Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Nyinyi ndo hamsomi hata Biblia yenu ila wajuaji kinoma🤣🤣🤣
Kwenye Biblia kuna sehemu wameandika Daudi alikuwa Nabii
NAbii ni cheo cha MWENYEZI MUNGU hivyo ili uwe nabii ni lazima MUNGU mwenyewe akutaje siyo utwaje na waarabu washenzi wa makha MWENYEZI MUNGU anamtaja daudi kama Mfalme 1samwel 16
 
Naipenda sana zaburi ya 90 zaburi ya mussa
Waliiweka baada ya kutoka utumwani Babel ,wakaiweka kwenye mpangilio wa Zaburi

Kuna ya Suleiman

Napenda sana Zaburi za kimasihi , kama Zaburi ya 22,Zaburi 110,Zaburi 45

Zile zaburi zinazomtabiri Yesu ,
 
NAbii ni cheo cha MWENYEZI MUNGU hivyo ili uwe nabii ni lazima MUNGU mwenyewe akutaje siyo utwaje na waarabu washenzi wa makha MWENYEZI MUNGU anamtaja daudi kama Mfalme 1samwel 16
Kwa hiyo wewe unaipinga hadi Biblia yenu inayosema kuwa Daudi alikuwa Nabii🤣🤣🤣
 
Alikuwa na manabii ni kweli ,lakini pia alikuwa nae pia ni nabii ,

Kuna nabii nyingi katabiri

Biblia inamuita ni nabii

Matendo ya Mitume 2:29–30
“Ndugu zangu, naweza kusema kwa ujasiri juu ya baba yetu Daudi kwamba alikufa na akazikwa, na kaburi lake li kwetu hata leo. Basi kwa kuwa alikuwa nabii, naye alijua ya kwamba Mungu alimwapia kwa kiapo...”
Kaka kwahiyo mimi nikiota ndoto nikatabili kifo cha Samia tiari nimekuwa nabii?

Kauli ya MWENYEZI MUNGU ni ipi juu ya Mfalme daud? Kauli ya MWENYEZI MUNGU juu ya daudi ni Mfalme 1samwel 16
 
Waliiweka baada ya kutoka utumwani Babel ,wakaiweka kwenye mpangilio wa Zaburi

Kuna ya Suleiman

Napenda sana Zaburi za kimasihi , kama Zaburi ya 22,Zaburi 110,Zaburi 45

Zile zaburi zinazomtabiri Yesu ,
Ivi ile zaburi ya 72 ni ya nani

Inasema
Bwana umpe Mfalme hukuma zako na mwana wa Mfalme haki yako
Atawaamua watu wako kwa khaki
 
Muhammad utume kwa mara ya kwanza kapewa na mkewe Khadija

Muhammad sio mtume ni tapeli tu ,ndio maana hana unabii wowote ule uliowahi kutimia ,hajawahi kuponya hata nzi ,
Alafu hawa wajinga akina Al-mukheef wanamuona nabii na mtume wao

Sema jamaa aliwaweza sana kawaaminisha vitabu vyote vya MWENYEZI MUNGU vimechakachuliwa kutoa tu uharo wa qoran
 
Kaka kwahiyo mimi nikiota ndoto nikatabili kifo cha Samia tiari nimekuwa nabii?

Kauli ya MWENYEZI MUNGU ni ipi juu ya Mfalme daud? Kauli ya MWENYEZI MUNGU juu ya daudi ni Mfalme 1samwel 16
Hapana kaka, kuota ndogo ni moja tu ya njia Mungu anaitumia kukupa unabii ,ila sio kila anayeota ndoto ni nabii ,nebukadneza aliota ndoto kutoka kwa Mungu ,na hakuwa nabii

Kwa Daudi ni tofaut yeye ,ni mfalme pia nabii, Tena nabii zake sio Moja zipo nyingi sana

Ukiwa na cheo kimoja haizuii kuwa na kingine ,mfano EZEKIEL au Yeremia ni manabii halafu ni makuhani wanatoka ukoo wa kikuhani

Musa alikuwa nabii na kiongozi

Ndio maana mitume wa Yesu akiwepo Petro alimtambua Daudi kama nabii ,sema ile title ya Ufalme ndio maarufu sana

Matendo ya Mitume 2:30
“Basi kwa kuwa alikuwa NABII, naye alijua Mungu alimwapia…”

👉 Hii sio kauli ya mtu.
👉 Ni Biblia iliyoongozwa na Roho Mtakatifu.
 
Alafu hawa wajinga akina Al-mukheef wanamuona nabii na mtume wao

Sema jamaa aliwaweza sana kawaaminisha vitabu vyote vya MWENYEZI MUNGU vimechakachuliwa kutoa tu uharo wa qoran
Wewe hata Biblia huijui vizuri unataka majadiliano na mimi muulize kwanza huyo Hamisi akuelezee habari zangu🤣🤣🤣
 
Mbona unabadili mada🤣🤣🤣
Je unakubali Daudi ni Nabii au sio Nabii?
Daudi na uislamu wapi na wapi Mzee ?

Hapa anazungumziwa Daudi mwana wa Yesu ,mfalme ,masihi wa YEHOVA ,nabii

Aliyetabiri kufa na kufufuka kwa Yesu ,

Wewe unamzungunzia Daudi yupo ?

Tuanzie hapo kwanza
 
Habari gani wewe hata Quran tu HUIJUI
Wewe si ndo ulidai kuwa Qur’an inamtaja mtawala wa Misri enzi za Yusufu kuwa ni Farao huku ukiitetea Biblia kuwa haijafanya hivyo🤣🤣🤣

Je turudishe mjadala?
 
Kwa hiyo wewe unaipinga hadi Biblia yenu inayosema kuwa Daudi alikuwa Nabii🤣🤣🤣
Una kichwa kigumu, maswali hujibu, unakazi ya kuchekacheka

Kama unajiweza ,niambie Zaburi kwenye Quran ,hilo neno Zaburi muhamad alilipata wapi na asili yake ni wapi hilo neno
 
Daudi na uislamu wapi na wapi Mzee ?

Hapa anazungumziwa Daudi mwana wa Yesu ,mfalme ,masihi wa YEHOVA ,nabii

Aliyetabiri kufa na kufufuka kwa Yesu ,

Wewe unamzungunzia Daudi yupo ?

Tuanzie hapo kwanza
Namzungumzia huyohuyo mnayemzungumzia nyinyi ndio namuuliza huyo mwenzio ambaye hajui chochote kabisa
Je Daudi hakuwa Nabii?
 
Wewe si ndo ulidai kuwa Qur’an inamtaja mtawala wa Misri enzi za Yusufu kuwa ni Farao huku ukiitetea Biblia kuwa haijafanya hivyo🤣🤣🤣

Je turudishe mjadala?
Hiyo mada ilikushinda ,

Kaa hapa kwenye mada iliyopo ,kama unajiweza

Zaburi maana yake ni nini na asili ya hilo neno ni nini ,ili tujue muhamad hakulishwa matango pori
 
Una kichwa kigumu, maswali hujibu, unakazi ya kuchekacheka

Kama unajiweza ,niambie Zaburi kwenye Quran ,hilo neno Zaburi muhamad alilipata wapi na asili yake ni wapi hilo neno
Mimi nataka tuanze na mjadala huo wa Qur'an kumuita mtawala wa kipindi cha Yusufu kama Farao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom