Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Maswali yangu yamekushinda ? Unaogopa ?

Safi nilijua hayo maswali huwezi kujibu hata aje sheikh

Hii mada ngumu kwako

Ukitaka hiyo mada yako anzisha Uzi nitagi ,nimekupa masharti hayo ,siwezi kubadili mada hapa ,

Najua unaogopa sana
Swali lako la kitoto sana na kwa kuwa umesema sio kwa maandiko ngoja nikujibu
 
Swali lako la kitoto sana na kwa kuwa umesema sio kwa maandiko ngoja nikujibu
Hilo ni neno ,unatakiwa Ulete maana yake ,kutoka kwa wenye lugha Yao

Tujue huyu mudy alikuwa anapachikiwa maneno hajui hata maana yake

Halafu nimekuuliza Daudi anayezungumziwa hapa ndio huyo wa mudy?

Unakwepa kwepa nini?
 
Na ukae kwa kutulia nikuulize maswali kuhusu hiyo maana
Zaburi ni mkusanyo wa nyimbo, sala, na mashairi 150 ya kale ya Kiebrania yaliyomo katika Biblia, yanayolenga kumsifu, kumshukuru, na kumuomba Mungu. Asili yake ni vitabu vya kidini vya Israeli ya kale, huku vingi vikitungwa na Mfalme Daudi, na jina likitokana na neno la Kigiriki psalmos, linalomaanisha "wimbo unaoimbwa kwa ala ya nyuzi".
Maana na Asili ya Zaburi:
Maana: Neno "Zaburi" linatokana na mzizi wa Kigiriki psallein, kumaanisha kupiga ala ya nyuzi (kinubi), hivyo ni kitabu cha nyimbo za kiroho na maombi. Katika muktadha wa kidini, ni maandiko yanayomwelekeza binadamu kumkumbuka Mungu, kutulia katika enzi yake, na kushangilia.
Asili: Kitabu hiki kina asili ya Kiyahudi na kiliandikwa katika nyakati tofauti za historia ya Israeli. Mfalme Daudi anahusishwa na utunzi wa zaburi nyingi (zaidi ya 73), huku wengine wakiwa ni pamoja na wana wa Kora, Asafu, na Sulemani.
Maudhui: Zaburi zimeainishwa katika aina mbalimbali kama vile shukrani, maombolezo, hekima, kifalme, na sifa. Katika imani ya Kiislamu, Zaburi inajulikana kama kitabu kitukufu kilichoshushwa kwa Nabii Daudi (Dawood).


Haya maana ni hiyo kwa mujibu wa Google
Hilo ni neno ,unatakiwa Ulete maana yake ,kutoka kwa wenye lugha Yao

Tujue huyu mudy alikuwa anapachikiwa maneno hajui hata maana yake

Halafu nimekuuliza Daudi anayezungumziwa hapa ndio huyo wa mudy?

Unakwepa kwepa nini?
Mimi nilikuwa namzungumzia Daudi wa kwenye Biblia usichoelewa nini?
 
Zaburi ni mkusanyo wa nyimbo, sala, na mashairi 150 ya kale ya Kiebrania yaliyomo katika Biblia, yanayolenga kumsifu, kumshukuru, na kumuomba Mungu. Asili yake ni vitabu vya kidini vya Israeli ya kale, huku vingi vikitungwa na Mfalme Daudi, na jina likitokana na neno la Kigiriki psalmos, linalomaanisha "wimbo unaoimbwa kwa ala ya nyuzi".
Maana na Asili ya Zaburi:
Maana: Neno "Zaburi" linatokana na mzizi wa Kigiriki psallein, kumaanisha kupiga ala ya nyuzi (kinubi), hivyo ni kitabu cha nyimbo za kiroho na maombi. Katika muktadha wa kidini, ni maandiko yanayomwelekeza binadamu kumkumbuka Mungu, kutulia katika enzi yake, na kushangilia.
Asili: Kitabu hiki kina asili ya Kiyahudi na kiliandikwa katika nyakati tofauti za historia ya Israeli. Mfalme Daudi anahusishwa na utunzi wa zaburi nyingi (zaidi ya 73), huku wengine wakiwa ni pamoja na wana wa Kora, Asafu, na Sulemani.
Maudhui: Zaburi zimeainishwa katika aina mbalimbali kama vile shukrani, maombolezo, hekima, kifalme, na sifa. Katika imani ya Kiislamu, Zaburi inajulikana kama kitabu kitukufu kilichoshushwa kwa Nabii Daudi (Dawood).


