Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Tofali jengea nyumba,mwili upe chakula bora na matunda la sivyo afya yako itayumba wazushi walete zao kasumba kwamba mwenzetu lile gonjwa limekukumba anyway naomba kuuliza kwa hapa Dar wapi wanauza pumba?
Pumba zinauzwa tandale, tangu enzi zamani za kale, tunakula ugali na kambale, kipindi hiko diamond hajahamia madale
 
Back
Top Bottom