ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,286
- 19,463
Kwapa lioshwe kila siku.
Sikukuu ya wafanyakazi ni May mosi, Mie ntafikisha miaka 10 ya kuwajibika kazini !Kwapa lioshwe kila siku.
Kazini kwako umefanya ya maana miaka yote hiyoSikukuu ya wafanyakazi ni May mosi, Mie ntafikisha miaka 10 ya kuwajibika kazini !
Hiyo ndiyo lengo langu kutulia na kuvumilia mazito yote bila kulalamika....Kazini kwako umefanya ya maana miaka yote hiyo
Kulalamika ni mojawapo ya udhaifu..Hiyo ndiyo lengo langu kutulia na kuvumilia mazito yote bila kulalamika....
Udhaifu umeduwaza watu wengi kwa kuamini ushirikina....Kulalamika ni mojawapo ya udhaifu..
Giza la usiku wa manane ndiyo huchuja na akubadili hali ya hewa......Ushirikina unarudisha nyuma maendeleo ya jamii kwa watu kutojiamini na kutegemea nguvu za giza.
Mvua ikinyesha shambani hustawisha kilimo.., ila ikinyesha mjini huleta taharuki....Hali ya hewa ya usiku ni nzuri hasa kusipokuwa na mvua
Njia hizo hizo na mabomba hayohayo pamoja na mifereji tangu enzi za Mkoloni...tulijengewa tukiwa idadi ya wakazi laki na themanini..hadi leo tupo millioni tano !!Taharuki hasa kwa kuwa hakuna mfumo mzuri wa mifereji ya kuyaondoa njiani.
Magari hatujali acha yawepo na mengine yaje hakuna shida, tatizo ni Planning yaani ukuwaji uendane na upanuzi wa huduma za msingi......Tupo milioni tano mara tisa, nikimaanisha milioni arobaini na tano hivi kwa Tz nzima, kinachokosekana ni kutokuwa na akili ya kutawala mazingira yetu ili yawe na manufaa kwetu, jambo hilo hilo linahusu barabara na utitiri wa magari.
Idadi ya watu inatambulika kwa kufanya sensa, mkuu kasema tufyatue watoto elimu bureHuduma za msingi kama afya, elimu na makazi ndio yanauoathiriwa na ongezeko la watu hivyo serikali yapaswa kuwa macho kuyaboresha kulingana na idadi ya watu.
Watu huwa hawaridhiki na hawatosheki, Ndiyo maana serikali hupuuza na kutojali lolote hata kupanua msongamano wa mazingira kwa jamii !!!Huduma za msingi kama afya, elimu na makazi ndio yanauoathiriwa na ongezeko la watu hivyo serikali yapaswa kuwa macho kuyaboresha kulingana na idadi ya watu.
Elimu Bure na kufyatua watoto ni vitu viwili tofauti sana.., Wenye akili tulimwelewa,ila wengi hawatamwelewa !!Idadi ya watu inatambulika kwa kufanya sensa, mkuu kasema tufyatue watoto elimu bure
Jamii ya watu kutoridhika na kutotosheka si kigezo kwa serikali kupuuzia wajibu wake, ikiwezekana iwatoze ada kidogo kwa hizo huduma, bali ni lazima huduma ziwepoWatu huwa hawaridhiki na hawatosheki, Ndiyo maana serikali hupuuza na kutojali lolote hata kupanua msongamano wa mazingira kwa jamii !!!