Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Hivi hayo unakopi kwa CHATGPT unayosoma au unakopi tu,?

Tatizo si Daudi, tatizo si Zaburi tatizo ni Qur’an kutumia neno lenye historia, lugha, na maana iliyo wazi, kisha kuliacha ligongane na mafundisho yake yenyewe.

Mimi nauliza maswali katika
lugha
historia
mantiki
consistency ya ufunuo

Kwa nini Qur’an itumie maneno ya vitabu vya awali bila kuyarekebisha kimaudhui kama yalikuwa yamepotoshwa?

usishindwe na wewe kwenda chartgtp ; au wakristo hawaruhusiwi ??

Qur’an inatumia maneno ya awali ili kuthibitisha usahihi na kuonyesha yaliyopotoshwa; kubadilisha kila kitu kungepoteza uthibitisho wake wa historia na mantiki
 
Waislam wanaamini Quran na Mohamed.
Kama hakuna sehem Mohamed au Quran imeonyesha. Unapata wap ujasiri wa kusema Zaburi iliyopo sio ile aliyopewa Daudi..

Hauoni kuwa ni ubishan wa kijinga ambao hauna support evidence kwenye source zinazoaminika na jamii.

Ukiwa hata na akili tu ndogo unaweza kujua tu hilo.

Historia na lugha zinathibitisha Zaburi ya leo si ile ya Daudi; Qur’an imehifadhiwa na Mungu, hiyo ndiyo tofauti ya uthibitisho
 
Chagua moja tu,

Qur’an ikikiri neno Zaburi ni nyimbo basi Uislamu unapingana na Zaburi
Kama Zaburi si nyimbo basi Qur’an imetumia neno vibaya,imeiba neno la watu bila kujua maana yake

Muhammad hakujua maana halisi ya Zaburi

Qur’an ilinakili kutoka vyanzo vya Kiyahudi bila uhakiki

Ni lipi unalichagua, na kwa nini?

Qur’an inathibitisha maneno sahihi ya awali; Muhammad hakuiba, bali alipewa maandiko yaliyo hakikishwa na Mungu
 
Kwahiyo Neno Zaburi kwenye Qurani ni Wahayi wa Muhamadi. 🤣🤣🤣🤣
 
Hakuna kitabu cha Mungu kilichoandikwa bila binadamu, lakini tofauti ni hili:
Qur’an iliandikwa na kuhifadhiwa chini ya ulinzi wa Mungu dhidi ya mabadiliko, Torati, Injili na Zaburi hazina ulinzi huo.

Kuandikwa na binadamu si tatizo; tatizo ni kubadilishwa na binadamu bila uhakika wa ulinzi wa Mungu

Okay .
Kwanza wote tuko mstar mmoja kuwa
- tourati , zaburi , Injili na Quran ni vitabu vya mbinguni kwa allah.

Ila kwenye Ulinzi wa hivyo vitabu. allah amekilinda zaid cha mwisho kisibadilishwe na wanadamu.

- ila pia so far hamjaleta ushahidi wa nini kilichoongezeka au kupunguza kwenye hivyo vitabu vitatu.

Kwahiyo mnaongea kwa hoja ambazo hazina ushahidi . Kwenye vitabu ambavyo mlivikuta. Mkaviamini na kupotosha visa vyake na mkajitungia kitabu chenu na kushawishi watu wakiamini chenu.

Na Wakristo kwasababu ni werevu. Kamwe Quran haitakaa ituhusu na kamwe hatutakaa kuiamini.

Nyinyi bakini hivyo hivyo kwa kuamini vitabu vya wakristo na kuamini kuwa vimewekwa maneno ya binadamu . Na ambayo hamna ushahidi nao.

Mm siendelei zaid ya hapa. M log off.
 
Historia na lugha zinathibitisha Zaburi ya leo si ile ya Daudi; Qur’an imehifadhiwa na Mungu, hiyo ndiyo tofauti ya uthibitisho

Nimesema na log off ila I cant stay calm 😎😎😎😎kuona upuuzi ukiendelea.

Niletee huo ushahidi.
 
Okay .
Kwanza wote tuko mstar mmoja kuwa
- tourati , zaburi , Injili na Quran ni vitabu vya mbinguni kwa allah.

Ila kwenye Ulinzi wa hivyo vitabu. allah amekilinda zaid cha mwisho kisibadilishwe na wanadamu.

- ila pia so far hamjaleta ushahidi wa nini kilichoongezeka au kupunguza kwenye hivyo vitabu vitatu.

Kwahiyo mnaongea kwa hoja ambazo hazina ushahidi . Kwenye vitabu ambavyo mlivikuta. Mkaviamini na kupotosha visa vyake na mkajitungia kitabu chenu na kushawishi watu wakiamini chenu.

Na Wakristo kwasababu ni werevu. Kamwe Quran haitakaa ituhusu na kamwe hatutakaa kuiamini.

Nyinyi bakini hivyo hivyo kwa kuamini vitabu vya wakristo na kuamini kuwa vimewekwa maneno ya binadamu . Na ambayo hamna ushahidi nao.

Mm siendelei zaid ya hapa. M log off.

Qur’an imehifadhiwa kwa uthibitisho na hifdh; ukweli wake hauwezi kupingwa kwa kejeli
 
Nimesema na log off ila I cant stay calm 😎😎😎😎kuona upuuzi ukiendelea.

Niletee huo ushahidi.

Ushahidi wa kihistoria​


Toleo la Kiebrania vs Septuagint

Zaburi za Kiebrania (Masoretic Text) na Septuagint (Tafsiri ya Kigiriki ya Biblia ya Kiebrania) zina tofauti kubwa:

baadhi ya mistari imepunguzwa, imeongezwa, au kubadilishwa maneno
mpangilio wa Zaburi tofauti: baadhi ya Zaburi zinatofautiana kwa namba na sura

Toleo la Kikristo

Zaburi za Kikristo zinaongeza baadhi ya Zaburi ambazo hazikuwepo kwenye asili ya Kiebrania
Hii inaonyesha: maneno ya leo hayako 100% kama aliyopewa Daudi

Historia ya maandiko


Zaburi za awali hazina toleo la kumbukumbu moja lililohifadhiwa bila mabadiliko
Wanahistoria wanakubaliana kwamba maneno yamebadilika kutokana na tafsiri, jaribio la kutafsiri, na makusanyo ya muda
 
Qur’an imehifadhiwa kwa uthibitisho na hifdh; ukweli wake hauwezi kupingwa kwa kejeli

Niliwah kukuuliza hili nadhan nikasahau ulichojibu.
Hebu nikumbushe

Hivi Yesu alizaliwa chini ya mtende kama Quran inavyosema.
Au alizaliwa zizin kwa ngombe kama Biblia inavyosema.

Je Tuamini story ya miaka 600 mbele tena iliyotoka sehem nyingne kwenye jamii nyingne na tuache kuamini story ambayo jamii husika ina ushahidi hadi leo.?
 

Ushahidi wa kihistoria​


Toleo la Kiebrania vs Septuagint

Zaburi za Kiebrania (Masoretic Text) na Septuagint (Tafsiri ya Kigiriki ya Biblia ya Kiebrania) zina tofauti kubwa:

baadhi ya mistari imepunguzwa, imeongezwa, au kubadilishwa maneno
mpangilio wa Zaburi tofauti: baadhi ya Zaburi zinatofautiana kwa namba na sura

Toleo la Kikristo

Zaburi za Kikristo zinaongeza baadhi ya Zaburi ambazo hazikuwepo kwenye asili ya Kiebrania
Hii inaonyesha: maneno ya leo hayako 100% kama aliyopewa Daudi

Historia ya maandiko


Zaburi za awali hazina toleo la kumbukumbu moja lililohifadhiwa bila mabadiliko
Wanahistoria wanakubaliana kwamba maneno yamebadilika kutokana na tafsiri, jaribio la kutafsiri, na makusanyo ya muda

Najua unacopy tu chat gpt bila kusoma na kuhakiki.

Sasa hapo wanaongelea tafsiri ya maneno na mpangilio.

Hata Quran ilibadilishwa mpangilio wa sura. Ni jambo la kawaida.

Anyway Toleo la kiislam je? La kwenye Quran? Liko wap?.
Zabur si ya allah. Toleo la kiarabu liko wap?.
Waarabu hawasomi kitabu alichoshusha allah?.
 
Niliwah kukuuliza hili nadhan nikasahau ulichojibu.
Hebu nikumbushe

Hivi Yesu alizaliwa chini ya mtende kama Quran inavyosema.
Au alizaliwa zizin kwa ngombe kama Biblia inavyosema.

