ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,286
- 19,463
Wakilisha pia iliundwa na Witness pamoja na Langa.
Langa amefariki tunamkumbuka kama ngwea na sharomilioneaWakilisha pia iliundwa na Witness pamoja na Langa.
Langa alikuwa ni mwana hip hop mzuri sana katika game la mziki, hasa matawi ya juuSharomilionea kifo chake kilikuwa tofauti kidogo ukifananisha na kile cha ngwair na langa
Juu kama mawinguLanga alikuwa ni mwana hip hop mzuri sana katika game la mziki, hasa matawi ya juu
Mvua ndio nyakati zake hiziMawingu ya mvua
Hizi ni mvua za vuli sio masika ni dalili ya pepo za kaskazi, kwa sisi wavuvi kipindi chetu cha neema ya samakiMvua ndio nyakati zake hizi
Maji safi na salama tunywe kwa afyaSamaki ana mengi ya kusema tatizo mdomoni ana maji.
Uhai ni maji ya azam bakhresaMaji ni uhai
Samaki mkunje angali mbichi,kijana acha ubishi ukikunjwa nawe kunjika la sivyo utavunjika:guu kwa kutosikia la mkuu ushauri nishakupa naondokaHizi ni mvua za vuli sio masika ni dalili ya pepo za kaskazi, kwa sisi wavuvi kipindi chetu cha neema ya samaki
huwa sipendi makuuMakuu kama mguu, kusimama na mkuu, kupata cheo cha mwalimu mkuu, ukisimama uwe juu, pesa zakutosha kama bakhresaSamaki mkunje angali mbichi,kijana acha ubishi ukikunjwa nawe kunjika la sivyo utavunjika:guu kwa kutosikia la mkuu ushauri nishakupa naondokahuwa sipendi makuu
Bakhresa nilikuwa nae juzi fiestaMakuu kama mguu, kusimama na mkuu, kupata cheo cha mwalimu mkuu, ukisimama uwe juu, pesa zakutosha kama bakhresa
Fiesta hawezi kuja huko labda ulimfananisha na mimiBakhresa nilikuwa nae juzi fiesta
Mimi mwenyewe siwezi kwenda fiesta,bora Manchester au kwa sister na Mr.Fiesta hawezi kuja huko labda ulimfananisha na mimi
Mr amepigwa na mkewe majirani wote wameshuhudia mwanaume anapigwa na mwanamkeMimi mwenyewe siwezi kwenda fiesta,bora Manchester au kwa sister na Mr.
Mimi pia nakuona sylazie mwanamke jasiriMwanamke ni mimi