Haya maana ni hiyo kwa mujibu wa Google

Mimi nilikuwa namzungumzia Daudi wa kwenye Biblia usichoelewa nini?
Kwahiyo NENO ZABURI kwenye Quran maana yake ni hiyo uliyotoa hapo kutoka GOOGLE?

Umesema unamzungumzia Daudi wa biblia ,Safi, kwahiyo kumbe Kuna Daudi wa Quran ?


NAOMBA MAJIBU
 
Zaburi ni mkusanyo wa nyimbo, sala, na mashairi 150 ya kale ya Kiebrania yaliyomo katika Biblia, yanayolenga kumsifu, kumshukuru, na kumuomba Mungu. Asili yake ni vitabu vya kidini vya Israeli ya kale, huku vingi vikitungwa na Mfalme Daudi, na jina likitokana na neno la Kigiriki psalmos, linalomaanisha "wimbo unaoimbwa kwa ala ya nyuzi".
Maana na Asili ya Zaburi:
Maana: Neno "Zaburi" linatokana na mzizi wa Kigiriki psallein, kumaanisha kupiga ala ya nyuzi (kinubi), hivyo ni kitabu cha nyimbo za kiroho na maombi. Katika muktadha wa kidini, ni maandiko yanayomwelekeza binadamu kumkumbuka Mungu, kutulia katika enzi yake, na kushangilia.
Asili: Kitabu hiki kina asili ya Kiyahudi na kiliandikwa katika nyakati tofauti za historia ya Israeli. Mfalme Daudi anahusishwa na utunzi wa zaburi nyingi (zaidi ya 73), huku wengine wakiwa ni pamoja na wana wa Kora, Asafu, na Sulemani.
Maudhui: Zaburi zimeainishwa katika aina mbalimbali kama vile shukrani, maombolezo, hekima, kifalme, na sifa. Katika imani ya Kiislamu, Zaburi inajulikana kama kitabu kitukufu kilichoshushwa kwa Nabii Daudi (Dawood).


Haya maana ni hiyo kwa mujibu wa Google

Mimi nilikuwa namzungumzia Daudi wa kwenye Biblia usichoelewa nini?
Kwahiyo Maana ya Neno Zaburi aliloweka muhamad kwenye Quran ni nini?

Kama Zaburi ni nyimbo za kusifu

Kwa nini Uislamu unakataza au kuharamisha muziki na nyimbo?

Kwa nini Mtume Daudi apewe kitabu cha nyimbo, halafu dini ya mwisho ipige vita nyimbo?

AU NDIO KAMA ULIVYOSEMA DAUDI WA QURAN NI TOFAUTI NA DAUDI WA BIBLIA?
 
Umesema hutaki maana ya kwenye maandiko na ukaniruhusu nikagoogle sasa mbona milio tena???
Nimekuuliza swali ,ujibu utajua wewe utatoa wapi

Umeleta maana nakugonga maswali unaanza porojo

Hivi kwanini waislamu hamuwezi kutetea hiyo dini yenu ?

Aliyeleta maana ya hilo neno Zaburi nani?

Kwanini unakimbia maswali sasa?

Kwahiyo muhamad kawapachikia neno ZABURI kwenye QURAN ila hamjui maana yake nini?
 
Daudi huyu jamaa alikuwa hatari sana,alikuwa mbabe sana wa vita ,hajawahi kushindwa vita ,namfananisha na Netenyau ubishi wake ,anapenda sana vita

Jina Daudi Lina maana nyingine tofauti na ile ya kihebrania ,anaitwa pia man of War

Huyu jamaa alipendwa sana na Mungu sababu moja tu, hakuwa mnafiki ,

Mungu kampa Hadi mtaa huko mbinguni, ukisikia Sayuni ,basi huo ni mtaa wa Daudi huko mbinguni

Alikuwa nabii pia mfalme

Biblia inaonyesha Daudi kama Mfalme wa Israeli, lakini pia kama nabii kwa sababu Mungu alinena naye moja kwa moja na kupitia yeye akatoa unabii.

Yesu alimuita pia alimuita Daudi nabii

Yesu alisema

“Daudi mwenyewe alisema kwa Roho Mtakatifu…” (Marko 12:36)

Hii inaonyesha Daudi alinena kwa uongozi wa Roho wa Mungu, kitu kinachoonesha ni karama ya unabii.

Mitume pia walimwita Daudi nabii Petro alisema
“Ndugu, lazima itimie andiko ambalo Roho Mtakatifu alisema kabla kwa kinywa cha Daudi…” Matendo 1:16

“Kwa kuwa alikuwa nabii…” Matendo 2:30

Halafu Zaburi nyingi ni unabii
Daudi aliandika Zaburi nyingi ambazo ni unabii kuhusu Yesu ,kuhusu Israel,kuhusu matukio mengi sana , mfano
Zaburi 22 ni unabii wa mateso ya Yesu
Zaburi 110 ni unabii wa Masihi kukaa mkono wa kuume wa Mungu

Huyu jamaa naweza kumuelezea asubuhi mpaka jioni ,
View attachment 3536653
Daudi alikua Genious mwenye kila aina ya ufundi na vipaji yaani jamaa kila sector alifiti hadi tabia mbaya na uhuni ila nacho mwonea wivu alikua kipenzi cha Mungu mno,yaani Mungu anampenda Daudi kiasi kwamba hata Ibilisi ampelekee umbeya mbaya Mungu kumhusu Mungu atapuuzia jamaa alikua kipanga haswa hadi raha,
Hivi hamis77 unajua raha ya kua na toto genius,tundu lenye matukio mataani ila ni kipanga hamna mfano?
Ndio Daudi huyo!
Watu mnachekesha hatariii, ko Daud alipendwa na Mungu kuliko Mtoto Yesu uzao wake??
😂😂😂😂😂😂😂
Unajisahaulisha sana hujui nafasi ya Yesu ndio hiyo hiyo ya Babaye katika asili?
Utasemaje nafasi ya Yesu kupendwa wakati wa Daudi wakati bado hajaexist?
 
Umesema hutaki maana ya kwenye maandiko na ukaniruhusu nikagoogle sasa mbona milio tena???
Nimekuuliza swali ,ujibu utajua wewe utatoa wapi

Umeleta maana nakugonga maswali unaanza porojo

Hivi kwanini waislamu hamuwezi kutetea hiyo dini yenu ?

Aliyeleta maana ya hilo neno Zaburi nani?

Kwanini unakimbia maswali sasa?

Kwahiyo muhamad kawapachikia neno ZABURI kwenye QURAN ila hamjui maana yake nini?
 
Na Hapa ndio mimi siielewagi Quran.
Quran inasema Zaburi imeshushwa kama wahyi kwa Daudi.

😁😁😁😁 ila hoja yao ni ile ile.
vitabu vya allah vimechakachuliwa. (Allah ameshindwa kuilinda Zaburi )
Watasema Zaburi iliyoshushwa kwa Daud sio hii tuliyonayo sasa.

Na ukiwaambia wakuonyeshe Zabur halisi kutoka kwa allah. Hawana. 😎😎😎.

Shem Seran hivi unawaelewa
Hawa majamaa. Yaan kwao Kila kitu kimeshushwa.
Au msamiati wa "kushushwa" tunauelewa vibaya.
Na yenyewe ilishushwa kwenye mapango au..vipi aliyeshushiwa hakujua kusoma wala kuandika?
 
Oya sio poa ,Ujue ukimsoma Daudi na Sauli, mwenye madhambi mengi ni Daudi, Sauli kosa lake ilikuwa kwenda kwa mganga yule wa endori

Daudi alikuwa muhuni ,mtu wa totozi, halafu anajadiliana na Mungu kama rafiki yake ,alimfanya Mungu rafiki yake ,

Ukimsoma sana Utagundua kilichomfanya awe rafiki wa Mungu ,hakuwa mnafiki ,

Akikosea akiambiwa hatafuti visingizio ndicho kilichofanya apendwe sana ,

Alikuwa mwepesi sana wa kutubu

Alikuwa na vipaji vingi ,jamaa alizijua natural law vizuri sana ,alijua ili Mungu akukubali ufanye nini

Alikuwa jasusi ,aliwahi kukaa kwa wafilist kwa muda mrefu akiwapeleleza na hawakimjua

Kuhusu kutunga nyimbo alijua sana,kupiga ala za muziki alikuwa fundi

Napenda sehemu moja ,alipozini na mke wa Uria ,na kuua ,kafatwa na nabii Nathani, sasa Nathani kaanzia mbali kumwambia maana ilikuwa hatari sana kumwambia directly

Halafu Daudi anapojua ni yeye anasemwa wala habishi ,anakubali fasta ,anatubu anaandika Zaburi ya 51 ,

Sasa niliposhangaa jamaa alikuwa rafiki wa Mungu, wanajadili na Mungu adhabu ya kupewa

Mungu anampa option 3 ,jamaa anachagua kupigwa na Mungu anakwambia Mungu ni mwenye huruma ,atakuchapa ila atakuonea huruma tu 🤣

Kabla ya kufa anampa Suleiman list ya maadui zake ,anamwambia Suleiman awamalize

Kuna tukio lake moja nalipenda sana ,napenda sana watawala wa Leo wajifunze kwa Daudi aisee,

Kama unataka kuwa kiongoz Bora msome Daudi ,

Siku moja ndugu wa Sauli walikuwa wanamtukana sana Daudi akiwa na majemedari wake Wana wa Seruya ambao ni watoto wa dada yake

Wale majemedari( Wana wa Seruya) wakamwambia Daudi inakuwaje huyu mbwa anakutukana hivi, turuhusu tukakuletee vichwa vyao .

Daudi akawajibu " waache wanitukane maana huenda Mungu amewaruhusu kwa kufanya hivo Mungu atanilipia MEMA"

Kuna funzo kubwa sana hapo

Daudi mwana wa Yese Mbethelehem anabaki moja ya watu ambao Dunia iliwapata
View attachment 3536763
Naam hakika Daudi ni kipenzi cha Mungu unemchambua vema kabisa mwamba!
 
Nimekuuliza swali ,ujibu utajua wewe utatoa wapi

Umeleta maana nakugonga maswali unaanza porojo

Hivi kwanini waislamu hamuwezi kutetea hiyo dini yenu ?

Aliyeleta maana ya hilo neno Zaburi nani?

Kwanini unakimbia maswali sasa?

Kwahiyo muhamad kawapachikia neno ZABURI kwenye QURAN ila hamjui maana yake nini?
Umeniuliza maana ya neno Zabur ukaniruhusu nikagoogle nimekuletea kosa langu liko wapi?

Nasubiri uniulize maswali kutokana na maana niliyokuletea kama ulivyoahidi
 
MASWALI YAMEKUWA MAGUMU?🤣🤣

HII DINI KUJITETEA HAIWEZI ,NDIO MAANA MNAKIMBILIAGA KWENYE BIBLIA
Naona nimekupiga za uso🤣🤣

Si umetaka Google ukasema sio kwenye maandiko au uliogopa na mimi nisikuulize maana ya Biblia🤣🤣🤣
 
Daudi alikua Genious mwenye kila aina ya ufundi na vipaji yaani jamaa kila sector alifiti hadi tabia mbaya na uhuni ila nacho mwonea wivu alikua kipenzi cha Mungu mno,yaani Mungu anampenda Daudi kiasi kwamba hata Ibilisi ampelekee umbeya mbaya Mungu kumhusu Mungu atapuuzia jamaa alikua kipanga haswa hadi raha,
Hivi hamis77 unajua raha ya kua na toto genius,tundu lenye matukio mataani ila ni kipanga hamna mfano?
Ndio Daudi huyo!

Unajisahaulisha sana hujui nafasi ya Yesu ndio hiyo hiyo ya Babaye katika asili?
Utasemaje nafasi ya Yesu kupendwa wakati wa Daudi wakati bado hajaexist?
Niliuliza tyuu. Nipate kufahamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom