Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Aya 19:23




Hapo Qur’an inasema Maryam alipoanza kupata uchungu wa kuzaa, alienda karibu na shina la mtende.

Hii haimaanishi alizaliwa chini ya mtende kabisa, bali akapata faraja karibu na mtende, na shina lilitumika kuwa sehemu ya mahali pa faraja.

View attachment 3536922


View attachment 3536924


Naona umeiambia AI ichore kabisa
😁😁😁

Haya na hili je
Quran 19 : 22
"Akamchukua mimba, kisha akajitenga naye mahali pa mbali."

Biblia inasema alijifungua akiwa na watu na Quran inasema alijitenga.

Je tuamini quran iliyokuja miaka 600 mbele?.
 
Jagina kama sijakusikoa vizur . Umekana kuwa Zaburi sio ya allah.
Hebu ongeza saut

Qur’ani 3:3–4

“Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kikithibitisha vilivyokuwa kabla yake; na akateremsha Taurati na Injili kabla yake kuwa uongozi kwa watu…”

Tuliza akili yako ; Usiwe na jaziba , Wapi nimesema Zaburi siyo kitabu kutoka kwa Allah ?? Hivi hiyo aya inasema waislamu waifuate zaburi ??
 
Naona umeiambia AI ichore kabisa
😁😁😁

Haya na hili je
Quran 19 : 22
"Akamchukua mimba, kisha akajitenga naye mahali pa mbali."

Biblia inasema alijifungua akiwa na watu na Quran inasema alijitenga.

Je tuamini quran iliyokuja miaka 600 mbele?.

Quran 19:22 inasema : Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.

Kwani wewe unamwamini mathayo au Luka ? Tuanze na biblia yako

Mathayo: amefocus kwenye Herode na ufalme, hakuna maelezo ya watu waliokaribu.
Luka: amefocus kwenye historia ya kijamii, sensa ya Kirumi, familia na wachungaji walikuwepo.

Kumbuka Luka 1:1 luka amesema nini ?? alihadithiwa na kusikia maneno ya mitaani

Ukweli ni kwamba , Tafsiri za baadaye zimeongeza maelezo ya kijamii na walinzi wa familia, tofauti za tafsiri zimejitokeza hapo.

Sisi waislamu tunakubali Qur’an kama kitabu cha mwisho cha Allah, kilicho thabiti na kilichohifadhiwa bila mabadiliko, bila kujali muda ilipokuja baada ya Injili.
Qur’an yenyewe inathibitisha kwamba manabii walipelekwa kwa watu wao, lakini maneno yao yalibadilishwa (Qur’an 2:75, 5:13).

Kwa mtazamo wa kihistoria: Biblia na Qur’an zinatofautiana kwa sababu:

Biblia ni nakala zilizokusanywa na binadamu, tafsiri zimejumuishwa na baadhi ya maandiko kupotea au kuongezwa.

Qur’an ni maneno ya Allah yaliyohifadhiwa kwa Kiarabu na hayajabadilika.
 
Nakukumbusha tu kuwa bado haujanijibu swali langu kuhusu kuzaliwa kwa Yesu . Chini ya mtende.

Tuendelee na hili la Zaburi.

Kwahiyo unakana kuwa Zaburi haiwahusu 😎😎😎😎😁😁😁😁.

Ila kwanza umenifanya nifikirie kingne?
Kwanini hamjaweka hivi vitabu kwa kiarabu wakati ni vya allah.
Na mmeambiwa mviheshimu na kuvisoma?.

(Tourat , Zaburi na Injili)

Qurani 2:136
"Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale yaliyoteremshwa kwetu, na yaliyoteremshwa kwa Ibrahim, Ismail, Is-haq, Ya‘qub na wajukuu, na yale waliyopewa Musa na Isa, na Manabii kutoka kwa Mola wao…”

Quran 4 : 163
"Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi."

Nimekujibu post ya # 197 ; hujasoma ????Hizo ni Tafsiri za aya si kitabu !!!! umechanganyikiwa ??? au leo umeamka duble duble 😛 😛 😛
 
Mathayo: amefocus kwenye Herode na ufalme, hakuna maelezo ya watu waliokaribu.
Luka: amefocus kwenye historia ya kijamii, sensa ya Kirumi, familia na wachungaji walikuwepo.

Luka na Mathayo inasema wakat Marium anajifungua hakuwa mwenyewe na wala hakuwa chini ya mtende.
Kama inayodai Quran

Luka na Mathayo zote zinasema ni eneo moja . bethehemu.
Mathayo inasema ni kipind cha Mfalme Herode na miez ya kuhesabiwa sensa.
Luka haisem ni kipind gan.

Hakuna tofauti .
 
Luka na Mathayo inasema wakat Marium anajifungua hakuwa mwenyewe na wala hakuwa chini ya mtende.
Kama inayodai Quran

Luka na Mathayo zote zinasema ni eneo moja . bethehemu.
Mathayo inasema ni kipind cha Mfalme Herode na miez ya kuhesabiwa sensa.
Luka haisem ni kipind gan.

Hakuna tofauti .
Nimegundua wewe husomi post zangu usingekuja na haya maswakli ya kitoto . na sijui unataka kitu gani ??au umechanganyikiwa ??

Quran haisjasema Yesu kazaliwa chini ya mtende nimekuambia usome kuanzia post ya# 197. Anavyosema Luka ni tofauti na anavyosema Mathayo au nikuwekee tena .
Halafu Luka hakuwepo , kasem tokea Luka 1:1 amesikia kwa watu , tena hakuwataja halafu amesikia mtaani , wewe utaamini hapo ??
Soma nini hao waliokuandikia biblia na kukutafsiria , wanasema nini kuhusu injili ya Luka na Mathayo !!

The Gospel of Matthew:

"The unknown author, whom we shall continue to call Matthew for the sake of convenience, drew no only up the Gospel according to Mark but upon a large body of material (principally, sayings of Jesus) not found in Mk that corresponds, sometimes exactly, to material found also in the Gospel according to Luke. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1008)"

"As for the place where the gospel was composed, a plausible suggestion is that it was Antioch, the capital of the Roman province of Syria. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1009)"

So we clearly see, both the author or authors and the place of composition of the "Gospel of Matthew" are unknown.

Injili ya Mathayo hajulikani aliyeiandika.

Jina “Mathayo” ni la jadi tu, si uthibitisho wa kihistoria.
Mwandishi alinakili Injili ya Marko na vyanzo vingine visivyojulikana, ambavyo vinafanana pia na Luka.

Hata mahali ilipoandikwa hapajulikani — Antiokia ni makisio tu.

Kwa ufupi: Injili ya Mathayo haina mwandishi anayejulikana wala mahali pa uandishi palipothibitishwa.
 
Luka na Mathayo inasema wakat Marium anajifungua hakuwa mwenyewe na wala hakuwa chini ya mtende.
Kama inayodai Quran

Luka na Mathayo zote zinasema ni eneo moja . bethehemu.
Mathayo inasema ni kipind cha Mfalme Herode na miez ya kuhesabiwa sensa.
Luka haisem ni kipind gan.

Hakuna tofauti .



The Gospel of Luke:

"The identification of Luke as the author is primarily based on the "we" passages in Acts (beginning in Acts 16:10), which indicate that Luke was associated with Paul in his ministry and wrote down the account of his activities. (The Amplified Bible, Page 1153)"

The only proof that they have about Luke being the sole author of this gospel is a weak speculation on "we". This is absurd at best! This speculation shows:

  1. The gospel was likely to have been altered or written by others beside Luke.
  2. It's place of documentation is unknown.
  3. It's date of documentation is also unknown.
It is also worth mentioning that the author of the book of Acts is also unknown as shown above:

"Although the author does not name himself, evidence outside the Scriptures and inferences from the book itself lead to the conclusion that the author was Luke. (From the NIV Bible Commentary [1], page 1643)"


So their whole speculation is absurd at best!​


Injili ya Luka haimtaji mwandishi wake hata mara moja.

Jina “Luka” halipo ndani ya kitabu chenyewe.

Dai kwamba Luka ndiye aliyeiandika linategemea mapokeo ya kanisa, si ushahidi wa maandiko.

Hoja ya kutumia neno “sisi” katika Matendo ya Mitume ni dhana dhaifu ya kielimu.

Neno “sisi” linaweza kuonyesha kunakili kutoka kwa mtu mwingine, si lazima uandishi wa kitabu chote.

Hata kama mwandishi alikuwa pamoja na Paulo, hakuna ushahidi kwamba jina lake lilikuwa Luka.

Zaidi ya hapo, mwandishi wa Matendo ya Mitume naye hajulikani kwa jina.

Hivyo Injili ya Luka na Matendo yote mawili yanategemea mwandishi asiyejulikana.

Mahali vilipoandikwa na tarehe zake pia ni makisio tu ya wanazuoni wa baadaye.


Kwa hiyo, kusema “Luka aliandika Injili ya Luka” si ukweli wa kihistoria, ni imani ya mapokeo.
 
Nimegundua wewe husomi post zangu usingekuja na haya maswakli ya kitoto . na sijui unataka kitu gani ??au umechanganyikiwa ??

Quran haisjasema Yesu kazaliwa chini ya mtende nimekuambia usome kuanzia post ya# 197. Anavyosema Luka ni tofauti na anavyosema Mathayo au nikuwekee tena .
Halafu Luka hakuwepo , kasem tokea Luka 1:1 amesikia kwa watu , tena hakuwataja halafu amesikia mtaani , wewe utaamini hapo ??
Soma nini hao waliokuandikia biblia na kukutafsiria , wanasema nini kuhusu injili ya Luka na Mathayo !!

The Gospel of Matthew:

"The unknown author, whom we shall continue to call Matthew for the sake of convenience, drew no only up the Gospel according to Mark but upon a large body of material (principally, sayings of Jesus) not found in Mk that corresponds, sometimes exactly, to material found also in the Gospel according to Luke. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1008)"

"As for the place where the gospel was composed, a plausible suggestion is that it was Antioch, the capital of the Roman province of Syria. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1009)"

So we clearly see, both the author or authors and the place of composition of the "Gospel of Matthew" are unknown.

Injili ya Mathayo hajulikani aliyeiandika.

Jina “Mathayo” ni la jadi tu, si uthibitisho wa kihistoria.
Mwandishi alinakili Injili ya Marko na vyanzo vingine visivyojulikana, ambavyo vinafanana pia na Luka.

Hata mahali ilipoandikwa haijulikani — Antiokia ni makisio tu.

Kwa ufupi: Injili ya Mathayo haina mwandishi anayejulikana wala mahali pa uandishi palipothibitishwa.

Usilete hoja nyingne.
Hatujaulizia nan kaandika Mathayo au Luka.
Hoja ni kuzaliwa kwa Yesu chini ya mtende.

Anzia pale quran 19:22.
Inasema alijitenga mbali na pia alipata uchungu akiwa chini ya mtende akiwa pekeyake.

(Haya tuseme bas alipata uchungu akiwa chini ya mtende ila hakujifungulia hapo alijikongoja had sehem nyingne)
Quran haisem kuwa alienda wap.

Ila zingatia "kujitenga mbali na kujifungua akiwa mwenyewe."

Ni tofauti kabisa na Biblia inavyosema. Marium alipata uchungu akiwa na watu na walimsaidia kujifungua.

Ndio nauliza tuamini Quran iliyokuja miaka 600 mbele?.

Kuhusu Luka 1:1.
Naomba malizia kusoma Luka 1:3
" Luka 1:3
[3]nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,"

Zingatia neno "usahihi"
 
Usilete hoja nyingne.
Hatujaulizia nan kaandika Mathayo au Luka.
Hoja ni kuzaliwa kwa Yesu chini ya mtende.

Anzia pale quran 19:22.
Inasema alijitenga mbali na pia alipata uchungu akiwa chini ya mtende akiwa pekeyake.

(Haya tuseme bas alipata uchungu akiwa chini ya mtende ila hakujifungulia hapo alijikongoja had sehem nyingne)
Quran haisem kuwa alienda wap.

Ila zingatia "kujitenga mbali na kujifungua akiwa mwenyewe."

Ni tofauti kabisa na Biblia inavyosema. Marium alipata uchungu akiwa na watu na walimsaidia kujifungua.

Ndio nauliza tuamini Quran iliyokuja miaka 600 mbele?.

Kuhusu Luka 1:1.
Naomba malizia kusoma Luka 1:3
" Luka 1:3
[3]nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,"

Zingatia neno "usahihi"

Nimekuambia kuwa Quran haisemi alijifunguwa chini ya mtende. na nimekuletea maelezo ya hao waliokuandikia biblia kuwa si mathayo wala Luka zote walioandika hawajulikani . Soma post ya #206 na " 207 au kiengereza huklfahamu ??.

Huyo Luka ameandika

Luka 24:44–48 kutoka Biblia ya NIV:




Luka 24


44 Akawaambia, “Haya ndiyo niliyowaambia nilipokuwa pamoja nanyi: Yote yaliyoandikwa kunihusu katika Sheria ya Musa, Manabii, na Zaburi lazima yatimizwe.”

45 Kisha akawafungua akili zao wapate kuelewa Maandiko.

46 Akawaambia, “Haya ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na kufufuka kutoka kwa wafu siku ya tatu,

47 na toba na msamaha wa dhambi vitahubiriwa kwa jina lake kwa mataifa yote, kuanzia Yerusalemu.

48 Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.”

ya hizi (Luka 24:44–48) zinadai kuwa imeandikwa katika Sheria ya Musa (Taurati) kwamba Yesu atakufa na kufufuka siku ya tatu.

Swali ni: Ni wapi katika Agano la Kale lote (si vitabu vitano vya Musa tu) kuna aya inayotabiri wazi kufufuka kwa Yesu siku ya tatu?

Tafadhali nionyeshe aya moja ya Agano la Kale inayotabiri ufufuo wa Yesu siku ya tatu.
 
Nimekuambia kuwa Quran haisemi alijifunguwa chini ya mtende. na nimekuletea maelezo ya hao waliokuandikia biblia kuwa si mathayo wala Luka zote walioandika hawajulikani . Soma post ya #206 na " 207 au kiengereza huklfahamu ??.

Huyo Luka ameandika

Luka 24:44–48 kutoka Biblia ya NIV:




Luka 24


44 Akawaambia, “Haya ndiyo niliyowaambia nilipokuwa pamoja nanyi: Yote yaliyoandikwa kunihusu katika Sheria ya Musa, Manabii, na Zaburi lazima yatimizwe.”

45 Kisha akawafungua akili zao wapate kuelewa Maandiko.

46 Akawaambia, “Haya ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na kufufuka kutoka kwa wafu siku ya tatu,

47 na toba na msamaha wa dhambi vitahubiriwa kwa jina lake kwa mataifa yote, kuanzia Yerusalemu.

48 Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.”

ya hizi (Luka 24:44–48) zinadai kuwa imeandikwa katika Sheria ya Musa (Taurati) kwamba Yesu atakufa na kufufuka siku ya tatu.

Swali ni: Ni wapi katika Agano la Kale lote (si vitabu vitano vya Musa tu) kuna aya inayotabiri wazi kufufuka kwa Yesu siku ya tatu?

Tafadhali nionyeshe aya moja ya Agano la Kale inayotabiri ufufuo wa Yesu siku ya tatu.

Nitajibu hili..

Ila kwanza tukubaliane kuwa
Je "Marium alijitenga mwenyewe na akakaa chini ya mtende na akapata uchungu"

Je ilikuwa hivi?
(Futa ile kauli ya kujifungua chini ya mtende).

Je na Biblia inasema hivi?.

Nishakuambia kuhusu waandishi wa Mathayo na Luka. Na hapa usibadili mada.

Hoja yangu ni hiyo.

Nikuahidi tu. Ntakujibu mada yoyote inayohusu Ukristo na naomba unitag. Ww na Covax.

Ni jukumu Langu.
Ila jua kamwe Wakristo hawataitambua Quran kama nyinyi mnavyovitambua vitabu vyao. Kamwe
 
Nitajibu hili..

Ila kwanza tukubaliane kuwa
Je "Marium alijitenga mwenyewe na akakaa chini ya mtende na akapata uchungu"

Je ilikuwa hivi?
(Futa ile kauli ya kujifungua chini ya mtende).

Je na Biblia inasema hivi?.

Nishakuambia kuhusu waandishi wa Mathayo na Luka. Na hapa usibadili mada.

Hoja yangu ni hiyo.

Nikuahidi tu. Ntakujibu mada yoyote inayohusu Ukristo na naomba unitag. Ww na Covax.

Ni jukumu Langu.
Ila jua kamwe Wakristo hawataitambua Quran kama nyinyi mnavyovitambua vitabu vyao. Kamwe

Sawa ila kwani nani alikuambia uitambuwe quran au usiitambue biblia ??

Mimi nakuonyesha ukweli wa hivi vitabu , kukubali au kukataa ni uamuzi wako .

Kila mtu ataubeba mzigo wake . Mimi jukumu langu ni kukuonyesha njia na ninajitahidi kuwaonyesha. malipo yangu ni kwa Mungu mwenyewe

Nimekuonyesha kuwa biblia zenyewe zinasema hao waandishi , Yohana , Luka , Mathayo na Marko , wote hawajulikani. hayo majina yamebuniwa tu . Mimi sitii langu hapo
 
Hivi Muhamadi ana Ujumbe Gani Mpya zaidi ya kuyakaribisha Majini kwenye Uislamu?
Zaidi ya Kuyasilimisha Majini:
Zaidi ya kuitwa Mtume wa Majini:
Hivyo kuwalazimisha Maimamu na Mashehe kuwa viongozi wa Majini na kuijenga Misikiti ya Majini 🤣🤣🤣
 
Zaburi ni wahyi kwa Daudi; Qur’an inathibitisha maneno sahihi, Muhammad alikuwa mpokezi si mwandishi.”
Wewe Shoga nilikukataza kunijibu wala kuni nukuu:
Mimi sijawahi kukujibu wala kukunukuu kwenye upumbavu wako:
Mimi sijibishani na Mashoga
 
Wewe Shoga nilikukataza kunijibu wala kuni nukuu:
Mimi sijawahi kukujibu wala kukunukuu kwenye upumbavu wako:
Mimi sijibishani na Mashoga
Hata huyo mnayemfanya kuwa Mungu na kumuabudu badala ya Allah , aliambiwa ni shoga. Sikushangai .
 
Kabla ya kujibu maswali yako kwa nini ulishangaa kusikia Waislamu wanasema Daudi ni Nabii na wakati hata kwenye Biblia imeandikwa?
Ina maana husomi Biblia wewe bali unapenda kukurupuka tu au?
🤣🤣🤣
Daudi ni nabii au mtume??
 
Hata huyo mnayemfanya kuwa Mungu na kumuabudu badala ya Allah , aliambiwa ni shoga. Sikushangai .
Wewe huna hadhi ya kujadiliana na mimi: Mimi Huwa sisomi unachoandika maana ni pumba tupu na kuupigia upatu USHOGA:.

Katika kila mada lazima utamke neno Shoga:
Ili kujitangaza kwa Mabasha zako:
Ili nikuache sitaki uninukuu wala sitaki unijibu kivyovyote vile:

Nitawaomba Modereta (niku black)au mwanajimii forum yoyote anifundishe namna ya kufanya ili nisione unacho andika: Au ninacho andika
 

Kuhusu Zabur na Biblia ya leo​

Qur’ani inasema wazi:

“Na tulimpa Daudi Zabur.” (An-Nisaa 4:163)

Hii inamaanisha Zabur iliyo sahihi na ya asili ilipewa Daudi (a.s.) peke yake na ilikuwa wahyi wa Mungu.
  • Biblia ya leo ina waandishi wengi, baadhi hawajulikani, na baadhi walikuwa makuhani, waimbaji, walimu, si Nabii Daudi peke yake. Hivyo haifichi asili ya Zabur.
  • Kwa maneno mengine: Biblia ni mchanganyiko wa maandiko ya kiroho, historia, na muziki yaliyoandikwa na wanadamu, si wahyi wa moja kwa moja wa Mungu.
  • Hii ni tofauti na mtazamo wa Kiislamu.

Hoja muhimu:

Zabur halisi ilikuwa wahyi pekee.
Biblia ya leo ni uhariri wa kibinadamu wa maandiko hayo.
Hii si kupinga Imani ya Kikristo, bali kueleza ukweli wa kihistoria na wa kiimani.

Kuhusu “ushahidi wa sasa”​

Mwanafunzi wa Biblia anaweza kusema:



Hoja za Kiislamu ni za msingi:

  1. Biblia yenyewe inatambua waandishi wengi (zaidi ya 7, baadhi hawajulikani). Hii inatofautiana na Qur’ani inayosema: Zabur alipewa Daudi peke yake.
  2. Historia inaonyesha mpangilio wa kitabu wa sasa wa Biblia umeratibiwa karne nyingi baada ya Daudi, na Ezra na wengine waliwekwa kama wahariri.
  3. Tafsiri, uhariri, na mchanganyiko wa maandiko yamechangia kuwa maneno ya asili ya Mungu hayaonekani kama yalivyo.
Kwa ufupi: ushahidi hauna haja ya maneno ya kisasa ya mtu, maana Biblia yenyewe inaonyesha mchanganyiko wa wanadamu.

Kuhusu hoja ya kimaadili na hisia​

  • Watu wengi wanadhani Wakristo wana “haki miliki ya” Zabur, Lakini, kwa Kiislamu Zabur ni ya Mungu, si ya mtu.
  • Hivyo, kusema Biblia ya leo si sawa na Zabur halisi si kudharaulisha wengine, bali kuweka ukweli wa kihistoria na wa kiimani.
  • Kujibu kwa maneno ya hisia:
Quran haijapangwa na wanadamu? Uthman hakupanga Quran yake? Mohamed aliacha printed edition? Kwanini Uthman alichoma Quran zingine ili ibakie yake tu?

Hii ya Misri ya mwaka 1924 mnayotumia leo haikupangwa kwa amri ya mfalme Fuad? Wasomi Wa Al Azhar university hakuzipa majina sura za Quran? Kuna sehemu yeyote Allah alihusika? Hiyo ndiyo Quran ambayo asilimia 90 waislamu mnaikairiri,una uhakika gani ndiyo Quran aliyoshusha Allah?
 
Wewe huna hadhi ya kujadiliana na mimi: Mimi Huwa sisomi unachoandika maana ni pumba tupu na kuupigia upatu USHOGA:.

Katika kila mada lazima utamke neno Shoga:
Ili kujitangaza kwa Mabasha zako:
Ili nikuache sitaki uninukuu wala sitaki unijibu kivyovyote vile:

Nitawaomba Modereta (niku black)au mwanajimii forum yoyote anifundishe namna ya kufanya ili nisione unacho andika: Au ninacho andika
Hata huyo mnayemfanya kuwa Mungu na kumuabudu badala ya Allah , aliambiwa ni shoga. Sikushangai .
 
Quran haijapangwa na wanadamu? Uthman hakupanga Quran yake? Mohamed aliacha printed edition? Kwanini Uthman alichoma Quran zingine ili ibakie yake tu?

Hii ya Misri ya mwaka 1924 mnayotumia leo haikupangwa kwa amri ya mfalme Fuad? Wasomi Wa Al Azhar university hakuzipa majina sura za Quran? Kuna sehemu yeyote Allah alihusika? Hiyo ndiyo Quran ambayo asilimia 90 waislamu mnaikairiri,una uhakika gani ndiyo Quran aliyoshusha Allah?

Swali: Je, Qur’ani “ilipangwa na wanadamu”?​

Majibu :

Ndiyo, ilikusanywa (compiled) na wanadamu — lakini haikuandikwa au kutungwa na wanadamu.

Tofauti muhimu sana
ambayo Mkristo anachanganya:

Uandishi / WahyiUkusanyaji / Mpangilio
Qur’ani:

Wahyi: kutoka kwa Allah ulikwenda kwa Mtume Muhammad ﷺ
Ukusanyaji: wanadamu walikusanya kilekile kilichokuwa kimeshashushwa

Biblia (hasa Zabur):

Uandishi: wanadamu wengi, nyakati tofauti, baadhi hawajulikani
Uhariri: kuchagua, kuunganisha, kurekebisha maandiko

Qur’ani haidai kuwa Allah aliikusanya kwa kurasa; inadai kuwa maneno yake ni kutoka kwa Allah.

Swali ; Je, Uthman (r.a.) “alipanga Qur’ani yake”?

Majibu :HAPANA.
Uthman hakutunga Qur’ani mpya, wala hakuchagua aya.
Alichofanya ni:

1: Kuunganisha Qur’ani ileile iliyokusanywa zamani na Abu Bakr (r.a.)
2:Kuiandika kwa lahaja ya Quraysh ili kuzuia migogoro ya matamshi
3.Kuzuia nakala binafsi zilizokuwa na:tafsiri pembeni, , maelezo ya walimu ,na lahaja zisizo rasmi

Muhimu ni kuwa kulikuwa Hakuna aya mpya iliongezwa na pia kulikuwaHakuna aya iliondolewa

Swali : Kwa nini Uthman alichoma Qur’ani zingine?”

Hili ni swali muliliuliza sana na nimewapa majibu , lakini nyinyi mna akili za kuku , lakini lnimelijibu wazi kihistoria.

Zilichomwa sio kwa sababu zilikuwa Qur’ani tofauti, bali: Zilikuwa:

1. notsi za wanafunzi
2.nakala binafsi
3.maandishi yenye maelezo ya pembeni

Kama vile leo Ukichoma draft za mwanafunzi si sawa na kuharibu kitabu cha asili

Lengo lilikuwa ni
Kulinda umoja wa maandishi, si kuficha tofauti.

Swali : “Mtume Muhammad aliacha printed edition?”

Majibu : ni HAPANA, na hakukuhitajika. : Kwa nini? Ni kwa sababu , Waarabu walikuwa wanahifadhi kwa nguvu sana kwa kukariri na pia Qur’ani ilisimuliwa na maelfu kwa wakati mmoja

Qur’ani Ilihifadhiwa kwa maandishi na kukariri (tawatur)

Tuje kwa Biblia:

Biblia Haikuwa na mfumo wa kukariri kama ibada , pia Ilihifadhiwa kwa maandishi ya waandishi wachache


Umeandika Kuhusu Mushaf wa Misri 1924 (Mfalme Fuad)​

Hapa pia kuna thread mlileta ya hili na nimejibu sana tu , hata hivyo

Mushaf wa 1924: Siyo Qur’ani mpya , HAIKUBADILISHA maneno
Lililofanywa ni :

1: kuweka alama za vokali
2 viwango vya uchapishaji
3 kuondoa tofauti ndogo za tahajia

Hiyo Ni sawa na:

Kuchapisha Kamusi sanifu, si kuunda lugha mpya

Qur’ani ya leo ni ileile Qur’ani ya karne ya 7 kwa maneno.



Swali : “Wasomi wa Al-Azhar walizipa majina sura?”​


Majibu ni HAPANA.

Majina ya sura: mengi yalitajwa na Mtume ﷺ mwenyewe , yalijulikana kabla ya Al-Azhar kuwepo

Hata kama jina lingepewa baadaye:

Jina si sawa na wahyi

Maudhui (aya) ni sawa na wahyi



Swali : Allah alihusika wapi?”​


Majibu : Allah alihusika katika wahyi, si katika karatasi , wino, au mashine ya kuchapisha

Qur’ani inasema:

“Hakika Sisi tumeiteremsha Qur’ani, na hakika Sisi ndio tutakaoilinda.”
(Al-Hijr 15:9)

Ulinzi huu: ulifanyika kupitia:

1. kukariri kwa wingi (tawatur)
2. maandishi mengi
3 umoja wa umma

Swali“Una uhakika gani hii ndiyo Qur’ani ya Allah?”​

MAJIBU . Ndiyo, kwa sababu:

Tawatur maelfu waliirithi bila kukatika

Maandishi ya kale manuskripti (Birmingham, Sana’a) zinafanana kwa maneno

Hakuna matoleo tofauti ya maudhui tofauti ni qira’at, si Qur’ani tofauti

Tukija kwa Biblia:

ina: vitabu viliongezwa/kuondolewa , matoleo tofauti (Catholic, Protestant, Orthodox) , Zabur tofauti kwa idadi


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom