Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Daudi ni mfalme na nabii.
Sasa jibu maswali yangu
Kabla ya kujibu maswali yako kwa nini ulishangaa kusikia Waislamu wanasema Daudi ni Nabii na wakati hata kwenye Biblia imeandikwa?
Ina maana husomi Biblia wewe bali unapenda kukurupuka tu au?
🤣🤣🤣
 
Jagina Covax ukishatupa Ilimu kuhusu Zaburi.

1. Naomba unijibu je unasadiki kuwa Asafu, wana wa Kora, Suleiman pamoja na Daudi ndio walioandika Zaburi?.

2. Unaweza kutuletea Zaburi asilia ambayo allah alimshushia Daud ambayo haijachakachuliwa?.
Au ni hii hii tunayoisoma leo.

Je, Uislamu unaamini Zaburi ziliandikwa na Asafu, wana wa Kora, Suleiman n.k.?
JIBU : Hapana.
Uislamu unaamini Zabur ilishushwa na Allah kwa Nabii Daudi (عليه السلام) pekee, si watu wengi.


Je, Zabur asilia aliyoshushiwa Daudi ipo leo?
JIBU : Hapana.
Zabur asilia haikuhifadhiwa, ilibadilishwa na kuchanganywa.
 
Sasa hapo hoja yako ipo wapi?
Zabur alipewa Daud kama wahyi na sasa hivi haipo simple tu

😎😎😎😎😎

Zabur ilikuwepo miaka 600 kabla ya Mtume. Na ni hiyo hiyo tunayoisoma leo.

Sawa bro. Kama sio hiyo.je iko wap?.
Ilikuwa ina nini ndan yake?.

2. Hebu niambie maana ya "kushushwa" unavyoelewa wewe.
 
Waandishi wa kitabu cha zaburi

Zaburi ni nini katika Biblia
Zaburi maana yake ni nyimbo takatifu. Hivyo kitabu cha Zaburi katika biblia, ni kitabu cha nyimbo takatifu. Zimeitwa nyimbo takatifu kwa sababu zimetungwa kwa lengo la kumrudisha mtu kwa muumba wake, kwa njia hiyo ya kusifu na kumwimbia. Pia, pamoja na kwamba zilikuwa ni nyimbo, lakini ndani yake pia zilikuwa zimejaa unabii wa mambo yanayokuja.

Katika agano la kale nyimbo hizo ziliimbwa na Wayahudi (Waisraeli) wakati wa kuabudu katika masinagogi yao. Hata leo, wakristo wanatumia baadhi ya mashairi hayo kutengeneza nyimbo nzuri za kumwimbia Mungu, kumshukuru na kumsifu.


Kitabu cha Zaburi katika biblia kwa sehemu kubwa (50%) kimeandikwa na Mfalme Daudi. Biblia inasema kuwa Daudi alianza kumwimbia Mungu tangu akiwa mdogo (1Samweli 16:16)

Kwa kifupi, kitabu cha Zaburi ni mkusanyiko wa maombi, mashairi na nyimbo ambazo zinalenga mawazo ya yule anayemuabudu Mungu, katika sifa na kuabudu. Sehemu za kitabu hiki zilitumika kama nyimbo katika ibada ya Israeli ya kale. Urithi wa kimuziki wa zaburi umeoneshwa na mada yake inatokana na neno la Kigiriki ambalo linamaanisha “wimbo unaoimbwa na vyombo vya kimuziki”.

Zaburi nyingi za kibinafsi zinahusisha sifa ya Mungu kwa ajili ya uwezo wake na wema wake, kwa ajili ya uumbaji wake wa ulimwengu, na kwa ajili ya matendo yake ya awali ya ukombozi kwa ajili ya Israeli. Wanawazia ulimwengu ambamo kila mtu na kila kitu kitamsifu Mungu, na Mungu naye atasikia maombi yao na kujibu.

Kitabu cha Zaburi kimegawanywa katika vitabu vitano.
Zaburi ya 1-2 ni za utangulizi
Zaburi imepangwa kama ifuatavyo:
Kitabu cha 1: 3-41
Kitabu cha 2: 42-72
Kitabu cha 3: 73-89
Kitabu cha 4: 90-106
Kitabu cha 5: 107-150

Tangu nyakati za kale, yasemekana kuwa kuhani Ezra ndiye aliyepanga kitabu cha Zaburi jinsi kilivyo leo.

Kitabu cha Zaburi kina jumla ya zaburi 150.
Kitabu hicho kimeandikwa na zaidi ya watu 7.

Waandishi wa kitabu cha Zaburi wameoneshwa hapo chini:
1. Mfalme Daudi: aliandika jumla ya zaburi 75 (50% ya zaburi zote 150)
Zaburi alizoandika Daudi ni zifuatazo:
2-9, 11-32, 34-41, 51-65, 68-70, 86, 95, 101, 103, 108-110, 122, 124, 131, 133, 138-145
2. Mfalme Sulemani: zaburi 2 (72 na127)
3. Nabii Musa: zaburi 1 (90)
4. Asafu: kiongozi wa sifa, muimbaji, muonaji, anayesimama mbele ya sanduku la Mungu daima kumsifu Mungu: zaburi 12 (50, 73-83)
5. Wana wa Kora: zaburi 11 (42, 44-49, 84-85, 87)
6. Hemani: mtu wa hekima: zaburi 1 (88)
7. Ethani: mtu wa hekima: zaburi 1 (89)
8. Wasiotambulika: jumla ya zaburi 48

Zaburi 48 ambazo waandishi wake hawajulikani ni kama ifuatavyo:
1, 10, 33, 43, 66-67, 71, 87, 91-94, 96-99, 100, 102, 104-107,
111-121, 123, 125-126, 128-130, 132, 134-137, 146-150

Utaona kuwa kuna zaburi 48 ambazo waandishi wake hawajulikani. Aidha, haijulikani wana wa Kora walioandika zaburi 11, walikuwa wangapi. Kama ingejulikana, kungekuwa na zaidi ya waandishi 7.

Ukiacha Sulemani na Musa, waandishi wengine wote walikuwa makuhani au Walawi ambao walihusika na kutoa muziki kwenye ibada madhabahuni wakati wa utawala wa Daudi.

Daudi aliyeandika zaburi 75 (50%) kati ya zaburi 150 ni nani

Daudi alikuwa ni Mfalme na mwanamuziki wa kipekee kwa kuwa alikuwa mwimbaji na pia mtungaji wa mashairi. Alipokuwa mvulana, alikuwa mchungaji na akili yake yenye utambuzi na ufahamu wa hali ya juu ilihifadhi habari nyingi kuhusu maeneo ya malisho ya Bethlehemu.
Alikuwa amefurahia kusikia sauti ya vibubujiko vya maji na sauti ya wana-kondoo wanapojibu anapowaita. Akivutiwa na umaridadi wa sauti hizo zilizomzunguka, alichukua filimbi na kinubi na kuanza kumsifu Mungu. Bila shaka ilipendeza kusikia muziki wa Daudi alipoimba Zaburi ya 23.

Kwa sababu ya utu wake mchangamfu, Daudi alipenda nyimbo zenye furaha zinazochangamsha na miziki yenye midundo yenye kupendeza.

Kwa ujumla, Daudi alikuwa msanii mwenye kipawa, kwa kuwa alikuwa mtengenezaji wa ala za muziki, mshairi, mtungaji, na mtumbuizaji. Daudi alifanya mambo makubwa hata zaidi.

Daudi hukumbukwa kwa kuwa yeye ndiye aliyepanga uimbaji na muziki katika nyumba ya Yehova. Alikuwa na waimbaji na wanamuziki 4,000, waliosimamiwa na Asafu, Hemani na Ethani.

Daudi aliwaweka chini ya wataalam mbalimbali 288 ambao waliwafunza na kuwaongoza. Wanamuziki na waimbaji hao 4,000 walikuwepo wakati wa sherehe tatu kubwa zilizofanywa kila mwaka. Hebu piga picha, kwaya hiyo kubwa yenye kuvutia (1Mambo ya Nyakati 23:5; 25:1, 6-7). Muziki wa Daudi ulioongozwa na roho takatifu, ulikuwa bora katika njia.

Jambo tunaloweza kujifunza ni kwamba Zaburi hizi zilizoandikwa na Daudi, zimewezwa kutukuzwa na Mungu mwenyewe mpaka leo, kwa sababu zimejaa maneno ya sifa kwa Mungu na ya kumtukuza sana.

Zaburi kwa ujumla
1. Zaburi ni aina ya sala iliyotungwa kama shairi au wimbo. Zaburi zinafundisha jinsi binadamu awezavyo kuzungumza na Mwenyezi Mungu. Kwa hiyo kitabu cha Zaburi kinatumiwa na Wakristo kama kitabu cha sala (maombi).
2. Masomo kwenye zaburi hasa, ni sifa za Mungu, shukrani, maombolezo, huzuni na toba, furaha na imani, elimu ya kidini, na ombi la ushindi dhidi ya maadui wasiomcha Mungu.
3. Zaburi imeandikwa na watu 7. Hata hivyo, kuna zaburi 48 ambazo waandishi wake
hawajulikani. Hivyo, kama wangejulikana, kungekuwa na zaidi ya waandishi 7.
Lakin ni kitabu cha allah 😁😁😁 kwanini wanakibagua.


Zabur ni kitabu cha mbinguni alichopewa Nabii Daudi (a.s.) peke yake, kama Qur’ani inavyothibitisha (Qur’an 4:163).
Zaburi ya Biblia ya leo si Zabur halisi, kwa sababu imeandikwa na watu wengi, wengine hawajulikani, jambo linalopingana na wahyi wa Mungu.
Kitabu cha wahyi hakiandikwi na makuhani, waimbaji au wanamuziki, bali hupokelewa na Nabii mmoja kupitia wahyi.
Kudai kuwa Ezra au watu wa baadaye walipanga Zaburi ni dalili ya mabadiliko (tahrif) ya maandiko ya awali.
Daudi (a.s.) katika Uislamu ni Nabii na Mfalme mcha Mungu, si msanii wa burudani; sauti yake nzuri ilikuwa kwa tasbihi, si tamasha.
Qur’ani pekee ndiyo kitabu kilichohifadhiwa na Mwenyezi Mungu bila kubadilishwa (Qur’an 15:9).

Kwa kumalizia :Zaburi ya Biblia ni mkusanyiko wa maandishi ya wanadamu, si Zabur ya kweli aliyoteremshiwa Nabii Daudi (a.s.).
 
😎😎😎😎😎

Zabur ilikuwepo miaka 600 kabla ya Mtume. Na ni hiyo hiyo tunayoisoma leo.

Sawa bro. Kama sio hiyo.je iko wap?.
Ilikuwa ina nini ndan yake?.

2. Hebu niambie maana ya "kushushwa" unavyoelewa wewe.

Kuhusu Zabur kabla ya Mtume (s.a.w.) na ile tunayoisoma leo​

  • Zabur halisi iliteremshwa kwa Nabii Daudi (a.s.) karibu miaka 1000–1005 KK. Huu ni wahyi wa Mungu, sio kitabu kilichoandikwa na wanadamu.
  • Zaburi ya Biblia ya leo si ile ile halisi:

    Imekusanywa na kuandikwa na watu wengi, baadhi hawajulikani.
    Imepangwa na wahakiki wa kibinadamu (kama Ezra) karne nyingi baada ya Daudi.
    Yaliyomo ndani yake ni mchanganyiko wa nyimbo, sala, mashairi, historia, na tafsiri za wanadamu, si maneno yote ya asili ya Mungu.

Kwa ufupi: Zabur ya kweli ilikuwapo kabla ya Mtume (s.a.w.), lakini ile tunayoisoma Biblia leo imebadilishwa na kuongezwa maneno ya wanadamu.

Kuhusu maana ya “kushushwa” (wahyi)​

Katika Qur’ani, neno la Kiarabu “unzil” (وشُرِفْ/أُنزل) linamaanisha:

  • Kuchukuliwa kutoka Allah na kuletwa kwa Nabii
  • Sio kigezo cha kisiasa au cha kibinadamu
  • Ni wahyi wa moja kwa moja ulihifadhiwa kwa usahihi
  • Mfano:

    “Na tulimpa Daudi Zabur.” (Al-Israa 17:55)
    Hapa “tulimpa” au “kushushwa” ni sawasawa na Mungu alimfunulia maneno ya kitakatifu kwa Daudi.

Kwa ufupi: “Kushushwa” haimaanishi mtu kuandika kwa hiari yake, bali Mungu kupeleka maneno yake kwa Nabii.
 
Je, Uislamu unaamini Zaburi ziliandikwa na Asafu, wana wa Kora, Suleiman n.k.?
JIBU : Hapana.
Uislamu unaamini Zabur ilishushwa na Allah kwa Nabii Daudi (عليه السلام) pekee, si watu wengi.


Je, Zabur asilia aliyoshushiwa Daudi ipo leo?
JIBU : Hapana.
Zabur asilia haikuhifadhiwa, ilibadilishwa na kuchanganywa.

Ni imani ya Kiislam.

Na iman ya Kikristo ina amini Zabur ni ile ile na hao waliotajwa wamehusika kwenye tungo za hizo Zaburi.

Ila inashangaza sana. Ukute watu wa dini fulan wana kitabu chao. Ww ujimilikishe . Usem eni chako pia. Wao wakaaa kimya.

Alaf baadae unasema, ila kitabu hakiko sawa. Na ukiambiwa hakiko sawa kivipi. Unasema kimechakachuliwa sio maneno ya allah.
Haya unaambiwa Toa basi ushahidi kuwa allah alishusha kilikuwa hivi na sasahivi kiko hivi.

Hauna ushahidi.

Ni ajab sana . Na unaweza ukahisi mtu hana akili anayesema hivyo.
 

Kuhusu Zabur kabla ya Mtume (s.a.w.) na ile tunayoisoma leo​

  • Zabur halisi iliteremshwa kwa Nabii Daudi (a.s.) karibu miaka 1000–1005 KK. Huu ni wahyi wa Mungu, sio kitabu kilichoandikwa na wanadamu.
  • Zaburi ya Biblia ya leo si ile ile halisi:

    Imekusanywa na kuandikwa na watu wengi, baadhi hawajulikani.
    Imepangwa na wahakiki wa kibinadamu (kama Ezra) karne nyingi baada ya Daudi.
    Yaliyomo ndani yake ni mchanganyiko wa nyimbo, sala, mashairi, historia, na tafsiri za wanadamu, si maneno yote ya asili ya Mungu.

Kwa ufupi: Zabur ya kweli ilikuwapo kabla ya Mtume (s.a.w.), lakini ile tunayoisoma Biblia leo imebadilishwa na kuongezwa maneno ya wanadamu.

Kuhusu maana ya “kushushwa” (wahyi)​

Katika Qur’ani, neno la Kiarabu “unzil” (وشُرِفْ/أُنزل) linamaanisha:

  • Kuchukuliwa kutoka Allah na kuletwa kwa Nabii
  • Sio kigezo cha kisiasa au cha kibinadamu
  • Ni wahyi wa moja kwa moja ulihifadhiwa kwa usahihi
  • Mfano:

    “Na tulimpa Daudi Zabur.” (Al-Israa 17:55)
    Hapa “tulimpa” au “kushushwa” ni sawasawa na Mungu alimfunulia maneno ya kitakatifu kwa Daudi.

Kwa ufupi: “Kushushwa” haimaanishi mtu kuandika kwa hiari yake, bali Mungu kupeleka maneno yake kwa Nabii.

Sawa.

Je Huo wahyi ulikuwa unasemaje?.
 
😎😎😎😎😎

Zabur ilikuwepo miaka 600 kabla ya Mtume. Na ni hiyo hiyo tunayoisoma leo.

Sawa bro. Kama sio hiyo.je iko wap?.
Ilikuwa ina nini ndan yake?.

2. Hebu niambie maana ya "kushushwa" unavyoelewa wewe.
Hii Zabur yenu sio Zabur yetu hivyo tu kwa ufupi

Kushushwa maana yake kutoka juu
 
Ni imani ya Kiislam.

Na iman ya Kikristo ina amini Zabur ni ile ile na hao waliotajwa wamehusika kwenye tungo za hizo Zaburi.

Ila inashangaza sana. Ukute watu wa dini fulan wana kitabu chao. Ww ujimilikishe . Usem eni chako pia. Wao wakaaa kimya.

Alaf baadae unasema, ila kitabu hakiko sawa. Na ukiambiwa hakiko sawa kivipi. Unasema kimechakachuliwa sio maneno ya allah.
Haya unaambiwa Toa basi ushahidi kuwa allah alishusha kilikuwa hivi na sasahivi kiko hivi.

Hauna ushahidi.

Ni ajab sana . Na unaweza ukahisi mtu hana akili anayesema hivyo.

Kuhusu Zabur na Biblia ya leo​

Qur’ani inasema wazi:

“Na tulimpa Daudi Zabur.” (An-Nisaa 4:163)

Hii inamaanisha Zabur iliyo sahihi na ya asili ilipewa Daudi (a.s.) peke yake na ilikuwa wahyi wa Mungu.
  • Biblia ya leo ina waandishi wengi, baadhi hawajulikani, na baadhi walikuwa makuhani, waimbaji, walimu, si Nabii Daudi peke yake. Hivyo haifichi asili ya Zabur.
  • Kwa maneno mengine: Biblia ni mchanganyiko wa maandiko ya kiroho, historia, na muziki yaliyoandikwa na wanadamu, si wahyi wa moja kwa moja wa Mungu.
  • Hii ni tofauti na mtazamo wa Kiislamu.

Hoja muhimu:

Zabur halisi ilikuwa wahyi pekee.
Biblia ya leo ni uhariri wa kibinadamu wa maandiko hayo.
Hii si kupinga Imani ya Kikristo, bali kueleza ukweli wa kihistoria na wa kiimani.

Kuhusu “ushahidi wa sasa”​

Mwanafunzi wa Biblia anaweza kusema:

“Uko na ushahidi gani kuwa ile ya Daudi si ile tunayoisoma leo?”

Hoja za Kiislamu ni za msingi:

  1. Biblia yenyewe inatambua waandishi wengi (zaidi ya 7, baadhi hawajulikani). Hii inatofautiana na Qur’ani inayosema: Zabur alipewa Daudi peke yake.
  2. Historia inaonyesha mpangilio wa kitabu wa sasa wa Biblia umeratibiwa karne nyingi baada ya Daudi, na Ezra na wengine waliwekwa kama wahariri.
  3. Tafsiri, uhariri, na mchanganyiko wa maandiko yamechangia kuwa maneno ya asili ya Mungu hayaonekani kama yalivyo.
Kwa ufupi: ushahidi hauna haja ya maneno ya kisasa ya mtu, maana Biblia yenyewe inaonyesha mchanganyiko wa wanadamu.

Kuhusu hoja ya kimaadili na hisia​

  • Watu wengi wanadhani Wakristo wana “haki miliki ya” Zabur, Lakini, kwa Kiislamu Zabur ni ya Mungu, si ya mtu.
  • Hivyo, kusema Biblia ya leo si sawa na Zabur halisi si kudharaulisha wengine, bali kuweka ukweli wa kihistoria na wa kiimani.
  • Kujibu kwa maneno ya hisia:

“Hakuna mtu anayemiliki maneno ya Allah. Kitabu cha wahyi alipewa Daudi, na maneno hayo yalihifadhiwa kwa Nabii, si kuandikwa na wanadamu wa baadaye. Biblia ya leo ni mchanganyiko wa maandiko ya wanadamu.”
 

Kuhusu Zabur na Biblia ya leo​

Qur’ani inasema wazi:

“Na tulimpa Daudi Zabur.” (An-Nisaa 4:163)

Hii inamaanisha Zabur iliyo sahihi na ya asili ilipewa Daudi (a.s.) peke yake na ilikuwa wahyi wa Mungu.
  • Biblia ya leo ina waandishi wengi, baadhi hawajulikani, na baadhi walikuwa makuhani, waimbaji, walimu, si Nabii Daudi peke yake. Hivyo haifichi asili ya Zabur.
  • Kwa maneno mengine: Biblia ni mchanganyiko wa maandiko ya kiroho, historia, na muziki yaliyoandikwa na wanadamu, si wahyi wa moja kwa moja wa Mungu.
  • Hii ni tofauti na mtazamo wa Kiislamu.

Hoja muhimu:

Zabur halisi ilikuwa wahyi pekee.
Biblia ya leo ni uhariri wa kibinadamu wa maandiko hayo.
Hii si kupinga Imani ya Kikristo, bali kueleza ukweli wa kihistoria na wa kiimani.

Kuhusu “ushahidi wa sasa”​

Mwanafunzi wa Biblia anaweza kusema:



Hoja za Kiislamu ni za msingi:

  1. Biblia yenyewe inatambua waandishi wengi (zaidi ya 7, baadhi hawajulikani). Hii inatofautiana na Qur’ani inayosema: Zabur alipewa Daudi peke yake.
  2. Historia inaonyesha mpangilio wa kitabu wa sasa wa Biblia umeratibiwa karne nyingi baada ya Daudi, na Ezra na wengine waliwekwa kama wahariri.
  3. Tafsiri, uhariri, na mchanganyiko wa maandiko yamechangia kuwa maneno ya asili ya Mungu hayaonekani kama yalivyo.
Kwa ufupi: ushahidi hauna haja ya maneno ya kisasa ya mtu, maana Biblia yenyewe inaonyesha mchanganyiko wa wanadamu.

Kuhusu hoja ya kimaadili na hisia​

  • Watu wengi wanadhani Wakristo wana “haki miliki ya” Zabur, Lakini, kwa Kiislamu Zabur ni ya Mungu, si ya mtu.
  • Hivyo, kusema Biblia ya leo si sawa na Zabur halisi si kudharaulisha wengine, bali kuweka ukweli wa kihistoria na wa kiimani.
  • Kujibu kwa maneno ya hisia:

Mtaongea mnavyoongea.

Ila bila kusema ilikuwa hivi na sasahiv iko hivi ni sawa na kutwanga maji.

Wakristo tunasema iko vile vile toka enzi na enzi.
Ww unaebisha leta ushahidi
 
Allah ameshindwa kukilinda kitabu chake.

Je Kilikuwa kina nn ndan yake?.
Tumia Quran ambayo haijaguswa kujibu hii hoja.

  1. Zabur halisi aliyopewa Nabii Daudi (a.s.) ni wahyi wa Allah, na Allah anakilinda kila maneno yake.
    (Qur’an 15:9)
  2. Ndani yake ni sifa za Allah, tasbihi, mafunzo ya kimaadili, na mwongozo kwa wafuasi.
  3. Biblia ya leo si Zabur halisi; mabadiliko yaliyomo ni matokeo ya wanadamu, si kushindwa kwa Allah.

Kwa ufupi: Allah hakushindwa, . Biblia ya leo ni mchanganyiko wa maneno ya wanadamu tu.
 
  1. Zabur halisi aliyopewa Nabii Daudi (a.s.) ni wahyi wa Allah, na Allah anakilinda kila maneno yake.
    (Qur’an 15:9)
  2. Ndani yake ni sifa za Allah, tasbihi, mafunzo ya kimaadili, na mwongozo kwa wafuasi.
  3. Biblia ya leo si Zabur halisi; mabadiliko yaliyomo ni matokeo ya wanadamu, si kushindwa kwa Allah.

Kwa ufupi: Allah hakushindwa, . Biblia ya leo ni mchanganyiko wa maneno ya wanadamu tu.

Umejibu hoja kwa kutumia Quran?.

Natudia swali na kwa ufafanuzi.
Kwa kutumia Quran ambayo Haijaguswa. Nionyeshe wap imesema Zaburi iliyoko sio sawa.
Zabur halisi aliyopewa Nabii Daudi (a.s.) ni wahyi wa Allah, na Allah anakilinda kila maneno yake.
(Qur’an 15:9)

Iko wap Zaburi iliyolindwa na allah?
 
Na summarize hapa ili mfanye brainstorming vizur.

According na Quran.
Zaburi imeshushwa kama wahyi kwa Daudi na ni kitabu cha allah

1. Na Hakuna sehem kwenye Quran panaposema Zaburi imeguswa na kuingizwa maneno ya watu.

2. Hakuna ushahidi kuwa Zaburi ilikuwa hivi na sasahivi iko hivi
(Kuongezeka au kupunguza maneno).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom