacho mwonea wivu alikua kipenzi cha Mungu mno,yaani Mungu anampenda Daudi kiasi kwamba hata Ibilisi ampelekee umbea mbaya Mungu kumhusu Daudi Mungu atapuuzia jamaa alikua kipanga haswa hadi raha,
Hivi hamis77 unajua raha ya kua na toto genius,tundu lenye matukio mtaani ila ni kipanga hamna mfano?
Ndio Daudi huyo!
😅😅
 
Kitabu kipi cha kiyahudi kimeibwa au unasema nyinyi wakristo kuwa mmeiba vitabu vya wayahudi?

Sisi hatuna kaswida

Unajizima data bro. Na huna hoja tetezi kama kawaida yako.

Wakristo hatuna shida navyo . Tumevikuta na tunaviamini.

Tourat, Zabur na Injili ni vitabu vya wayahudi.

Waarabu na Quran na Uislam wanasema pia ni vyao vilishushwa na allah ila eti hivi vitabu tunavyoviona sasahivi si9 sahihi kwamba vimechakachuliwa na inabid tuamini Quran 😁😁😁😂😂

Kwa akili ndogo tu hapo. Unaona kabisa setting ilivyowekwa ili kuchota watu akili.

😎😎😎😎😎 mtu mwenye akili ndogo sana ndio anaweza kuamini hayo.

Fumbo mfumbie mjinga. Ila mwerevu atalifumbua.
 
Na summarize hapa ili mfanye brainstorming vizur.

According na Quran.
Zaburi imeshushwa kama wahyi kwa Daudi na ni kitabu cha allah

1. Na Hakuna sehem kwenye Quran panaposema Zaburi imeguswa na kuingizwa maneno ya watu.

2. Hakuna ushahidi kuwa Zaburi ilikuwa hivi na sasahivi iko hivi
(Kuongezeka au kupunguza maneno).

Kwahiyo Covax Jagina hata chat gpt wameshindwa kujibu hili.

Je kuna sehem ambayo Quran inasema Tourat au Injili imeandikwa kwa maneno yasiyo ya allah?.
 
Unajizima data bro. Na huna hoja tetezi kama kawaida yako.

Wakristo hatuna shida navyo . Tumevikuta na tunaviamini.

Tourat, Zabur na Injili ni vitabu vya wayahudi.

Waarabu na Quran na Uislam wanasema pia ni vyao vilishushwa na allah ila eti hivi vitabu tunavyoviona sasahivi si9 sahihi kwamba vimechakachuliwa na inabid tuamini Quran 😁😁😁😂😂

Kwa akili ndogo tu hapo. Unaona kabisa setting ilivyowekwa ili kuchota watu akili.

😎😎😎😎😎 mtu mwenye akili ndogo sana ndio anaweza kuamini hayo.

Fumbo mfumbie mjinga. Ila mwerevu atalifumbua.
Jibu swali kitabu kipi cha wayahudi kimeibiwa na Waislam?
Je kati ya Waislam na wakristo kina nani wameiba vitabu vya wayahudi

Usikwepe!!!
 
Asante kwa kutujuza waandishi Hawa,Je ushahidi kama kweli waliandika upo?
 
Daudi alikua Genius mwenye kila aina ya ufundi na vipaji yaani jamaa kila sector alifiti hadi tabia mbaya na uhuni ila nacho mwonea wivu alikua kipenzi cha Mungu mno,yaani Mungu anampenda Daudi kiasi kwamba hata Ibilisi ampelekee umbea mbaya Mungu kumhusu Daudi Mungu atapuuzia jamaa alikua kipanga haswa hadi raha,
Hivi hamis77 unajua raha ya kua na toto genius,tundu lenye matukio mtaani ila ni kipanga hamna mfano?
Ndio Daudi huyo!
😅😅
Oya sio poa ,Ujue ukimsoma Daudi na Sauli, mwenye madhambi mengi ni Daudi, Sauli kosa lake ilikuwa kwenda kwa mganga yule wa endori

Daudi alikuwa muhuni ,mtu wa totozi, halafu anajadiliana na Mungu kama rafiki yake ,alimfanya Mungu rafiki yake ,

Ukimsoma sana Utagundua kilichomfanya awe rafiki wa Mungu ,hakuwa mnafiki ,

Akikosea akiambiwa hatafuti visingizio ndicho kilichofanya apendwe sana ,

Alikuwa mwepesi sana wa kutubu

Alikuwa na vipaji vingi ,jamaa alizijua natural law vizuri sana ,alijua ili Mungu akukubali ufanye nini

Alikuwa jasusi ,aliwahi kukaa kwa wafilist kwa muda mrefu akiwapeleleza na hawakimjua

Kuhusu kutunga nyimbo alijua sana,kupiga ala za muziki alikuwa fundi

Napenda sehemu moja ,alipozini na mke wa Uria ,na kuua ,kafatwa na nabii Nathani, sasa Nathani kaanzia mbali kumwambia maana ilikuwa hatari sana kumwambia directly

Halafu Daudi anapojua ni yeye anasemwa wala habishi ,anakubali fasta ,anatubu anaandika Zaburi ya 51 ,

Sasa niliposhangaa jamaa alikuwa rafiki wa Mungu, wanajadili na Mungu adhabu ya kupewa

Mungu anampa option 3 ,jamaa anachagua kupigwa na Mungu anakwambia Mungu ni mwenye huruma ,atakuchapa ila atakuonea huruma tu 🤣

Kabla ya kufa anampa Suleiman list ya maadui zake ,anamwambia Suleiman awamalize

Kuna tukio lake moja nalipenda sana ,napenda sana watawala wa Leo wajifunze kwa Daudi aisee,

Kama unataka kuwa kiongoz Bora msome Daudi ,

Siku moja ndugu wa Sauli walikuwa wanamtukana sana Daudi akiwa na majemedari wake Wana wa Seruya ambao ni watoto wa dada yake

Wale majemedari( Wana wa Seruya) wakamwambia Daudi inakuwaje huyu mbwa anakutukana hivi, turuhusu tukakuletee vichwa vyao .

Daudi akawajibu " waache wanitukane maana huenda Mungu amewaruhusu kwa kufanya hivo Mungu atanilipia MEMA"

Kuna funzo kubwa sana hapo

Daudi mwana wa Yese Mbethelehem anabaki moja ya watu ambao Dunia iliwapata
FB_IMG_1763586941209.jpg
 
Ok hao wengine nao upo?
Yesu kaja kaikuta Tanakh ambayo ndiyo biblia ya kiyahudi au agano la kale ,kanukuu humo humo na mitume wamerejea humo

Zaburi Ina waandishi ,70% ni Daudi, lakini Kuna Hadi zaburi ya Musa,Suleiman ,Wana wa kora,asafu, n.k

Hawa Wana wa Asafu walikuwa waimbaji hekaluni wanatoka ukoo wa Walawi,

Nyimbo nyingi za uvuvio ziliwekwa kwenye zaburi .

Na kila Zaburi kwa asilimia kubwa ziliandikwa na muandishi,mfano za Daudi nyingi ndio maana zinajulikana ,
 
Yesu kaja kaikuta Tanakh ambayo ndiyo biblia ya kiyahudi au agano la kale ,kanukuu humo humo na mitume wamerejea humo

Zaburi Ina waandishi ,70% ni Daudi, lakini Kuna Hadi zaburi ya Musa,Suleiman ,Wana wa kora,asafu, n.k

Hawa Wana wa Asafu walikuwa waimbaji hekaluni wanatoka ukoo wa Walawi,

Nyimbo nyingi za uvuvio ziliwekwa kwenye zaburi .

Na kila Zaburi kwa asilimia kubwa ziliandikwa na muandishi,mfano za Daudi nyingi ndio maana zinajulikana ,
Asante, hapo umemaanisha asilimia 70% ya Zaburi aliandika Daudi au Daudi aliandika Zaburi 73 kati ya 150 ambayo ni almost 50%?
 
Daudi huyu jamaa alikuwa hatari sana,alikuwa mbabe sana wa vita ,hajawahi kushindwa vita ,namfananisha na Netenyau ubishi wake ,anapenda sana vita

Jina Daudi Lina maana nyingine tofauti na ile ya kihebrania ,anaitwa pia man of War

Huyu jamaa alipendwa sana na Mungu sababu moja tu, hakuwa mnafiki ,

Mungu kampa Hadi mtaa huko mbinguni, ukisikia Sayuni ,basi huo ni mtaa wa Daudi huko mbinguni

Alikuwa nabii pia mfalme

Biblia inaonyesha Daudi kama Mfalme wa Israeli, lakini pia kama nabii kwa sababu Mungu alinena naye moja kwa moja na kupitia yeye akatoa unabii.

Yesu alimuita pia alimuita Daudi nabii

Yesu alisema

“Daudi mwenyewe alisema kwa Roho Mtakatifu…” (Marko 12:36)

Hii inaonyesha Daudi alinena kwa uongozi wa Roho wa Mungu, kitu kinachoonesha ni karama ya unabii.

Mitume pia walimwita Daudi nabii Petro alisema
“Ndugu, lazima itimie andiko ambalo Roho Mtakatifu alisema kabla kwa kinywa cha Daudi…” Matendo 1:16

“Kwa kuwa alikuwa nabii…” Matendo 2:30

Halafu Zaburi nyingi ni unabii
Daudi aliandika Zaburi nyingi ambazo ni unabii kuhusu Yesu ,kuhusu Israel,kuhusu matukio mengi sana , mfano
Zaburi 22 ni unabii wa mateso ya Yesu
Zaburi 110 ni unabii wa Masihi kukaa mkono wa kuume wa Mungu

Huyu jamaa naweza kumuelezea asubuhi mpaka jioni ,
View attachment 3536653
Kwahiyo ukisema kwa roho mtakatifu tiar umekuwa nabii?

Daud alikuwa Mfalme pekee wala siyo nabii, biblia takatifu inaonesha wazi kabisa kuwa pale MWENYEZI MUNGU alipokuwa anataka kuwasiliana na Mfalme daud alituma manabii wake

Mfano samwel wa pili 12 na samwel wa pili sura ya 7 na samwel wa pili sura 24 aya ya 11
 
Daudi ni mfalme na nabii.
Sasa jibu maswali yangu
Ndugu yangu usiingie mkenge daud siyo Mfalme na nabii balii baud ni Mfalme pekee

MWENYEZI MUNGU alimwinua nabii samwel aendee katika familia ya yese maana katika familia hiyo alijipatia Mfalme wala siyo nabii samweli wa kwanza sura ya 16

Penda kujisomea biblia kaka acha kupelekwa pelekwa

Hata MWENYEZI MUNGU alipokuwa anataka kuongea na daudi aliwatumia manabii wake kama nabii nathani 2samwel 12 na 2 samwel 7 pamoja na nabii gadi 2samwel 24:11
 
Kwahiyo ukisema kwa roho mtakatifu tiar umekuwa nabii?

Daud alikuwa Mfalme pekee wala siyo nabii, biblia takatifu inaonesha wazi kabisa kuwa pale MWENYEZI MUNGU alipokuwa anataka kuwasiliana na Mfalme daud alituma manabii wake

Mfano samwel wa pili 12 na samwel wa pili sura ya 7 na samwel wa pili sura 24 aya ya 11
Alikuwa na manabii ni kweli ,lakini pia alikuwa nae pia ni nabii ,

Kuna nabii nyingi katabiri

Biblia inamuita ni nabii

Matendo ya Mitume 2:29–30
“Ndugu zangu, naweza kusema kwa ujasiri juu ya baba yetu Daudi kwamba alikufa na akazikwa, na kaburi lake li kwetu hata leo. Basi kwa kuwa alikuwa nabii, naye alijua ya kwamba Mungu alimwapia kwa kiapo...”
 
Kwahiyo ukisema kwa roho mtakatifu tiar umekuwa nabii?

Daud alikuwa Mfalme pekee wala siyo nabii, biblia takatifu inaonesha wazi kabisa kuwa pale MWENYEZI MUNGU alipokuwa anataka kuwasiliana na Mfalme daud alituma manabii wake

Mfano samwel wa pili 12 na samwel wa pili sura ya 7 na samwel wa pili sura 24 aya ya 11
Nyinyi ndo hamsomi hata Biblia yenu ila wajuaji kinoma🤣🤣🤣
Kwenye Biblia kuna sehemu wameandika Daudi alikuwa Nabii
 
Asante, hapo umemaanisha asilimia 70% ya Zaburi aliandika Daudi au Daudi aliandika Zaburi 73 kati ya 150 ambayo ni almost 50%?
Namaanisha karibu asilimia 70 ya zaburi kaziandika Daudi, kifupi yeye ndiye kaandika Zaburi nyingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom