Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kali ni ile sigara nyota niliyokuwa naitumia nikiingia kunya

Tulia upakatwe

Kuchubuka hakutokei kama utatumia mate m'badala

Kichumamboga kitamfanya baada ya miezi awe na boga

Ugali unaokusudia ni ule wa Iny'e gwedegwede au ni upi
Mkuu salthanks mambo vipi, jitahidi kutumia Tafsida na kuepuka kauli za matusi ya nguoni:
--Tumia tu sentensi nzuri zenye mafunzo mkuu
*Natumaini wewe ni muelewa mkuu
*Tuendelee na wa mwisho ndo mshindi
Thanks
 
Mambo shwari tu mkuu
Hilo lishapita na limeeleweka.Asante mkuu kwa kunizindua.Thanks
 
Kiasi cha sukari nyeupe kinachotumiwa na wanaadam kila cku ni kikubwa sana na hatari yake wengi hawaijui
 
Back
Top Bottom