Je Tuamini story ya miaka 600 mbele tena iliyotoka sehem nyingne kwenye jamii nyingne na tuache kuamini story ambayo jamii husika ina ushahidi hadi leo.?


Aliyekuambia Quran imesema yesu kazaliwa chini ya mtende ni nani ??

Alipozaliwa yesu ndani ya biblia biblia imesema mahali tofauti

1769850329356.png
 
Aliyekuambia Quran imesema yesu kazaliwa chini ya mtende ni nani ??

Alipozaliwa yesu ndani ya biblia biblia imesema mahali tofauti

View attachment 3536901

Nakuwekea hapa alaf ujibu swali langu.

Quran 19 : 23 -27
19:23
Uchungu wa kuzaa ukampeleka kwenye shina la mtende, akasema: “Laiti ningekufa kabla ya haya, na ningekuwa nimesahaulika kabisa.”
19:24
Basi akaitwa kutoka chini yake (au karibu naye): “Usihuzunike. Hakika Mola wako ameweka kijito cha maji chini yako.”
19:25
“Na utikise shina la mtende, zitakuangukia tende mbichi zilizoiva.”
19:26
“Basi kula na kunywa, na utulize macho yako. Na ukimwona mtu yeyote, sema: ‘Hakika mimi nimeweka nadhiri ya kufunga kwa Mwingi wa rehema, basi leo sitazungumza na mtu yeyote.’”
19:27
Basi Maryam akaja kwa watu wake akiwa amembeba (mtoto). Wakasema: “Ewe Maryam! Kwa hakika umeleta jambo kubwa sana.”
 
Hivi Yesu alizaliwa chini ya mtende kama Quran inavyosema.
Au alizaliwa zizin kwa ngombe kama Biblia inavyosema.

Je Tuamini story ya miaka 600 mbele tena iliyotoka sehem nyingne kwenye jamii nyingne na tuache kuamini story ambayo jamii husika ina ushahidi hadi leo.?
 
Najua unacopy tu chat gpt bila kusoma na kuhakiki.

Sasa hapo wanaongelea tafsiri ya maneno na mpangilio.

Hata Quran ilibadilishwa mpangilio wa sura. Ni jambo la kawaida.

Anyway Toleo la kiislam je? La kwenye Quran? Liko wap?.
Zabur si ya allah. Toleo la kiarabu liko wap?.
Waarabu hawasomi kitabu alichoshusha allah?.

Mbona wakristo mko na hofu sana na Chartgtp kwani nyinyi hamwezi kuingia au ni marufuku kwa mkristo kuingia chartgtp. Mimi sijali muingie popote hii library yangu hapa imezidi hiyo chartgtp ina takriban masuala mengi mnayoyauliza. Kwa ufupi ni kuwa ;

Zaburi: Hakuna “toleo la Mungu lililohifadhiwa bila mabadiliko.” Maneno ya leo ni matokeo ya tafsiri na makusanyo ya kibinadamu.

Qur’an Wala haina tafsiri halisi ndani ya maandiko; tafsiri ni kuelewa kwa lugha nyingine. Qur’an yenyewe inabaki ile ile kwa Kiarabu.

Toleo la Kiarabu la Zabur: Halipo. Waarabu hawasomi Zaburi kwa Kiarabu, bali Qur’an ndio maandiko waliyopewa.

1769851072560.png
 
Mbona wakristo mko na hofu sana na Chartgtp kwani nyinyi hamwezi kuingia au ni marufuku kwa mkristo kuingia chartgtp. Mimi sijali muingie popote hii library yangu hapa imezidi hiyo chartgtp ina takriban masuala mengi mnayoyauliza. Kwa ufupi ni kuwa ;

Zaburi: Hakuna “toleo la Mungu lililohifadhiwa bila mabadiliko.” Maneno ya leo ni matokeo ya tafsiri na makusanyo ya kibinadamu.

Qur’an Wala haina tafsiri halisi ndani ya maandiko; tafsiri ni kuelewa kwa lugha nyingine. Qur’an yenyewe inabaki ile ile kwa Kiarabu.

Toleo la Kiarabu la Zabur: Halipo. Waarabu hawasomi Zaburi kwa Kiarabu, bali Qur’an ndio maandiko waliyopewa.

View attachment 3536911

Sasa kwanini mnasoma Quran kwa Kiarabu alaf Zaburi hamjaiweka kwa Kiarabu?.

Au sio kitabu cha allah?.

NB : hoja sio chat gpt. Hoja ni kuwa unacopy bila kusoma mantik ya robot ilivyokujibu.
Yenyewe sio malaika. Inakosea. Na pia kama ww una search vitu vya kiislam daily. Bas imetunza kumbukumbu na kila siku itakuwa inakuwa upande wa waislam. Bila kuangalia upande wa uhalisia au ukristo.

Najua hili hujui. Ila ndio ujue sasa
 
Nakuwekea hapa alaf ujibu swali langu.

Quran 19 : 23 -27
19:23
Uchungu wa kuzaa ukampeleka kwenye shina la mtende, akasema: “Laiti ningekufa kabla ya haya, na ningekuwa nimesahaulika kabisa.”
19:24
Basi akaitwa kutoka chini yake (au karibu naye): “Usihuzunike. Hakika Mola wako ameweka kijito cha maji chini yako.”
19:25
“Na utikise shina la mtende, zitakuangukia tende mbichi zilizoiva.”
19:26
“Basi kula na kunywa, na utulize macho yako. Na ukimwona mtu yeyote, sema: ‘Hakika mimi nimeweka nadhiri ya kufunga kwa Mwingi wa rehema, basi leo sitazungumza na mtu yeyote.’”
19:27
Basi Maryam akaja kwa watu wake akiwa amembeba (mtoto). Wakasema: “Ewe Maryam! Kwa hakika umeleta jambo kubwa sana.”

Aya 19:23


Uchungu wa kuzaa ukampeleka kwenye shina la mtende...

Hapo Qur’an inasema Maryam alipoanza kupata uchungu wa kuzaa, alienda karibu na shina la mtende.

Hii haimaanishi alizaliwa chini ya mtende kabisa, bali akapata faraja karibu na mtende, na shina lilitumika kuwa sehemu ya mahali pa faraja.

1769851690154.png



1769851752684.png

 
Sasa kwanini mnasoma Quran kwa Kiarabu alaf Zaburi hamjaiweka kwa Kiarabu?.

Au sio kitabu cha allah?.

NB : hoja sio chat gpt. Hoja ni kuwa unacopy bila kusoma mantik ya robot ilivyokujibu.
Yenyewe sio malaika. Ika kosea. Na pia kama ww una search vitu vya kiislam daily. Bas imetunza kumbukumbu na kila siku itakuwa inakuwa upande wa waislam. Bila kuangalia upande wa uhalisia au ukristo.

Najua hili hujui. Ila ndio ujue sasa

Kwani Zabur waliletewa watu gani hata ituhusu sisi waislamu ??

Quran tunaisoma kwa kiarabu kwa sababu ndivyo ilivyoletwa .

Kwani wapi nimefanya makosa hata uniambie ninacopy chartgtp . Niangalie upande wa kikristo kwani huko natafuta nini na najua ukristo siyo dini ya yesu wala mtume yeyote.
 
Kwani Zabur waliletewa watu gani hata ituhusu sisi waislamu ??

Nakukumbusha tu kuwa bado haujanijibu swali langu kuhusu kuzaliwa kwa Yesu . Chini ya mtende.

Tuendelee na hili la Zaburi.

Kwahiyo unakana kuwa Zaburi haiwahusu 😎😎😎😎😁😁😁😁.

Ila kwanza umenifanya nifikirie kingne?
Kwanini hamjaweka hivi vitabu kwa kiarabu wakati ni vya allah.
Na mmeambiwa mviheshimu na kuvisoma?.

(Tourat , Zaburi na Injili)

Qurani 2:136
"Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale yaliyoteremshwa kwetu, na yaliyoteremshwa kwa Ibrahim, Ismail, Is-haq, Ya‘qub na wajukuu, na yale waliyopewa Musa na Isa, na Manabii kutoka kwa Mola wao…”

Quran 4 : 163
"Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi."
 
Kwani Zabur waliletewa watu gani hata ituhusu sisi waislamu ??

Jagina kama sijakusikoa vizur . Umekana kuwa Zaburi sio ya allah.
Hebu ongeza saut

Qur’ani 3:3–4

“Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kikithibitisha vilivyokuwa kabla yake; na akateremsha Taurati na Injili kabla yake kuwa uongozi kwa watu…”
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom